Life Experience: Jambo gani liliwahi kukutia aibu katika maisha?

Life Experience: Jambo gani liliwahi kukutia aibu katika maisha?

Mi nilipata fedhehea kwa hawa mawakala wa kutoa pesa .Jamaa aliniwekea kipande nusu cha hela.Nimetoa hela ,nimefanya mizunguko yangu kutulia naona elfu kumi nusu nikasema nirudi kwa wakala tukayajenge.Jamani ,jamani kumueleza tu yule wakala wacha aanze kupayuka "tapeli mkubwa wewe,unapenda vya dezo mara mashamba yapo kibao,watu tunahangahika na jua lote unataka kutuibia kipimbi,ikawa tena huyu kwa sura tu anaonekana ni tapeli lililokubuhu.Akapata sapota ya wenzake,watu kibao mjini hapo.Nilikuwa mdogo kama piritoni.Sasa hivi niko makini sana kwenye hela.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119][emoji119][emoji119]Huyo jamas ungemfata private siku nyingne umchane ukwelii
 
Sasa ilianza Direct kwenye Kugongana na makelele??? Labda ingeanza intro ya kawaida ungeshtuka japo still ungekuwa ushaaribu so ikawaje uhusiano wako na ile familia..
Of course haikuanzia kwenye makelele moja kwa moja, ila ilipoanzia wakubwa wote tulielewa kuwa ile ni porno; Ikabidi istopishwe fasta sana; Mzee mzima nikajibalaguza pale, ila ilikua ni aibu sana.
Luckily enough, haikuharibu the bigger picture ya uhusiano wangu na ile familia; Yule binti siku hizi yuko Norway anafanya kazi huko, bado tunawasiliana mara kwa mara through WhatsApp, na pia huwa nikienda Dar mara nyingi napita kwao kuwapa hi yule sister wake hapo kwao….
 
Of course haikuanzia kwenye makelele moja kwa moja, ila ilipoanzia wakubwa wote tulielewa kuwa ile ni porno; Ikabidi istopishwe fasta sana; Mzee mzima nikajibalaguza pale, ila ilikua ni aibu sana.
Luckily enough, haikuharibu the bigger picture ya uhusiano wangu na ile familia; Yule binti siku hizi yuko Norway anafanya kazi huko, bado tunawasiliana mara kwa mara through WhatsApp, na pia huwa nikienda Dar mara nyingi napita kwao kuwapa hi yule sister wake hapo kwao….
Aaha hapo sawa...[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Nao wanaangaliaga kumbe walijuaje ni Porno[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji39][emoji39][emoji39][emoji39] Wanawake bhana ukute mabwana zao wanawatumia na wao wanachek sana mtandaoni...
 
Mi nilipata fedhehea kwa hawa mawakala wa kutoa pesa .Jamaa aliniwekea kipande nusu cha hela.Nimetoa hela ,nimefanya mizunguko yangu kutulia naona elfu kumi nusu nikasema nirudi kwa wakala tukayajenge.Jamani ,jamani kumueleza tu yule wakala wacha aanze kupayuka "tapeli mkubwa wewe,unapenda vya dezo mara mashamba yapo kibao,watu tunahangahika na jua lote unataka kutuibia kipimbi,ikawa tena huyu kwa sura tu anaonekana ni tapeli lililokubuhu.Akapata sapota ya wenzake,watu kibao mjini hapo.Nilikuwa mdogo kama piritoni.Sasa hivi niko makini sana kwenye hela.
Duuuu pole
 
  • Thanks
Reactions: EEX
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119][emoji119][emoji119]Huyo jamas ungemfata private siku nyingne umchane ukwelii
Isingesaidia hahaa[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]
 
