Lighter Touch: Ule uvumi ungenoga hivi leo

I wholeheartedly concur. We need to reconsider the state our unity as a nation. Something has gone wrong and we need to fix it asap before things turn sourer!
We can come up with all kinds of scenarios, assumptions, and what ifs, or justifications, but deeply the nation is polarized and there is such a need for a national dialogue instead of mockery. Denial ain’t a solution at all.
 
National dialogue na "wahuni " ambao wengine tulifikiri wanajielewa? Wewe umetumia kipimo kipi?
Et national dialogue na akina Zito,Fatuma hahahahahahah. Hawa ni mwendo huu huu hadi wanyoke.
 
Still you escape the fact mnaendeleza vijembe vilevile hatutibu tunazidi kubomoa raisi kapata narrow picture ya wananchi anao waongoza na kilichopandwa na yeye kwa chuki zake
 
We can come up with all kinds of scenarios, assumptions, and what ifs, or justifications, but deeply the nation is polarized and there is such a need for a national dialogue instead of mockery. Denial ain’t a solution at all.
"To win a girl, lie and denial" so denial sometime is solution
 
Idadi ya 'wanaomhitaji' aendelee kuongoza ni ile ile. Tunamuombea kwa Mungu amjalie afya njema pamoja na hekima ya kuliunganisha taifa ambalo tayari kwa jujua au kutokujua ameligawa. Asipobadilika katika kauli na matendo yake hali itaendelea kuwa mbaya.
Pamoja na mapungufu yake, leo nimegundua waTz wengi bado wanamhitaji aendelee kuwaongoza......
 
Kikubwa kaonekana hadharani na kakata mzizi wa fitna.
 
Wapinzani tz wamekuwa kama mateja sio wakuwaamini, wamekuwa mateja wa kuokota habari, sera hawana wamekuwa watu wa matukio ya kipuuzi ili kuzua taarukitaaruki
Wanaona ikulu ni sehemu rahisi rahisi tu! Mtahangaika ila ikulu mtapasikia kwenye bomba.
Hakuna mpinzani aliezusha,hao wapinzani wanahangaika na uchaguzi
 
Endeleeni kujidanganya, uliona ikulu TV youtube wangapi walisubscribe online na zile commenrs. Proxy mercenaries ndio mamnchukia sababu ya vyeti vyenu feki.
Shuhudia 2020
 
Used to respect her, not anymore, just another bish
 
Uhytettujjuers
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…