Life Experience: Jambo gani liliwahi kukutia aibu katika maisha?

Life Experience: Jambo gani liliwahi kukutia aibu katika maisha?

Tukio lingine ninalo likumbuka ilikua miaka ya nyuma kidogo, nmemaliza kidato cha nne pale nasubiri kwenda A level,hivyo nikasafiri kwenda Moshi kwa ajili ya likizo hiyo ndefu....

Basi bwana,pale mtaani kukawa na sherehe za kipaimara cjui ubarikio sikumbuki vizuri ambae mdogo ake jamaa angu ndo alikua muhusika so nikaalikwa na huyu mshkaji wangu,ukafika muda wa msosi na utaratibu ni kupanga foleni,yule jamaa angu akawa na mishe mishe hivyo na mimi ikanibidi nipange foleni,imefika zamu yangu basi kuna mama wa kipare alikua ana "save" msosi pale,alinifananisha akaniwakia "kaka umeshachukua chakula pisha wenzio nao wapate kama hujashiba utaongeza mwishoni"...aisee nilijisikia vibaya,kwanza watu wengi.

Alafu mimi ni mgeni pale tena "kutoka Dar" sa kadri nilivyokua nakataa ndio yule mama anapaza sauti na kuzua taharuki pale,ilibidi niondoke kitendo kilichoaminisha kweli nlikua narudia,nilidhalilika sana na roho iliniuma sana japo yule jamaa angu aliniomba radhi haikusaidia... nilijifungua ndani muda wote na nikahama na mtaa kabisa nikaenda kuishi Moshi mjini kutoka NewLand[emoji24][emoji24]
Mzee wa Country Side
 
Mm 2007 nilikuwa naenda Advance Songea, basi nikatoka kusini hadi dar, Dar nikapanda basi la superfeo kwenda songea, lile basi ilikuwa wakigawa soda ila mukifika maeneo ya Iringa na kwenda mbele, ila mm sikuwa nimewahi kupanda basi ambalo wanagawa soda, sasa ile tunafika mikumi naona njaa kwa mbaaaaali inaninyemelea ile nikipepesa macho nikaona kreti la soda kwa katikati, nikasema isiwe shida sasa kucheki vema siti za jirani zina mabinti wawili wamevalia yunifomu za songea girls basi nikashoboka na kumuuliza mmoja eti dada zile soda kwenye kreti nani anauza?

Yule dada akaniambia haziuzwi mbona watagawa bure tu baadae!!!!! Haki ya mungu niliona fedheha vibaya mno na safari ikawa chungu saanaa hadi tunafika songea mida ya saa mbili na nusu usiku,

Na tangu hapo sikutongoza mwanafunzi wa songea girls Hadi namaliza form six na kurudi zangu kusini,

Pumbavu kabisaaaaaa fedheha ile...
Alafu imagine na watoto songea girl walivo kisu nawatamani
 
Siku moja rafiki aliniambia nimsindikize ameitwa out na Mbaba wake
Kwanza picha linaanza mbaba ni mkubwa nkaanza kuona aibu hata kukaa pale afu kaniweka karibu na yule baba ananiongelesha mda wote .
Baada ya dakika chache message nyingi zikaanza kuingia WhatsApp nkamuuliza bestie kuna mtu ananisumbua afu simjui nikamuonyesha Hamadi kumbe ni yule baba[emoji23] niliona aibu sitasahau.
Huku nyuma boyfriend kaniambia tutoke nikamuambia mim nnalala , dakika chache nawaona wanaingia na mashemeji zangu nlitamani dunia ipasuke ukizingatia niko karibu na yule baba wakajua ni wangu
Nikampiga stop yule baba asintafute ila baada ya siku chache akanichek kuniulizia Jessie yuko wapi hampati hewani nikamchek Jessie amtafute mtu wake kumbe ilikua gia akaniambia sehemu alipo kama sitojali nimjoin nkakataa kisha nkascreen shot nkamtumia Jessie after mins yule baba ananitumia ile screen shot nliyomtumia Jessie akaniambia "You need to grow up" [emoji23]
 
Siku moja rafiki aliniambia nimsindikize ameitwa out na Mbaba wake
Kwanza picha linaanza mbaba ni mkubwa nkaanza kuona aibu hata kukaa pale afu kaniweka karibu na yule baba ananiongelesha mda wote .
Baada ya dakika chache message nyingi zikaanza kuingia WhatsApp nkamuuliza bestie kuna mtu ananisumbua afu simjui nikamuonyesha Hamadi kumbe ni yule baba[emoji23] niliona aibu sitasahau.
Huku nyuma boyfriend kaniambia tutoke nikamuambia mim nnalala , dakika chache nawaona wanaingia na mashemeji zangu nlitamani dunia ipasuke ukizingatia niko karibu na yule baba wakajua ni wangu
Nikampiga stop yule baba asintafute ila baada ya siku chache akanichek kuniulizia Jessie yuko wapi hampati hewani nikamchek Jessie amtafute mtu wake kumbe ilikua gia akaniambia sehemu alipo kama sitojali nimjoin nkakataa kisha nkascreen shot nkamtumia Jessie after mins yule baba ananitumia ile screen shot nliyomtumia Jessie akaniambia "You need to grow up" [emoji23]
Boyfriend alikusamehe?
 