Mkuu mie nili mix vyote hivyo, yaani nilipata aibu sana kwa kweli sitakuja kusahau..
Ulikuwa unakandia kinoma[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Mi nilipata fedhehea kwa hawa mawakala wa kutoa pesa .Jamaa aliniwekea kipande nusu cha hela.Nimetoa hela ,nimefanya mizunguko yangu kutulia naona elfu kumi nusu nikasema nirudi kwa wakala tukayajenge.Jamani ,jamani kumueleza tu yule wakala wacha aanze kupayuka "tapeli mkubwa wewe,unapenda vya dezo mara mashamba yapo kibao,watu tunahangahika na jua lote unataka kutuibia kipimbi,ikawa tena huyu kwa sura tu anaonekana ni tapeli lililokubuhu.Akapata sapota ya wenzake,watu kibao mjini hapo.Nilikuwa mdogo kama piritoni.Sasa hivi niko makini sana kwenye hela.
niliwahi kutoa laki mbili,akanipa zote efu tano,kufika ghetto nakuta zipo laki moja baada ya mbili,nikarudi kesho yake akanirudishia
 
Kuna rafiki yangu wa kike (Sio Girlfriend) aliweka whtsp status ya rafiki yake mwanamke aliyevaa kimini na wkt hana ushepu, sasa mimi nikaichukua ile nikaituma ktk group la jamaa wa ofisini kulikuwa na mada kuhusu mavazi ya wanawake huku mie nikimtolea mfano huyo mdada pasipo kufahamu kuwa ni mke wa staff mwenzetu na yeye yupo ktk group. Mara paap naona washikaji wananitumia sms inbox kuwa kaka unaharibu, umepatwa na nn mbona unatolea mfano mke wa Flani amekukosea nini au umelewa upo vyombo hapo ulipo? Kumbe masikini ya Mungu mimi sikuwa nafahamu, jamaa naye akaja inbox akaniambia "Ahsante kaka nashukuru sana". Nilijisikia vibaya kila nikijaribu kum-please kuwa sikuwa najua jamaa hapokei simu wala hajibu sms, na kipindi kile whatsapp haikuwa na feature ya kudelete sms kama ilivyo sasa. Sitakuja sahau aisee hilo jambo..
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Kuna jamaa kwenye mwendokasi kakusudia kujamba taratibu watu wasisikie kule kutoa hewa akajikuta kaharisha uharo ule laini wa majimaji na unanuka yai viza kituo kilichofuata ni manzese abiria wote walishuka
Jamaa kasikia aibu sana maana goma limechirizika hadi chini
Dereva kamsaidia kumpeleka nyumbani
 
Kuna jamaa kwenye mwendokasi kakusudia kujamba taratibu watu wasisikie kule kutoa hewa akajikuta kaharisha uharo ule laini wa majimaji na unanuka yai viza kituo kilichofuata ni manzese abiria wote walishuka
Jamaa kasikia aibu sana maana goma limechirizika hadi chini
Dereva kamsaidia kumpeleka nyumbani
Duuhhhh!!!!! Hii ni kweli? Noma sana mzee.... Imetokea lini hii?
Jamaa itakua alisikia aibu sana aisee
 
Kuna jamaa kwenye mwendokasi kakusudia kujamba taratibu watu wasisikie kule kutoa hewa akajikuta kaharisha uharo ule laini wa majimaji na unanuka yai viza kituo kilichofuata ni manzese abiria wote walishuka
Jamaa kasikia aibu sana maana goma limechirizika hadi chini
Dereva kamsaidia kumpeleka nyumbani
Aisee kosa kubwa sana kutishia kujamba wakati unnarisha[emoji24][emoji24][emoji24][emoji2089][emoji2089]
 
Niliwahi kuiba mtihani kipindi nipo primàry school. Mama alikuwa teacher wa soçial science, sasa nimefanya paper fresh tu ila nikahisi hapa nitafeli tu.


Sasa wakat wa kurudi home, mama kanipà ile mitihani nikawa narudi nayo home aisee

Wakat narudi, nikakutana na malaika wachafu barabarani, hahahaa.
Malaika wa shetani wakaniambia niibe marking scheme na kujisahihishia bila aibu... Dah!
Noma sana jamaa zangu

Sasa picha linaanza, paper nimepigia pen ya blue, hapa narekebisha majibu kwa pen nyeusi. Dadek nilipomaliza nikarudisha. Mama akaja akaanza kusahihisha
Msala ukaanza alipokutana na AS yangu. Kapigwa na butwaa napata 100%...
Akacheka sana baadae akaghadhabika sana. Akaniita na kunihoji, nikakana shtaka!!

