Hahahaah,,,,,,,,nimekukumbuka aisee.
Ebu dumbukizeni humu Orodha kamili ya vikosi vyote viwili Jamani
Simba anakufa 3-0 leo...
YANGA hatutaki droo na mikia hivyo wafungeni hao mikia haraka.
Naona sub ya mapema kabisa kwa Yanga
Msuva ni kijana wetu, hatuna tatzo nae.