Moja kwa moja niende katika mada.

Leo asubuhi kama kawaida yangu kuna mahali huwa naenda kunywa chai, ni mgahawa wa jamaa yangu mmoja wa karibu, nimekunywa chai, nilipomaliza nikaona kuna funguo juu ya meza, ambazo ninafahamu ni za jamaa yangu(Nimeshazitumia mara kadhaa kukatia kucha kwa maana zina nail cutter), nikatumia katika kukata kucha.

Nilipomaliza kukata kucha nilipigiwa simu, nikasogea pembeni kuzungumza na simu, nikazungumza na simu kwa muda mrefu, hivyo sikuona umuhimu wa kurudi pale tena maana nimemaliza kunywa chai, kumbe wakati huo nimesahau funguo zile nimeziweka mfukoni, nilipofika nyumbani nimeendelea na shughuli zangu bila kuelewa chochote wala kukumbuka, nimekuja kupigiwa simu na binti kuwa kumbe zile funguo zinahitajika, ndio nikakumbuka kujisachi najikuta na funguo kuwa ninazo mfukoni, na kumbe si za jamaa yangu, kumpigia simu anasema si zake kweli, ni za binti anayefanya kazi hapo mgahawani, ni kwamba zimefanana, tukio hili limeniachia fedheha na aibu kubwa maana moja kwa moja nimeonekana kama nilikuwa nina hila mbaya, na hakuna yoyote ninayeweza kumueleza akaniamini, imebaki kuniuma mwenyewe rohoni, maana ningehusishwa na wizi.


Katika maisha kuna mambo ambayo yanatukuta kwa bahati mbaya bila sisi kutarajia, hayo mambo huwa yanapelekea aibu na fedheha ambayo haistahili kwa kweli, na hata haielezeki kwa mtu kirahisi.

Kama na wewe una kisa chochote tupe hapa tupate funzo kidogo.
Pole
 
Na mm kuna matukio kama mawil matatu hivi dah kila nikikumbuka nacheka[emoji23][emoji23][emoji23]

Mwaka jana 2020 nilipita pale Be Forward posta karibu na ocean road,wakati naendelea na kilichonipeleka pale nilibanwa na haja ndogo baada ya kuuliza wenyeji wangu wakanielekeza chooni.

Nimefika chooni nmekuta mtu kaacha zigo juu hajaflash,dah kwa sababu na mm nlikua na haja nkajaribu kuflash bila mafanikio kwa sababu hapakua na maji,nikaona bora nikojoe nisepe,nmemaliz natoka napishana na mdada flani hivi aisee nlijisikia vibaya mno, nlitamani nimwambie usiingie au huo mzigo si wangu ila sikuweza...

Nilisikia bonge la sonyo na "kuna watu sio wastaarabu"[emoji23][emoji23][emoji23]basi yule dada nlikua na coincidence nae nikawa naonana nae mara kwa mara mpka kuna siku nilipanda nae mwendokasi na kukaa nae seat moja,nilitamani nmuelezee mzigo haukua wangu ila ndo hivo naanzaje
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Dah kunasiku gari ya mshua ilikodiwa kwenda njombe... Ilibeba wanakwaya wanaenda kweny harusi ya mwwnzao
Sasa kufika kule wakawa kanisani wanasherekea...mim nipk ndan ya gar nimelala daaaaaaaaaaah!!!! NILIJAAMBAAA KWANGUVU KAMA MALA3 AFU KWA UHURU NIKIJUA NIPO PEKEANGU NDANI.... baada ya dk mbili hivi nikashituk kuangalia hiv kuna mmama kakaa pembeni daaaaaaaah!!!!!!

Duuh![emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Mi nakumbuka Kuna Kipindi katika Ujana wangu Nilikuwa napenda Kuruka sarakasi.Nakumbuka siku moja Nilikaribishwa Harusin na Familia.Sasa mm nilikuwa nishazoea Siwez maliza saa 1 bila kuruka sarakasi,Bahat mbaya kwangu tulipokuwa tumeenda ilikuwa na ni familia ya Kishua kwa hiyo hakuna Kutoka nje ovyo ovyo.Nikasema isiwe tabu humu humu ntaruka.Kijana wa wagu nikajipinda Kuruka halafu kwenye Tiles.Kumbe kwa Nyumba kuna Mmama kabeba sahani yenye Mandazi,Nilivyoruka niliipika teke ile sahani nusura na Yule mama limpate.Alikasirika Alinifokea mpaka Bas,Duuh!Nilijihisi Fedheha
 
Back
Top Bottom