Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 33,679
- 49,841
Kwanza Elimu gani au somo gani la muhimu mnafundisha huko shuleniBinafsi naamini kupumzika ni baada ya kufa tu! Vinginevyo maisha ni mapambano yasiyo na kupumzika Kama unavyofikiri wewe!
Shule zikifunga ufundishaji na ujifunzaji hupungua kwa asilimia kubwa si kama inavyokuwa shule zinapokuwa hazijafunga!
Ukienda mataifa yaliyoendelea wao shule zikifunga watoto huwa wapo busy kufanya project mbalimbali wanazopewa mashuleni lakini kwetu sisi ambapo ujinga ni mwingi bado tunatakiwa kupambana kuelewa yale ambayo hatukuyaelewa! Huwezi amini hii nchi kuna watu wamemaliza chuo kikuu na hawajui kusoma wala kuandika! Mfano badala ya Hakuna mtu anaandika akuna nk
Acheni watoto wasome
hahah we mwalimu acha nongwa na wivu, mimi sio mwalimu haitakaa itokee na sijasoma kwenye shule zenu za kiswaenglish wazazi wangu walijitambua mapema na sasa napiga pesa bila kutoka jasho sio wewe ulielamba chaki miaka 40 ili uje kupata mafao ya milioni 70 alafu hiyo milioni 70 ukaishia kutapeliwa 🤣🤣,na kwa taarifa yako wanafunzi wa shule za serikali hakuna hata mmoja alie baki shuleni .Acha tamaa mwalimu,nenda likizo kasalimie wazazi na ndugu zako,Mimi nimefundisha kwa miaka zaidi ya ishirini sijawahi kusumbuliwa kwa kuferisha,wewe uko shule gani ambayo watoto wakifeli unasumbuliwa?
Pili Umeshindwa kuendana na syllabus kwa miezi sita ijekuwa mwezi mmoja!?,wee hufai kuwa mwalimu una m
Uzembe,inabidi mamlaka zikufatilie,haiwezekani hadi juni hujaendana na Syllabus
Huyo mwalimu ambaye hamalizi syllabus kisa likizo ni mzembe,hafai kuwa mwalimu,kuna syllabus ambayo imeandaliwa kwa kuzingatia likizo na matukio yote ya kitaifa,Wanafunzi kutopata muda wa likiizo ni matokeo ya mfumo wa elimu.
Ni dhahiri kwa mwaliku anayejaribu kufundisha kwa kuwaelewesha wanafunzi , hawezi kumaliza syllabus kwa muda muafaka ndio maana wanafunzi wanalazimishwa kukaa mashuleni ili waalimu wapate muda wa kumaliza topics.
Suluhisho ni specialization ianzie hata shule za msingi ili wanafunzi wawe na masomo machache ambayo watasoma kwa kuelewa sio kukariri
C WAZIRI KASEMA TUNAFUTA MITIHANIkama ni hivyo Na mitihani ifutwe
yes ndiyo kinachotakiwa kwa mfumo huu wa elimu hata mtoto akibaki shule au nyumbani haiwezi kumsaidia kitu, pia kwa taarifa nilizo nazo watoto wanaobaki shule ni wa shule za private tuu, shule za serikali wamepiga marufuku wanafunzi kubaki shule. sasa wanaolalamika ni wale walio peleka wanafunzi wao private school sasa sijui wanataka nini 😂Katika huu ulimwengu wa ushindani/kibepari, mwanao akija kuwa mlinzi wa geti la shule usilaumu watu, bali ni uzembe wako; sasa hivi watu wanafikiria kuamia mwezini, we bado unawaza uwe karibu na mtoto ili mchome mahindi ya kuchoma?
