Life style yangu ilinipotezea mwanamke mzuri

Life style yangu ilinipotezea mwanamke mzuri

Alitumia mbinu ambayo sikuitarajia na ndio maana nikashindwa kujitetea. Nilishukuru alivyomwambia mama yake atupishe, maana aibu ingekuwa kubwa zaidi
Sijui kwa sasa ila wakati huo wa uchakaramu inaonekana Esther alikuwa anakuzidi akili na maarifa mbali sana.
Nimecheka sana hapo ulipojipiga risasi ya mguu kwenye suala la simu na chaji mkuu.
 
Sijui anapoishi kwasasa. Ila kuna kipindi baada ya kuwa nimetoka kule aliniomba tuonane maana nilikuwa namsumbua sumbua. Dhumuni la yeye kutaka tuonane ilikuwa ni kuniambia kwamba yupo kwenye harakati za kuchumbiwa.

From there tulionana mara kadhaa, na baada ya hapo sijawahi kujua alipo. Ile namba yake inapatikana endapo akitaka kunijulia hali tu, kinyume na hapo haipatikani.
Hadi umefikia kuandika story ya Esther kwa heading hiyo, inaonekana kwa sasa nyumbani moto unakuwakia mkuu.
Ila usiwaze sana, wengi wameoa au kuolewa na watu ambao baadae sana ndio wamegundua sio sahihi kwao kulinganisha na walipopita zamani.
 
Asante sana mkuu nimeumia utafikiri ni mimi ndiye niliyekutana na hilo tatizo. Natamani kujua nini mtazamo wa Ester wa siku za mbele, naamini atakutafuta tu kwa show za hapa na pale hapo baadaye maana wanasema watu waliowahi kuwa wapenzi huwa hawaachani hata kitendo cha yeye kukipigia kukujulia hali bado anakukubali.
Unimenifnya nimezifuta namba za watu muda si mrefu
 
Asante sana mkuu nimeumia utafikiri ni mimi ndiye niliyekutana na hilo tatizo. Natamani kujua nini mtazamo wa Ester wa siku za mbele, naamini atakutafuta tu kwa show za hapa na pale hapo baadaye maana wanasema watu waliowahi kuwa wapenzi huwa hawaachani hata kitendo cha yeye kukipigia kukujulia hali bado anakukubali.
Unimenifnya nimezifuta namba za watu muda si mrefu
Wanawake aina ya Esther wa ajabu wewe, hawakukasirikii, hawakununii, hawakukimbizi , ila akishasema imetimia HUTAWAGUSA MILELE.
wanachelewa mno kufikia maamuzi ya HII IMEISHA!sana sana!
Utamaliza vituko vyote, ukiamini hawachomoki.
bwaaana bwana, siku anaondoka hutaamini ni yeye.
Na anakuwa tu yuko cool!
 
Habari ya muda huu ndugu msugua visimi, Mbulu Masieda, Sanu,Kainam,Endakikot Erokodaaa na pale Mbulu mjini napajua sana nimetembeza Makagari sana,kupitia andiko lako hili nimegundua kabisa ukiendekeza amri na matakwa ya uboo unaweza angamia mapema sana, sikia kaka kiroho safi kBabisa naomba nisaidie namba ya Ester, thank you
 
Back
Top Bottom