Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio yakoje macho ya rohoni
Sh'kamoo Shangazi
dah imeishia hapoPortion 04.
.....Siku ya jumamosi mapema kabisa akarudi home na mizigo yake. Kisha akaenda kkoo kufata vipodozi kwa ajili ya wateja wake. Mchana akakuta tayari nimeshapika, tukala kisha mambo mengine yakaendelea. Siku ikawa nzuri kwetu.
Tulikaa kama mwezi hivi kila kitu kipo sawa. Nilikuwa najitahidi sana ku-handle mambo yangu yasije kuleta tafrani tena. Sikutaka kumdisappoint tena Ester. Lakini kuna watu wana nyota za kuharibia wenzao tu. Kuna shangazi mmoja nilikuwa nae anaitwa Tina. Huyu shangazi alikuwa anapenda sex kana kwamba ndio yupo kwenye balehe. Mashangazi wengine wote ukipiga goli zako mbili, wanalidhika. Lakini sio kwa Tina. Mpaka kuna time nikahisi labda ana mapepo. Mfano mnaweza mkawa mmetoka kusex sasa mnaenda out kurefresh, ikitokea hata akaona kavideo clip kenye viasharia vya mapenzi, atakwambia turudi ndani kidogo. Hapo jua mnaenda kusex.
Alafu huwa hajali mazingira, iwe parking, ndani ya gari au sehemu ya Cinema. Imagine ukumbi wa cinema uliokuwaga pale Tazara, tulipiga show kipindi movie inaendelea. Nakumbuka tulivyoingia ukumbini, akachagua viti vya nyuma kabisa kwenye kona. Nikawa nishajua nini kinafatia.
Sasa hiyo siku nipo zangu ghetto na Ester, Tina akapiga simu. Sikuipokea.
Akapiga tena, nikakausha. Ester akaniuliza mbona hupokei? Nikamjibu achana nae, ni msumbufu tu
Ester: "Anakusumbua na nini?"
Mimi: "Mpotezee tu asikuumize kichwa"
Ester: "Tayari ameshaniumiza kichwa, ndio maana nataka kujua. Why anapiga mfululizo hivi kama anakudai?"
Mimi: "Hatopiga tena , maana anajua huu ni muda wa kupumzika".
Ester akakubali kuachana nae, hazikupita dakika tano simu ikaita tena mpigaji bado akiwa ni Tina.
Ester akaniambia ili awe na amani basi anaomba aongee nae yeye. Wakati anaichukua simu ili apokee, ikakata. Pale pale ikaingia msg:
"Pokea simu basi, mbona unakuwa hivyo"
Ester akaamua kuchati nae, akijifanya ni Mimi:
Ester: "Unataka nini? Kwani situlikuwa wote leo?"
Tina nae akajaa akahisi anachat na Mimi kweli, maana kabla sijarudi ghetto nilikuwa kwake.
Tina: "Sawa, ila nina nyege mwenzio. Niambie nikufate wapi basi"
Ester: "Mimi nimechoka nahitaji kupumzika"
Tina: "Usinifanyie hivyo bhana. Basi hatufanyi, nakuja unisugue kisimi tu nitaridhika"
Hii msg ikamuondolea uvumilivu Ester, akaamua kumpigia simu. Walitukanana sana pale mpaka alipotosheka, akakata simu. Msala ukanirudia kwangu.
Ester hakuongea kitu chochote na Mimi, akaomba tulale.
Tukalala.
Hata palivyokucha hakutaka kabisa kuliongelea lile jambo. Akawa anaenda chuo na kurudi kama kawaida, ila baada ya wiki akakusanya nguo zake zote na kuniambia anaondoka na hatokaa arudi tena. Kwamba it is over kati yetu.
