Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ni derby kwa kuwa zote za Kariakoo (Kariakoo derby), ila kweli yanga haina hadhiDah ni derby kwasababu timu zote ni za Dsm, lakini kiuhalisia yanga haina hadhi ya kuwa derby partner wa Simba
Jumanne ilikua sendof leo tumeoa rasmi
mzee matatizo gani mnapitia? inasemekana wale watu wa "hiyo hela tuma kwa namba hii" ni nyie mashabiki wa yanga katika kukabili ukata...poleni sana kama kikosi cha 80 bilioni kilikaa sembuse nyie wa elfu 60.[/QUOTE
Weee chizi. Mi sio shabiki tu kama wewe, Nina kadi ya uanachama iliyo hai.Nitolee ujinga wako plastic fan unataka mpira mzuri nenda kacheze na mama ako nyumbani kwenu
Wanapenda rangi rangi. Kikawaida marangi makali makali kama njano, kijani, purple hupendwa na wanawake.Huku ni taharuki tupu wanawake wenye CHURA hawapiti mitaani.... kuna uhusiano gani kati ya vyura fc na hawa wanawake wenye chura
Mtani usife bado tunakuhitaji 😂😂😂 This is Mnyamaa💪Yanga tuko imara
Vipi na Mimi naweza pata japo kijinafasi kaka moja ya chumba cha moyo wako?
Sent using Jamii Forums mobile app
We mchekee anaenda kukupigia puli huyo toxic9
Mazungumzo baada ya habariVipi na Mimi naweza pata japo kijinafasi kaka moja ya chumba cha moyo wako?
Sent using Jamii Forums mobile app
Weee chizi. Mi sio shabiki tu kama wewe, Nina kadi ya uanachama iliyo hai.