Ligi isiyo rasmi, inayoshabikiwa na trafiki na abiria Sauli vs Golden Deer

Huenda deree n shida pia huwezi kuwa na tembo wa Sweden alafu mchina akakusumbua safari ya 700+km
Ishu iko hivi, hata mmoja akimbie sana na mwingine aende kawaida haisaidii kitu maana aliekimbia sana akikaribia makambako lazima apaki maana kuna mda maalum wa kufika pale, kwa maana hiyo ligi haina utamu sababu wanabanwa na sheria, ingebidi timetable zifutwe ndio mshindi halali angejulikana.
 
Mnara huo unasomwa pahala ambako hamna sababu yanini sijui nini
 
Hii kitonga-ruaha
 
Hakuna tume ya watumiaji wa barabara kuna vibao ukipita unasema kabisa malengo ni fine na sio kuzuia ajali.
 
Ligi inapishana dakika chache sana kuanzia wakwanza mpaka wa 10 kwahiyo imebakia ligi ya nani wakwanza kuingia getini
Tuu
 
Nimetambua kuwa zhong thong ikipata dereva mzuri weka mbali na watoto, zinakula milima kama scania...
Hizi basi mchina yuko vizuri ingawa mnyama mkali hana mpinzani...
 
Ligi inapishana dakika chache sana kuanzia wakwanza mpaka wa 10 kwahiyo imebakia ligi ya nani wakwanza kuingia getini
Tuu
Mkuu sauli achana nayo, inaweza fika dk 45 kabla ya anayefuata. Basi za abood zinatoka moro saa tisa na kuendelea hukutwa na huanchwa...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…