Kaze katumia akili nyingi Sana kipindi xha kwanza, kipindi Cha pili hesabu zimekataaU17? kwanini hamjashinda sasa? au ngoja tukuulize ni timu gani imetengeneza clear chances nyingi kati ya Yanga na Simba ?
Pira biriani bila magoli sijui tuiteje
Subiri takwimu uone. Tangu lini Yanga wakatengeneza nafasi, zaidi ya mipira ya kutenga?U17? kwanini hamjashinda sasa? au ngoja tukuulize ni timu gani imetengeneza clear chances nyingi kati ya Yanga na Simba ?
Hesabu zilikataa kwasababu ya aina ya wachezaji alionao. Angekuwa nje kuna wakata umeme mahiri. Game ingeliisha maana Simba walitawala sana kati na alivyotoka lamile moro ndio kabisa, Yanga ikapwaya kabisaKaze katumia akili nyingi Sana kipindi xha kwanza, kipindi Cha pili hesabu zimekataa
Lamine kutoka ukuta ukapwaya na hata alivyotoka sarpong kumesababisha beki za Simba kupanda juu na kuongeza Kasi ya ushambuliajiHesabu zilikataa kwasababu ya aina ya wachezaji alionao. Angekuwa nje kuna wakata umeme mahiri. Game ingeliisha maana Simba walitawala sana kati na alivyotoka lamile moro ndio kabisa, Yanga ikapwaya kabisa
Unacheza mpira biriani wakati wenzio wanacheza mpira kwata, watu wanakimbiza tu. Kocha katumia akili sana ila tu wachezaji sio wengi wakuweza kufanya anavyotakaKuna swali lolote kuhusu pira biriani?
Si ninawaulizaga nyinyi Vyura!
Kama risasi ndio imepelekea kifo chake haijalishi atafia wapi wewe lazima mahakama ikuhukumuSorry kwa kuhamisha maada wakuu, et kisheria inakuwaje kama nikimpiga mtu risasi Kigoma akaenda kufia Dar!?
Wanabeti mzee babaHawa marefa wanachezesha na matokeo yao
So kesi itakuwa ya wapi Kigoma au Dar?Kama risasi ndio imepelekea kifo chake haijalishi atafia wapi wewe lazima mahakama ikuhukumu
Inategemea jamuhuri ita kushtaki wapi ?So kesi itakuwa ya wapi Kigoma au Dar?
Unarudishwa Kigoma kushitakiwaSorry kwa kuhamisha maada wakuu, et kisheria inakuwaje kama nikimpiga mtu risasi Kigoma akaenda kufia Dar!?
Hebu fikiria huu ndio mkeka wako wa kuingia mbinguni π?Leo matokeo ni mawili tu..
1. Simba kumfunga yanga
2. Yanga kufungwa na simba
Ahsante mkuu nimekupata ππUnarudishwa Kigoma kushitakiwa
Kifupi mzamiru ndio tatizo game ya leo, huenda ndio akawa mchezaji aliepoteza mipira mingi zaidi, ukiwemo ule wa goli tulilofungwa.. Unapocheza 4-2-1-3, katika wale viungo wa chini inabidi upate box to box midfielder, sasa shughuli hiyo muzamiru haiwezi, kama angeingia kahata labda angeenda kufanya kazi hiyo na sio kumtupa winga kule ambako wanammaliza kiwango chake tu.No Bwalya aingie Kahata au Dilunga.
Nilisahau km man u anacheza leo, nilipong'amua hilo nikabadilisha kauli.. Tizama comment moja huko juu niliongelea hili baada ya kuona man u anaelekea kushinda game yake na EvertonHebu fikiria huu ndio mkeka wako wa kuingia mbinguni π?
Ungeshangaa makosta mayai ya mbinguni ...yanavyokupita muda huu!
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Wewe umeona kama mimi kwa harakaharaka unaweza kumlaumu Onyango au refa kwa kutoa penati isiyo halali ila wengine wa kuwalaumu ni benchi la ufundi hivi huwa hawaoni makosa ya MzamiruKifupi mzamiru ndio tatizo game ya leo, huenda ndio akawa mchezaji aliepoteza mipira mingi zaidi, ukiwemo ule wa goli tulilofungwa.. Unapocheza 4-2-1-3, katika wale viungo wa chini inabidi upate box to box midfielder, sasa shughuli hiyo muzamiru haiwezi, kama angeingia kahata labda angeenda kufanya kazi hiyo na sio kumtupa winga kule ambako wanammaliza kiwango chake tu.