Sijui kwa sasa ila wakati huo wa uchakaramu inaonekana Esther alikuwa anakuzidi akili na maarifa mbali sana.Alitumia mbinu ambayo sikuitarajia na ndio maana nikashindwa kujitetea. Nilishukuru alivyomwambia mama yake atupishe, maana aibu ingekuwa kubwa zaidi
Hadi umefikia kuandika story ya Esther kwa heading hiyo, inaonekana kwa sasa nyumbani moto unakuwakia mkuu.Sijui anapoishi kwasasa. Ila kuna kipindi baada ya kuwa nimetoka kule aliniomba tuonane maana nilikuwa namsumbua sumbua. Dhumuni la yeye kutaka tuonane ilikuwa ni kuniambia kwamba yupo kwenye harakati za kuchumbiwa.
From there tulionana mara kadhaa, na baada ya hapo sijawahi kujua alipo. Ile namba yake inapatikana endapo akitaka kunijulia hali tu, kinyume na hapo haipatikani.
Mbona umemind kwani Kuna shido π€£π€£π€£π€£Kumbe hadi hali mnajuliana!! Na wewe umejuaje kama namba yake haipatikani kama huwa humpigii?π€
Shida hamnaMbona umemind kwani Kuna shido π€£π€£π€£π€£
Kwa jinsi umeuliza inaonekana shido ipo...π€£π€£π€£Shida hamna
Nauliza ili nielewe story vizuriππ
Miss u...
Wanawake aina ya Esther wa ajabu wewe, hawakukasirikii, hawakununii, hawakukimbizi , ila akishasema imetimia HUTAWAGUSA MILELE.Asante sana mkuu nimeumia utafikiri ni mimi ndiye niliyekutana na hilo tatizo. Natamani kujua nini mtazamo wa Ester wa siku za mbele, naamini atakutafuta tu kwa show za hapa na pale hapo baadaye maana wanasema watu waliowahi kuwa wapenzi huwa hawaachani hata kitendo cha yeye kukipigia kukujulia hali bado anakukubali.
Unimenifnya nimezifuta namba za watu muda si mrefu
ππππKumbe hadi hali mnajuliana!! Na wewe umejuaje kama namba yake haipatikani kama huwa humpigii?π€
Kwahiyo mimi siruhusiwi kucomment?πππππ
Sijui kwa nini nacheka ila binti ephe unahangaika sana. Tuliza roho
Unaruhusiwa Ila vipi story umeionaje πKwahiyo mimi siruhusiwi kucomment?π
Sijasoma nipo busy kidogoUnaruhusiwa Ila vipi story umeionaje π
Ila upo katika kila page ππSijasoma nipo busy kidogo
Usiniite tena! Pa kunipata unapajuaπIla upo katika kila page ππ
Hata hivyo ni sawa tu.
ππππUsiniite tena! Pa kunipata unapajuaπ
Unaniudhiππππ
Sawa Ila kuna jamaa aliniambia mapenzi ni kama bwawa la kuongelea. Hautakiwi kujali ni nani aliogelea kabla yako au ataogelea baada yako. Cha msingi kama ni zamu yako. Wewe enjoy kuogelea tu ππ
Samahani. Natoka mara moja πUnaniudhi