Ivi kuna yutong inaenda mbeya kweli??? Climber naona za kutosha huko na asia star ya imani plusNimetambua kuwa zhong thong ikipata dereva mzuri weka mbali na watoto, zinakula milima kama scania...
Hizi basi mchina yuko vizuri ingawa mnyama mkali hana mpinzani...
Ndicho nilichokisema hiki, tuache kuwafitinishaUzi wako umemkamatisha mtu muda si mrefu
Mkuu hizo Zhong Tong Climber Upgrade zinakuja na Retarder?
Kajipanga jamaa service zao ziko poa labda wenge la abiria limzidi abweteke Asante rabi, kapricon, kiaz wote saiz spana mkononi hamna mwenye uhakika wa kutoboa kwa baadhi ya chumaKwa mbio atapata wateja ila kwa huduma njia ya kuanzia arusha -mwanza Asante Rabi yupo vizuri.
Michina myepesi sana, very unstableHizo basi za kichina huwa hazitulii barabarani, ni kama zinapepesuka.....kuna siku nilipanda marcopolo ya Dar express kutoka Arusha-Dar, tulipofika same ikazingua ikabidi watuletee Yutong........aisee niliona tofauti kubwa mnoooo, marcopolo inatulia barabarani yaani husikii korogesheni wala kuyumba yumba. Ila tulivyopanda Yutong sasa unasikia kabisa kuyumba yumba na mtikisiko, ndo nikaamini kwa nini wanasema marcopolo moja unanunua Yutong tatu....
Tunyande, Mwanahapa, etcHv siku hizi kuna basi linakimbia kweli au wanawahi muda tuu maana kuna ratiba ya LATRA,Iringa nadhani saa 7.00 na Makambako saa 10.00 ndio gari zinatakiwa kufika muda huo.Basi zilikuwa zinakimbia zamani enzi za Tawakal,Kiswele,Masia,Matema Beach,Zainabu,Twiga,niongezeee na wengine au.Mbeya au Dar saa 9.00 hv au 10 kasoro.Utashangaa watu wanashabikia gari kufika Uyole saa12.15 au 30 unashangaaa.Wote wachumba tuu chuma zilikuwa zinatembea zamani tena Scania F93 AU 113.
Hizo climber hp 360 sauli scania zake hp 310 wapi wapi?
Leo kuna picha nimeziona mtandaoni dereva wa Sauli kapiga goti kuomba radhi kwa Waziri SimbachaweneMiaka nenda rudi Njia ya Dar es Salaam - Mbeya ndio imekuwa njia ambayo ni gumzo kwa mabasi yake kwenda mbio.
Umbali wa safari ni zaidi ya kilometre 800, na njia imekuwa ikipita kwenye Milima mikali, kona kali, mbuga ya wanyama, hali ngumu ya hewa Ikiwa ni Pamela na uwepo wa ukungu mzito na upepo Mkali.
View attachment 1879605
Hiyo ndio njia ya Dar Es Salaam- Mbeya ilivyo.
Na uwepo wa changamoto hizo Kuna wanyama wenye miili ya watu, wakikakaa Kwenye usukani wao wanawaza jambo Moja tu, nitawafikishaje abiria mapema na salama.
View attachment 1879606
Hapo ndipo unapokutana na ligi ngumu isiyo rasmi kati ya kampuni mbili, Golden Deer (New Force) na Sauli a.k.a Mnyama Mkali.
Golden Deer wao wakitumia mabasi ya kutoka China na Sauli wakitumia mabasi ya Ulaya, Ujerumani na Sweden. Sauli wana Mercedes Benz na Scania na Golden Deer wakitumia Zong Tong Climber.
View attachment 1879608
Magari haya yametengeneza mashabiki wengi huku mashabiki wao wakijigawa upande mmoja na mwingine, na askari pia wana timu zao kwenye ligi hii.
View attachment 1879609
Mwendokasi ni Hatari kwa usalama na maisha ya abiria, watumiaji wengine wa Barabara, mazingira na hata vyombo vyenyewe.
Kachelewa kufika Mbeya? 🤣🤣🤣Jana nipo uyole stendi ya usangu natafuta 'kaya' mara naskia matusi, nikauliza kulikoni, wahuni wanamind Sauli kachana mikeka
Duuh hawa kweli wahuniKuna hawa wahuni nadhani hii ya kina Sauli ni ligi ya mchangani,sijui hata kama hiyo nchi ina sheria.
Ni Bangladesh
Nakupinga mkuu, huyo Loliondo ni vile bado mbichi sana ndiyo mana unampa credit ila kwa Asante Rabi hawezi kufikia huduma, muda utaongea.Kajipanga jamaa service zao ziko poa labda wenge la abiria limzidi abweteke Asante rabi, kapricon, kiaz wote saiz spana mkononi hamna mwenye uhakika wa kutoboa kwa baadhi ya chuma
Nakupinga mkuu, huyo Loliondo ni vile bado mbichi sana ndiyo mana unampa credit ila kwa Asante Rabi hawezi kufikia huduma, muda utaongea.
Mchina hawezi kuimili mikiki mikiki ya road for 13 months, lazima alete chombo mpya ila kina rabi na zile old skuli scania bado yupo.
Alidakwa Kibaha akitokea TundumaLeo kuna picha nimeziona mtandaoni dereva wa Sauli kapiga goti kuomba radhi kwa Waziri Simbachawene
Napenda Scania, Nissan diesel na Isuzu ndo Gari huwa napanda Yan nikifika stend nafanya uamuzi huo.Nakupinga mkuu, huyo Loliondo ni vile bado mbichi sana ndiyo mana unampa credit ila kwa Asante Rabi hawezi kufikia huduma, muda utaongea.
Mchina hawezi kuimili mikiki mikiki ya road for 13 months, lazima alete chombo mpya ila kina rabi na zile old skuli scania bado yupo.