Mimi: "Usitumie hasira, tuongee kwanza"
Ester: "Tuongee nini kipya sasa? Nimeamua kwa moyo mmoja kukupa uhuru unaoutaka"
Mimi: "Huo uhuru ndio siutaki, ndio maana nataka kuishi na wewe. Naomba usiondoke hapa nyumbani"
Ester: "Naondoka kwenye maisha yako, hivyo hata hapa sistahili kuendelea kubaki"
Mimi: "Ukiondoka nitapata wakati mgumu sana, bila uwepo wako akili yangu itastack sana"
Ester: "Ita mwingine aje muishi wote, huwezi kosa mtu. Kama unapigiwa simu mpaka usiku wa manane, hatokataa ukimwambia aje hapa"
Mimi: "Hivi ni kweli umedhamiria?"
Ester: "Haya maisha ya ushindani na kuvumilia siyawezi tena. Naondoka ili uwe huru kuwasugua vizuri. Sitaki ujibane bane tena, sawa kaka msugua visimi?"
Kama masihara, Ester akawa ameondoka pale home.
***** ***** ***** ***** ***** ******
Tokea siku ile nikawa na kazi ya kumbembeleza Ester anisamehe, ila hakutaka kunielewa. Mpaka anamaliza mtihani wa mwisho, bado hakuwa amenisamehe.
Alivyomalizana na mitihani, tukakaa chini ili kujadili tena swala letu. Ila msimamo wake bado ulikuwa ni ule ule.
Ester: "Wewe ni mwanaume mzuri sana, ni mpole, mcheshi, unajali, una huruma na akili. Ila bahati mbaya kwetu ni kwamba tumekutana wakati usio sahihi. Pengine utakayekutana nae akili yako ikiwa imetulia, atafurahia sana mahusiano na wewe, ila kwa Mimi nimeshindwa"
Mimi: "Najua nimekudisappoint sana, ila nipe nafasi ya kukuonesha kwamba nabadilika. Nitakuwa vile unavyowish niwe"
Ester: "Mimi nadhani nimeshachoka tayari, hata huo muda tena wa kukupa sina. Yani kwako nahisi nilikosea njia,hakuna kitu kinachoniuma kuona watu ninaocompete nao kila siku ni wamama. Heri wangekuwa rika langu, ningesema pengine kuna sehemu siko vizuri hivyo unanitafutia mbadala. Ila wamama wamama wamama. Yawezekana ukawa una mapepo ila hujijui, hebu anza kwenda kanisani. Ikiwezekana okoka"
Mimi: "Kama nikiokoka itaweza kurudisha mahusiano yetu, nitafanya hivyo kipenzi".
Ester: "Mimi na wewe tumeshamalizana, nenda kaombewe, jirekebishe ili utengeneze mazingira mazuri kwa utakayekuja kuwa nae".
Kipindi chote cha hayo mazungumzo, nilikuwa nikimwangalia Ester, naona kabisa anamaanisha. Maana alikuwa anaongea kwa utulivu sana, hapayuki, hana jazba wala hasira. Mbaya zaidi sina cha kufanya kumshawishi.
Kikao chetu kikaishia hivyo, Ester wangu anapeperuka huku namuona. Akachukua vitu vyake vilivyokuwa vimebaki pale ghetto, akaenda Tanga kwa mama ake.
Kipindi iki ndio niliandamwa na matatizo kadha wa kadha. Hapa ndio nilianza kutafutwa na polisi au kulala kituoni kila baada ya siku mbili. Mzee KY alikuwa ananiandama na pia kuna jamaa wakikurya nae aliamua kunikosesha amani.
Ester ambae ndio alikuwa mtu wangu karibu mwenye kunipa moyo kwenye nyakati kama hizi, nae ndio hivyo alishaamua kunipiga chini.
Sikuwa na mtu wa kuongea nae.
Kuna siku mama yake Ester akawa amenipigia simu, katika maongezi ya hapa na pale akawa analaumu simtafuti tena siku hizi. Nikamwambia ndani ya ile wiki nina safari ya Tanga, nitaenda kuwatembelea. Akasema atafurahia sana, pia atapata nafasi ya kusuluhisha matatizo yangu na Ester. Nilivyosikia kauli ile, nikapata nguvu.
