Lililoitwa Sakata la Bandari: Pumba zimeanza kujitenga na Mchele

😂😂 kama ni nguo umemvua zote, bora kunguru ulaji wake haumtegemei mwenzake anapambana kivyake
 
Umeandika uchafu mtupu

Usiwaingize KKKT kwenye huo ujinga wako.

Maji yamewafika shingoni mwezi October huo hamna linaloendelea mnatamani mturoge Taifa zima ili muwakaribishe hao wajomba zenu waarabu watuletee ushoga wao Tanzania.

Usirudie tena kuwaita TEC wazandiki ukome😏
 
hujasikia huko watu wako wanabadili mkataba kimya kimya 😂😂😂😂 kichwa kisicho na akili ni mzigo kwa shingo


 
Wewe chawa tu. Unaongea kitu tofauti kabisa. Hao kina ACT na Kkkt wamesema tunahitaji uwekeza. China yenyewe inahitaji uwekezaji. Wapinga mkataba wa IGA na dubai hawapingi uwekezaji wa nje. Wanapinga huo mkataba na dubai. Mkataba wenye masharti ya kibeberu na kikoloni. Mbona sasa wamepata woga baada ya hadaa zao kujilikana? Kama una akili mtoa hoja ungeangalia hata zile reservations za majaji hukumu ya mbeya. Kuna some very serious issues. Ni kama kina mwabukusi walishinda ile kesi ila majaji wametoa ushindi kwa namna tofauti kuepuka balaa kwao.
 
Hongera Samia kwa ushindi huu hakika TEC wamepuuzwa na ndioa mwanzo wa taasisi hii kuporomoka kiushawishi. