Ligi Kuu Tanzania Bara, Februari 16, 2019: Kariakoo Derby, Yanga SC 0 - 1 Simba SC

Hakika leo Yanga atakuwa kakubali kuwa Simba ni Mabingwa wa soka ndani ya mikoa 26.Tuliwaambia Yanga mpira wenu mdogo hawakusikia kama Mwarabu kapigwa itakuwa nyie? Dakika 90 SIMBA 1 YANGA 0

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yanga wabishi tu Simba mpira wao mkubwa utabana mwisho utaachia tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Leo Yanga alikuwa nyumbani apo Taifa kafa moja bila kama alivokufa last week yule muarabu wa Shamu/Mediterania, bahati yake!! goal moja tumemstahi sana...

Simba ni at..t..areeh, AS Vita lazima afe, na yule muarab alomfukuza kocha kisa sisi atamfukuza na huyu kocha mpya

Simba taifa kubwa!
M.K 14 ni motoh

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yanga wamepambana, wmeufanya mchezo kutokua na nafasinyingi. Kwaujumla timu ilicheza vizuri kabwili hakua na kashkash Boxer amecheza vizuri alimkamata ipasavyo Okwi ila matokeo ya mpira ndivyo yalivyo Simba wamepata nafasi mbili wametumia moja. Yanga wamepata nafasi mmoja hawakuweza kuitumi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…