Ester alivyopata habari kwamba natarajia kwenda kwao, akanipigia simu:
Ester: "Mambo, nasikia umemwambia Mama kuwa utakuja"
Mimi: "Alhamisi hii nitakuwa Tanga mjini, nikimaliza shughuli zangu nitakuja kuwatembelea jumamosi au jumapili"
Ester: "Unakuja kufanya nini wakati tumeshaachana? Kwanini usiniache nikawa na amani lakini?"
Mimi: "Bado sijayakatia tamaa mahusiano yetu, natamani tuyape nafasi nyingine
Ester: "Hakuna namna naweza badili mawazo yangu. Mama yangu anakupenda sana, aliumia nilipomwambia tumeachana. Nisingependa aumie tena ukija maana sitobadili msimamo wangu "
Mimi: "Familia yako tayari inanikubali, niruhusu nirekebishe nilipokosea, kila kitu kitakuwa sawa. Najua kati yetu bado kuna upendo mkubwa sana, tusikubali kuupoteza. Mimi ni mumeo Ester"
Ester: "Upendo pekee sio sababu ya watu kuoana, Mimi na wewe tumekuwa pamoja kwa zaidi ya miaka sita. Nimevumilia sana nikiamini pengine wewe ndio mume wangu, ila ukweli ni kwamba haujawahi kunichukulia kwa namna hiyo. Mimi sio aina ya mwanamke unayetamani kujenga nae maisha. Nimekubali kujitoa, niache niendelee na maisha mengine. Mimi na wewe hatuwezi kuwa pamoja"
Mimi: "Tukiamua kwa pamoja, hakuna kitakachoshindika
na. Niruhusu nije kwenu tuongee"
Ester: "Hapa tutabishana mpaka kesho, ila hatuwezi kuelewana. Sawa njoo".
Kauli hii ilileta furaha sana kwangu, niliona nimepata ushindi nusu. Nikajipanga kwenda kuhakikisha nasolve huu msala. Ukweli ni kwamba sikuwa na ratiba za kwenda Tanga wiki hiyo, ila niliwaambia vile ili wasione nimelazimisha kwenda bali imetokea tu.
Kauli ya mwisho ya Ester kuniambia niende ilinipa matumaini sana nikiamini mahusiano yetu yanaenda kufufuliwa upya. Ila nilipofika kule ndio ikawa wazi kwangu kwamba hakuna namna ninayoweza kumrudisha Ester tena.
Alikuwa ananijua kuliko nilivyojijua Mimi mwenyewe, na aliposema mahusiano yetu hayawezi kuendelea haikuwa sababu ya hasira bali alidhamiria maana aliona vitu ambavyo Mimi sikuwa naviona.
Alikuwa anajua anachokiongea.
Hahaha,Mkuu Mimi Kuna kitoto kimekuja geto afu kigoma kuliwa muda huu Mimi ni Mzee wa kuzira nimemuitia bodaboda aende tu.. najua nishamkosa maana ni kisister duh afu mazingira ya ghetto sio mazuri
Mtu mbadd wewe Afisa 😅😅😅😅😅😅Ikiisha mtaambiwa kwamba imeisha, tofauti na hapo tuendelee kuwa pamoja
Kadiri siku zinavyosogea na majukumu yanakuwa mengi. Ndio maana nikasema hii itakuwa ni simulizi yangu ya mwisho JF, sio kwamba zimeisha, bali najua sitoweza kuwa na muda mwingi wa kuweza kuandika kama ilivyokuwa hapo awali. So tuvumiliane kwenye ili.Mkuu Analyse hongera Kwa story nzuri , Ila mkuu unashusha episode fupo fupi Sana. Hatujakuzoea hivyo Kaka.
Yan huyu Esther ana tabia zoote za mke wangu. Akinyoosha amenyoosha hapindishi.safi sana Esta tunahitaji watoto wakike matured kama wewe 👏🏾👏🏾