Ligi ya Morrison na Simba kwenye suala 'Release letter' imefikia patamu

Ligi ya Morrison na Simba kwenye suala 'Release letter' imefikia patamu

Suley2019

JF-Expert Member
Joined
Oct 7, 2019
Posts
2,203
Reaction score
5,610
1655793729478.png

Inaelezwa kuwa Bernard Morrison anaomba release letter kwa Simba, lakini Simba hawana presha wanataka mpaka mkataba wake utamatike kisha wamkabidhi barua.

Inasemekana kuna muda aliwaambia kuna klabu ya nje inamtaka, Simba wakamwambia watume offer yao watapokea ofa na watampa release letter.

Taarifa za kuaminika ni kuwa anataka kujiunga na Yanga, Simba wanafahamu hilo kwa hiyo hawana tatizo zaidi ya kusubiri mwisho wa mkataba.

Naona watu wanaenda kisomi zaidi.
 
Wakuu KWA MFANO TU
.
Katika funzo la hili sakata la Bernard Morrison na uzoefu wa tukio hili huko nyuma.
.
Kipi kinaweza kutokea?
.
1- Klabu mpya kuwasilisha ofa ya kununua mkataba wa miezi miwili iliyobaki?
.
2- Simba Sc watabaki na mkataba wa Bernard Morrison mpaka mwisho wake?
.
3- Bernard Morrison anaweza kuununua mkataba wake uliobaki.?
.
CHAMBUA
 
Simba ni timu yangu ila naomba kwenye hili niwaite WAPUMBAVU.
Mmeshashindwana na mchezaji muacheni aondoke zake mivutano ya Nini?
Umeonae? Halafu eti wanajiita klabu inayoendeshwa kisasa wakati inaendekeza mambo ya hovyo Kama haya, uswahili mwingi. Hakika bado tuna safari ndefu Sana.
 
Kwani wajomba.
Kwa mujibu wa CAF michuano ya hatua ya awali itaanza Mwezi wa 9.
.
Time line ya Taratibu za kuwasilisha majina ya vilabu shiriki, majina ya wachezaji watakaoshiriki michuano hio na ITC inaisha lini?
 
Simba ni timu yangu ila naomba kwenye hili niwaite WAPUMBAVU.
Mmeshashindwana na mchezaji muacheni aondoke zake mivutano ya Nini?
Katika hili niwaombe msitangulize hisia na muache sheria ifuate mkondo wake kwa manufaa ya club na wadhamini wa club, akili za Morisson wote mnazijua swala la kumruhusu akasajiliwe na club nyingine ikiwa mkataba wake haujaisha linaweza kuwageukia Simba Sc hapo baadae.

Vipi akija kugeuka na kusema Simba Sc ndo imevunja mkataba hivyo anaomba fidia? Au kwasababu nyinyi hamuhusiki na maswala ya kifedha pale Simba ndomaana mnaongea bila kuzingatia cautions zozote?

Simba Sc haina shida nae ila ni lazima sheria ifuatwe wakati wa kusajili na kuachana na mchezaji.
 
Yanga watalipa fine ya kuchelewesha jina la Morrison CAF ila atakipiga bila wasiwasi.Wanachokifanya Simba ni uswahili wa kawaida wa vilabu vyetu, especially wao ni mbumbumbu fc Kwaiyo wako sawa.
Inamaanisha Morrison hataweza kucheza preliminary round kwa kuwa jina lake litachelewa CAF, na kwa kuwa Yanga hatoboi hiyo hatua ndio itakuwa Morrison hatagusa CAF kwa next season.
 
Simba wako sahihi kukausha hadi mkataba wa Morson utapoisha.

Kikanuni, Mchezaji anaetaka kuondoka hana haki ya kuomba Release Letter.

Club mpya inayomtaka mchezaji ndio inayotakiwa kutoa taarifa ya nia ya kumuhitaji mchezaji, kisha iombe release letter. (Yanga haina mahusiano mema na Simba ndio maana inapata ugumu)
 
Back
Top Bottom