Siku hio nilichapwa sana mbele ya baba mdogo na kaka.
Kesho yake nikatangazwa darasani na mstarini aisee daaah aibu sana

Nilifedheheka sana mwenzenu.
Imepita miaka 15 lakin nakumbuka
 
"E="fogoh2, post: 32391860, member: 428267"]
We boya sana yani unakata mikucha yako na nail cutter za mtu mwingine magonjwa yote haya.
Mimi ilinikuta miaka kadhaa iliyopita ndio nimeajiriwa kwenye kampuni flani hapa dar.jioni nimekaa na mabosi zangu kupata wine kidogo na kujuana vizuri.tulikua tumeweka simu zetu mezani,bahati mbaya nikachukua simu ya bosi mmoja nikatia mfukoni nikijua ni yangu .mara kidogo jamaa akaanza kuulizi simu yake mimi nimetulia tu nikiamini iliyopo mfukoni ni yangu.
Dah ilivyobipiwa ikaita kwangu halafu hata hawakunipa nafasi ya kujieleza zaidi ya kila mtu kutunza simu yake kwa umakini,nilijisikia fedheha haielezeki
[/QUOTE]"
Dah! Yaani nimecheka hapo mwishoni. Kweli hiyo ni aibu ya mwaka
 
Kitambo flani nilikuwa na mpenzi mmoja matata sana na uzuri tulikaa mtaa mmoja ila yeye aliajiriwa shirika binafsi na ni karibu na ofisini kwangu.

Binti akawa na tabia akitoka kazini kwake anakuja kunipitia tunakwenda home na gari ya ofisi (serikalini) kwangu. Ambapo ilikuwa ni kawaida coz watu wengi walifanya hivyo hata kwa watoto wao washule pia witumia fursa hiyo kwa kupanda gari za hapo ofisini kurahisisha usafiri.

Mara chache sana Bosi alikuwa anapanda gari za Utawala coz yeye alikuwa na VX lake!! Na gari za utawala zilikuwa cruiser mkonge sita na zilikuwa zinabeba watumishi kwa idara. Idara yangu tulikuwa watatu so gari ilikuwa na nafasi kibao tu.

Kumbe katika hizo mara chache Boss akamuona binti wangu na akamuelewa ila pa kumpatia hana!! So, akawa anabanana nasi kwenye gari ya wasaka tonge na hataki kukaa siti ya mbele ambayo tulikuwa tunamuachia kwa heshima yake (sisi tukajua Boss anapenda sana gari ya idara yetu [emoji23][emoji23][emoji23] kumbe ana yake)!

Kitendo cha kukaa siti za nyuma na wavuja jasho akafanikiwa kupata contact za binti wangu mrembo na akawa anaimbisha mi bila kujua! Bahati mbaya sana, binti akampa cha mbavu Boss kubwa!!

Bosi akajawa na hasira, akaona njia ya pili baada ya ile ya kwanza kufeli ili kumpata Binti ni kunidhalilisha mbele ya binti ili kunishushia status!

Siku hiyo sina hili wala lile, muda wa kutoka umefika nikasogea garini na mrembo wangu. Kuna staff mwenzangu akachelewa kuja garini dereva akawa anapiga honi asikie aje.

Dereva alipoona jamaa haji akaamua kushuka amfuate ofisini! Lilikuwa kosa kubwa sana!! Aliibuka Boss from nowhere akaanza kunitukana kwanini napiga honi nasumbua na pia si kazi yangu kufanya hivyo!!

Alinitukana sana japo nilijitahidi kumwelewesha kuwa dereva ndiyo kapiga honi hakunielewa! Na kesi zikawa zinahama, zinatoka kwenye honi zinakwenda ofisini zinarudi zinakwenda mtaani zinarudi zinakwenda kwenye umalaya zinarudi huuuuh!!