Kinachotakiwa kwa sasa ni mfumo wa elimu uboreshwe, ili mtu anapohitimu awe na ujuzi tayari wa kujiajiri n.k
Huna utajiri wowote wewe boya tu mbele yangu,sasa hata kama wewe ni tajiri unadhani wote unataka tuwe kwenye nafasi yako !? Hakuna mwalimu bila mwanafunzi ,hakuna tajiri bila ya uwepo wa masikini.hahah we mwalimu acha nongwa na wivu, mimi sio mwalimu haitakaa itokee na sijasoma kwenye shule zenu za kiswaenglish wazazi wangu walijitambua mapema na sasa napiga pesa bila kutoka jasho sio wewe ulielamba chaki miaka 40 ili uje kupata mafao ya milioni 70 alafu hiyo milioni 70 ukaishia kutapeliwa [emoji1787][emoji1787],na kwa taarifa yako wanafunzi wa shule za serikali hakuna hata mmoja alie baki shuleni .
Mpaka hapa sina sababu yeyote ya kuendelea kukujibu. Ni dhahiri tuna fikra na mitazamo tofauti.Binafsi naamini kupumzika ni baada ya kufa tu! Vinginevyo maisha ni mapambano yasiyo na kupumzika Kama unavyofikiri wewe!
yes ndiyo kinachotakiwa kwa mfumo huu wa elimu hata mtoto akibaki shule au nyumbani haiwezi kumsaidia kitu, pia kwa taarifa nilizo nazo watoto wanaobaki shule ni wa shule za private tuu, shule za serikali wamepiga marufuku wanafunzi kubaki shule. sasa wanaolalamika ni wale walio peleka wanafunzi wao private school sasa sijui wanataka nini 😂
Asante sana. Umemaliza chief. At least umesema ukweli maana wengi wa walimu hapa wanaongea upumbavu wa kujifanya wana moyo wa kujitolea sana kwa watoto wa wengine when in reality ni njaa zao tu.Hayupo mwalimu wa kupoteza muda wake wakati wa likizo eti kisa anitolea kufaulisha watoto nimefundusha kwa sasa Nina shule 10 sijawahi kuona hii kitu tofauti na walimu kuwachangisha watoto pesa .
Kiufupi ufundishaji wakati wa likizo ni miradi ya walimu kupiga pesa ,sasa kichaka kimewaka moto,tafuteni kichaka kingine nyie walimu wa aina hii.
Jifunzeni kuwa na miradi yenu ili likizo kama hii mkasimamie miradi yenu,ualimu kazi nzuri sana isipikuwa inaharibiwa na watu wachache kama ninyi
Inategemea na" uzembe " hakuna hata shuke moja ya serikali ambayo mwalimu hakumaliza syllabus, in fact shuke za serikali ndio wamepiga marufuku mwanafunzi kubaki shuleni , inajulikana serekalini ni buruta twende no one cares !Huyo mwalimu ambaye hamalizi syllabus kisa likizo ni mzembe,hafai kuwa mwalimu,kuna syllabus ambayo imeandaliwa kwa kuzingatia likizo na matukio yote ya kitaifa,
Ujinga mtupu. Ukienda huko shule kipindi cha likizo walimu wanapiga soga tu na watoto wanaambiwa wafanye revision. Kwa upande wao pesa ishaingia wanaotaaboika ni watoto wetu.Kwanza Elimu gani au somo gani la muhimu mnafundisha huko shuleni
Tafteni Kazi au Biashara ya ku-raise income zenu waacheni watoto wapumzike shule zenyewe chafu madarasa machafu then hamtaki watoto wapumzike #kid
Wewe kma ni mwalimu basi kunashida kwa kichwa yako,huwezi linganisha ufaulu wa private na government schools, kuna factor nyingi sana,huku sisi serikalini tunabeba kila mtoto ,no matter how,pili mazingira,huku sisi day schools mtoto akitoka shule anaenda kuchunga ngombe,wakati private school 99 asilimia ni boarding,tatu mtoto shule zetu za kata anashindia mlo mmoja,sasa utapate matokeo sasa wewe.?Inategemea na" uzembe " hakuna hata shuke moja ya serikali ambayo mwalimu hakumaliza syllabus, in fact shuke za serikali ndio wamepiga marufuku mwanafunzi kubaki shuleni , inajulikana serekalini ni buruta twende no one cares !
Shule binafsi kwa miaka ya karibuni ndio zimekuwa trend setters, linapokuja swala la ufaulu, hilo la muda kutowatosha kumaliza syllabus ni dalili kuwa kuna tatizo kwenye mitaala