Ligi hii imeshaharibika na hakuna Mdhamini kutoka ndani ataekubalika kwasababu ya "Usimba" na "Uyanga"

Ligi hii imeshaharibika na hakuna Mdhamini kutoka ndani ataekubalika kwasababu ya "Usimba" na "Uyanga"

GSM angeharibu hii ligi kutokana na aina ya udhamini wake

Injinia Hersi anasema piga ua Yanga mwaka huu lazima awe bingwa, afu wakati huo huo mabosi zake GSM wanadhamini Yanga na Vilabu vingne,,, fairness ipo wapi!???
Halafu huyu kitoga ana kauli za kishujaa kuliko uwezo wa timu yake

Msimu uliopita akaweka ahadi tamanishi kuwapa morale iliyofuga uzembe kuwaaminisha mashabiki wa yanga kua wanachukua ubingwa na ikitokea hawajachukua wamfuate wamuulize, naona anarudia makosa yake yale yale

GSM ni mdhamini wa yanga huwa nashangazwa na baadhi ya members humu wanavyopagawa na kuvunjika kwa huu mkataba kwa madai ya kwamba timu ndogo ndio zitaathirika kwasababu hawana pesa za kutosha kujiendesha na GSM anafanya kama msaada

Wamesahau kipindi ambacho wanatembeza bakuli sio kwamba huyu GSM hakuwepo au hakuwa anajua kinachoendelea, sasa sijajua hiyo huruma yake kipindi hicho ilikuwa wapi au ni maswala ya win win situation ndiyo yaliyokuwa yanamfanya awe nyuma kutoa msaada kwasababu hakuna kitu anapata in return
 
Mbona hajakataliwa NBC mkuu? kwani GSM wana lipi la ajabu kuasi cha kusema kuondoka kwao ligi itayumba?
Watu wenyewe hawajatoa hata senti kwenye udhamini wao hewa na wamenufaika kutangazwa na vilabu dhaifu wasio na nguvu ya kuipinga TFF
Kama si simba kusimama imara hawa jamaa wangevipiga vilabu vyote na huu mkatana wao wa kimangungo
Nawashangaa wanasheria wa hivi vilabu wamekaa tu hawadai hela zao za miezi walioyoitangaza GSM UTOPOLO
 
Simba na Yanga na mashabiki wao ndo waharibifu.

Ushabiki unageuka dini. Yanga inapendelewa shabiki anasema ilimradi p3. Simba inapendelewa ilimradi p3. Badala ya kuungana na kulaani.

Itafikia kipindi itakuwa ni kupandiana dau kila simba na yanga zinapokutana na timu ndogo halafu wachezaji wa timu ndogo na marefa watahalalisha njia hiyo kama njia za kipato cha pembeni na ndo ligi itakua bye bye.
 
Simba na Yanga na mashabiki wao ndo waharibifu.

Ushabiki unageuka dini. Yanga inapendelewa shabiki anasema ilimradi p3. Simba inapendelewa ilimradi p3. Badala ya kuungana na kulaani.

Itafikia kipindi itakuwa ni kupandiana dau kila simba na yanga zinapokutana na timu ndogo halafu wachezaji wa timu ndogo na marefa watahalalisha njia hiyo kama njia za kipato cha pembeni na ndo ligi itakua bye bye.
jamaa yenu hana pesa acha kuingiza kwenye kichaka cha usimba na yanga
 
GSM angeharibu hii ligi kutokana na aina ya udhamini wake

Injinia Hersi anasema piga ua Yanga mwaka huu lazima awe bingwa, afu wakati huo huo mabosi zake GSM wanadhamini Yanga na Vilabu vingne,,, fairness ipo wapi!???
Lakini matokeo yake tumeona "Piga Ua Lazima Makolo lazima Yashinde... iwe kucheza kwa 97 hadi kolo apate goli au hata kwa Magoli ya offside"
 
We unafikiri Mo tajiri wa 15 Africa nzima angeshindwa kudhamini hii ligi? Aliyaona haya. Na bado mkae mguu sawa, msije mkashangaa hata Yanga anajitoa kuidhamini
 
jamaa yenu hana pesa acha kuingiza kwenye kichaka cha usimba na yanga
Jamaa yetu nani? Mpira wa TZ wenyewe nimejaribu kuufatilia kwa umakini kidogo msimu huu, na hayo ndo maoni yangu baada ya kuangalia mechi za simba na yanga.
 
"Kulitaka mwana kulipewa mwana"
Simba haijawai kushindwa fita mura.
 
Jamaa yetu nani? Mpira wa TZ wenyewe nimejaribu kuufatilia kwa umakini kidogo msimu huu, na hayo ndo maoni yangu baada ya kuangalia mechi za simba na yanga.
kwani anaongelewa nani humu
 
Back
Top Bottom