Life affairs: Uliza chochote ujibiwe live hapa

Nta


Ntakuja na ratiba nini napend nile...!alafu bi mdashi wangu ameniambia huko kuna hossy nzuri ya misheni ya masisita?!ni kweli!nasumbuliwa ulcers hatari!anaisifia balaa..ni kweli ipo?

Pole sana best sasa nimejua kwa nini hupendi kundez, sijui anazungumzia ipi hasa ila kuna hos moja ya wazungu wajerumani iko momela mama yangu nae aliponea hapo. Muulize hiyo iko pande gani
 
😅😅
Pole sana best sasa nimejua kwa nini hupendi kundez, sijui anazungumzia ipi hasa ila kuna hos moja ya wazungu wajerumani iko momela mama yangu nae aliponea hapo. Muulize hiyo iko pande gani

😅😅😅!asante...ngoja nimuulize!momela iko wap !mbn jina geni
 
Naomba niwe nakuoshea vyombo na ikiwezekana hata wewe niwe nakuogesha inapobidi
 
Khaaaah!! Mwalimu haya maelekezo sasa[emoji134][emoji134][emoji134]
 
Bora wewe hupendi kuosha vyombo tu, mie sipendi kazi yoyote.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…