Salary Slip
Platinum Member
- Apr 3, 2012
- 49,390
- 152,301
Ligi kuu yetu imetawaliwa au niseme inaathiriwa na usimba na uyanga, na baada ya GSM kujitoa, mdhamini yoyote ataefuata hataaminiwa na atatuhusishwa na Simba na mgogoro utaanzia hapo (kukomoana).
Si ajabu mwaka huu tukawa na ligi ya hovyo kabisa huku usimba na uyanga ndio ukiwa chanzo.
Kuna timu moja naiona iko tayari kufanya hujuma yoyote kisa tu inaona ina muelekeo mbaya katika ligi na bahati mbaya club hiyo imeshajiona kombe la ligi ni kama lao.
Sasa kitachofuata ni kuonyeshana ubabe baina ya hizi timu mbili na matokeo yake ni ligi kuvurugika.
Bahati mbaya vitabu vidogo ndio vitaathirika zaidi huku hawa mafahari wawili wakiendelea kupeta.
Sometimes natamani hii ligi isimamiwe na wageni wasiokuwa na usimba na uyanga kuondoa huu upuuzi.
Msishangae ligi hii ikashuka/ ikaporomoka katika ubora.
Si ajabu mwaka huu tukawa na ligi ya hovyo kabisa huku usimba na uyanga ndio ukiwa chanzo.
Kuna timu moja naiona iko tayari kufanya hujuma yoyote kisa tu inaona ina muelekeo mbaya katika ligi na bahati mbaya club hiyo imeshajiona kombe la ligi ni kama lao.
Sasa kitachofuata ni kuonyeshana ubabe baina ya hizi timu mbili na matokeo yake ni ligi kuvurugika.
Bahati mbaya vitabu vidogo ndio vitaathirika zaidi huku hawa mafahari wawili wakiendelea kupeta.
Sometimes natamani hii ligi isimamiwe na wageni wasiokuwa na usimba na uyanga kuondoa huu upuuzi.
Msishangae ligi hii ikashuka/ ikaporomoka katika ubora.