Life style yangu ilinipotezea mwanamke mzuri

Hapo kwa Katrina, utabiri wangu ni kwamba Analyse hakumtokea huyo binti, ila swaga za binti za mazoezi jumlisha na swaga za Aposto za tizi ndio zitazo mchanganya binti aingie kingi kwa aposto halafu kama kawaida Baba Husna nae golini ni kama yupo na Onana
 
"Nikapakua aste aste, lakini nilivyoanza kula nashangaa wali umeisha, nimebaki na mboga tu kwenye sahani."

ULIKUWA UNAKULA NA MISUKULE! πŸ˜€πŸ˜πŸ˜πŸ˜πŸ˜
 
Hapo kwenye kipengele cha kupenda wamama najiona ni mimi mtupu kabisa

Natamani kutoka kwenye hii akili lakin nashindwa nitoke vipi………..kiukweli ni mateso😒😒
 
"Nikapakua aste aste, lakini nilivyoanza kula nashangaa wali umeisha, nimebaki na mboga tu kwenye sahani."

ULIKUWA UNAKULA NA MISUKULE! πŸ˜€πŸ˜πŸ˜πŸ˜πŸ˜
Nishazoea wali mwingi, mboga chache πŸ˜…πŸ˜…
 
Hapo kwenye kipengele cha kupenda wamama najiona ni mimi mtupu kabisa

Natamani kutoka kwenye hii akili lakin nashindwa nitoke vipi………..kiukweli ni mateso😒😒
Fanya uchomoke mkuu, hakuna jipya huko
 
Tyr naona umeenda kuvurunda tena.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…