Dereva akimwambia ni mimi nilipiga honi mkuu, anahamisha kesi inakuja madai ya umalaya mradi matusi na dharau zimtoke!! Niliyakoga siku hiyo sitasahu kabisa!! Dereva akitaka kutoa gari anamwambia ondoa gari langu na wewe nikuonyeshe!!

Nilikaa kimya, nachezea nokia ya tochi zile toleo la kwanza kabisa!! Ilikuwa ndiyo simu hot kabisa kabisa wakati huo!!

Aliporidhika akaondoka zake, garini hakuna mtu aliongea mpaka tunashuka!! Staff zote walitoka nje kuona kunani huko parking!!

Baadae ndiyo Binti ananiambia inawezekana kaamua kufanya hivyo sababu anamtaka kimapenzi, na sms zake akanionyesha!! Pia baada ya kutukana sana akamtumia Binti msg "si ndiyo kibwana chako unachoringia, haya ana nini sasa"

Hii kesi hii kwangu haijaisha kabisa!! Kuna siku akajitusua nikafuma kabrasha analipa vibarua hela ndogo kuliko iliyopitishwa na bodi na kuna allowance alikuwa analipa kidogo kuliko iliyopitishwa kwenye bajeti na bodi kisha inayobaki anapiga!

Nikanyofoa karatasi piga kopi nikamchoma macho makavuu huku anaona!! Kidogo avuliwe ukuu wake kama si kuhonga sana na baada ya hapo nikatafuta ajira kwingine nikasepa!!

Ila bado nikikumbuka naona kama kanidhalilisha jana hivi!! Bado namuwinda, nilimuotea mwanae kwenye harakati flani hivi nikamtosa then nikamwambia kamsalimie baba yako!
Uyo Dada yuko wapi now
 
Kuna rafiki yangu wa kike (Sio Girlfriend) aliweka whtsp status ya rafiki yake mwanamke aliyevaa kimini na wkt hana ushepu, sasa mimi nikaichukua ile nikaituma ktk group la jamaa wa ofisini kulikuwa na mada kuhusu mavazi ya wanawake huku mie nikimtolea mfano huyo mdada pasipo kufahamu kuwa ni mke wa staff mwenzetu na yeye yupo ktk group. Mara paap naona washikaji wananitumia sms inbox kuwa kaka unaharibu, umepatwa na nn mbona unatolea mfano mke wa Flani amekukosea nini au umelewa upo vyombo hapo ulipo? Kumbe masikini ya Mungu mimi sikuwa nafahamu, jamaa naye akaja inbox akaniambia "Ahsante kaka nashukuru sana". Nilijisikia vibaya kila nikijaribu kum-please kuwa sikuwa najua jamaa hapokei simu wala hajibu sms, na kipindi kile whatsapp haikuwa na feature ya kudelete sms kama ilivyo sasa. Sitakuja sahau aisee hilo jambo..
Daahhh
 
Niliwahi kuiba mtihani kipindi nipo primàry school. Mama alikuwa teacher wa soçial science, sasa nimefanya paper fresh tu ila nikahisi hapa nitafeli tu.


Sasa wakat wa kurudi home, mama kanipà ile mitihani nikawa narudi nayo home aisee

Wakat narudi, nikakutana na malaika wachafu barabarani, hahahaa.
Malaika wa shetani wakaniambia niibe marking scheme na kujisahihishia bila aibu... Dah!
Noma sana jamaa zangu

Sasa picha linaanza, paper nimepigia pen ya blue, hapa narekebisha majibu kwa pen nyeusi. Dadek nilipomaliza nikarudisha. Mama akaja akaanza kusahihisha
Msala ukaanza alipokutana na AS yangu. Kapigwa na butwaa napata 100%...
Akacheka sana baadae akaghadhabika sana. Akaniita na kunihoji, nikakana shtaka!!

Siku hio nilichapwa sana mbele ya baba mdogo na kaka.
Kesho yake nikatangazwa darasani na mstarini aisee daaah aibu sana

Nilifedheheka sana mwenzenu.
Imepita miaka 15 lakin nakumbuka
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Wewe ndo bahariaaa
 
Back
Top Bottom