Pia kuna utaratibu wa kuvunja mkataba uliobaki kwa makubaliano ya pande zote mbili kisheria zaidi mnakaa mezani mnayamaliza kwa vipengele vya kisheria ili huko mbele kusitokee tatizo lolote
Hawana mahusiano gani mema?Simba wako sahihi kukausha.
Kikanuni, Mchezaji anaetaka kuondoka hana haki ya kuomba Release Letter.
Club mpya inayomtaka mchezaji ndio inayotakiwa kutoa taarifa ya nia ya kumuhitaji mchezaji, kisha iombe release letter. (Yanga haina mahusiano mema na Simba ndio maana inapata ugumu)
Kwani ile barua waliandika simba ilijielezaje? Simba si wamesema wameachana na Morrison asa kama umeshasema mmefikia makubaliano ya kuachana kwanini wasimpe talaka yake?Katika hili niwaombe msitangulize hisia na muache sheria ifuate mkondo wake kwa manufaa ya club na wadhamini wa club, akili za Morisson wote mnazijua swala la kumruhusu akasajiliwe na club nyingine ikiwa mkataba wake haujaisha linaweza kuwageukia Simba Sc hapo baadae.
Vipi akija kugeuka na kusema Simba Sc ndo imevunja mkataba hivyo anaomba fidia? Au kwasababu nyinyi hamuhusiki na maswala ya kifedha pale Simba ndomaana mnaongea bila kuzingatia cautions zozote?
Simba Sc haina shida nae ila ni lazima sheria ifuatwe wakati wa kusajili na kuachana na mchezaji.
Sent using Jamii Forums mobile app
Huyo Morisson unafikiri aliondoka Yanga kirahisi tu na kwenda Simba?.Hawana mahusiano gani mema?
Kujua kuwa mchezaji umetangaza kuwa mmemsimamisha mpaka mwisho wa msimu na kutakia heri katika maisha yake mapya ya soka halafu unamnyima haki ya kusajiliwa na timu zingine kisa tu muda bado wa mkataba ni uswahili zaidi.Kumpa release letter kabla ya mkataba wake kuisha ndiyo uswahili wenyewe, ambao kwasasa haupo pale Simba Sc kama ulivyokili mwenyewe.
Hawakusema wamemsimamisha, walisema wamempa mapumziko mpaka mwishoni mwa msimuKujua kuwa mchezaji umetangaza kuwa mmemsimamisha mpaka mwisho wa msimu na kutakia heri katika maisha yake mapya ya soka halafu unamnyima haki ya kusajiliwa na timu zingine kisa tu muda bado wa mkataba ni uswahili zaidi. Dirisha la CAF linafunguliwa tarehe 30 kwahiyo mpaka hapo Simba wanamkomoa Morrison asisajiliwe abakie hana timu
Mkuu usiwe na papara, jamaa analamba mshahara mpaka tarehe 14/08, kwanini apewe release letter wakati ni mwajiriwa wa Simba?Wampe hiyo Release Letter yake aondoke nayo, ili huu ujinga wa kuimba Morisson kila siku uishe.
Hapo wanamkomoa mchezaji coz hao Yanga hata bila BM3 bado watafanya vizuri zaidiKujua kuwa mchezaji umetangaza kuwa mmemsimamisha mpaka mwisho wa msimu na kutakia heri katika maisha yake mapya ya soka halafu unamnyima haki ya kusajiliwa na timu zingine kisa tu muda bado wa mkataba ni uswahili zaidi. Dirisha la CAF linafunguliwa tarehe 30 kwahiyo mpaka hapo Simba wanamkomoa Morrison asisajiliwe abakie hana timu
Mkataba wake unaisha lini? Kwa nini release letter kwa sasa?Simba ni timu yangu ila naomba kwenye hili niwaite WAPUMBAVU.
Mmeshashindwana na mchezaji muacheni aondoke zake mivutano ya Nini?
Deadline haina fine mkuu...Yanga watalipa fine ya kuchelewesha jina la Morrison CAF ila atakipiga bila wasiwasi.Wanachokifanya Simba ni uswahili wa kawaida wa vilabu vyetu, especially wao ni mbumbumbu fc Kwaiyo wako sawa.
Yaaah ni kawaida kwa wanawake kuwa na tabia ya sitaki nataka nyingiDaaaah sema ile barua ya kumtakia mapumziko mema ndo inaanza kufumbua macho [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] madam aliupigaa mwingi
Alipewa mapumziko hadi mwisho wa msimu acha kulisha watu manenoUmetangaza hadharani kuwa umeachana na mtu fulani kwanini usimpe barua ya kumwachia sasa
Katika mazingira ya kawaida Benard angeweza kuununua mkataba wake, lamini kwakuwa simba na Benard hawaelewani na bernad anataka kwenda yanga, basi simba hawatakubali aununue mkataba bali ije timu inayomtaka ili inunue huo mkataba.Wakuu KWA MFANO TU
.
Katika funzo la hili sakata la Bernard Morrison na uzoefu wa tukio hili huko nyuma.
.
Kipi kinaweza kutokea?
.
1- Klabu mpya kuwasilisha ofa ya kuununua mkataba wa miezi miwili iliyobaki?
.
2- Simba Sc watabaki na mkataba wa Bernard Morrison mpaka mwisho wake?
.
3- Bernard Morrison anaweza kuununua mkataba wake uliobaki.?
.
CHAMBUA
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Kwahiyo kwa kauli hiyo, je wamekaa mezani kuongeza mkataba ili ithibitishe kuwa hawakuachana bali kapewa mapumziko pekee?Hawakusema wamemsimamisha, walisema wamempa mapumziko mpaka mwishoni mwa msimu
Unajua kusoma?? Wapi hapo imeandikwa WAMEACHANA NAE?Kwani ile barua waliandika simba ilijielezaje? Simba si wamesema wameachana na Morrison asa kama umeshasema mmefikia makubaliano ya kuachana kwanini wasimpe talaka yake?View attachment 2267389
Ila yanga wangeliachanalo huyu ili afundishwe na dunia. Watafute mchezaji zaidi ya Morrison kwanini nguvu nyingi inatumika kwa huyu mchezaji utafikiri yupo pekee yake Africa nzimaHapo wanamkomoa mchezaji coz hao Yanga hata bila BM3 bado watafanya vizuri zaidi
Kumbe kusimamia sheria sikuhizi ni uswahili? Basi uswahili hautakaa uishe duniani hapa.Kujua kuwa mchezaji umetangaza kuwa mmemsimamisha mpaka mwisho wa msimu na kutakia heri katika maisha yake mapya ya soka halafu unamnyima haki ya kusajiliwa na timu zingine kisa tu muda bado wa mkataba ni uswahili zaidi. Dirisha la CAF linafunguliwa tarehe 30 kwahiyo mpaka hapo Simba wanamkomoa Morrison asisajiliwe abakie hana timu