Lile kaburi limeshajengewa kwa heshima, halijazungukwa tena na mabati

Ukiondoa ubabe na sometimes UKATILI wake uliopitiliza.
Ila jamaa alkua Ni bonge la mzalendo.

Kiukweli,
Aliipenda sana Tanzania kuliko alivyoipenda nafsi yake mwenyewe.
Mkuu nimekupa "like"...umeandika kwa kifupi sana na ndio ukweli wenyewe
 
Pamependeza sana kunywea beer hapo
 
Duh!!! Utadhani alikuwa mtakatifu fulani hivi kumbe dhalimu mkubwa sana aliyeharibu maisha ya mamilioni ya Watanzania.
Angalia lipumbavu hili...mlitaka kuibia wanyonge tu kila siku? Shenzi type mkome nyang'au
 


wheelchair ya mlemavu imekwama kwenye ngazi... jengo haliko haliko vilema-friendly... wameweka kingazi ndani kwa ndani sijui cha kazi gani...
 
SAFI SANA KWA HESHIMA YA MENGI ALIYOTUFANYIA NA MUNGU AMPUMZISHE MAHALI PEMA
Alivyokuwa muuaji alijiona dunia ni yake hatakufa.

Mungu fundi sana asante Mungu kwa kumuondoa huyo muuaji maana alijiona hakuna wa kumgusa kwasababu ya mabunduki lkn walishindwa na akafa.

Sent from my SM-N9150 using JamiiForums mobile app
 
Reactions: BAK

Mmh unatumia nguvu nyingiii embu kunywa maji bs kidogo upumue[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji38][emoji38][emoji38]
 
Alivyokuwa muuaji alijiona dunia ni yake hatakufa.

Mungu fundi sana asante Mungu kwa kumuondoa huyo muuaji maana alijiona hakuna wa kumgusa kwasababu ya mabunduki lkn walishindwa na akafa.

Sent from my SM-N9150 using JamiiForums mobile app

Kila mtu anakufa kwa ahadi yake hata wewe utakufa utaacha wengine [emoji23][emoji23]
 
Peleka upumbavu wako lumumba. Nimekwambia nina kiu ya maji!? 😳😳😳

Mmh unatumia nguvu nyingiii embu kunywa maji bs kidogo upumue[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji38][emoji38][emoji38]
 
Duh!!! Utadhani alikuwa mtakatifu fulani hivi kumbe dhalimu mkubwa sana aliyeharibu maisha ya mamilioni ya Watanzania.
Hizi takwimu umezipata wapi wewe baradhuri? Umeshindwa kutuambia idadi ya wananchi walioathiriwa na gaidi Mbowe Leo hii unajifanya mtaalamu wa athari za JPM!!!

Kafie mbali!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…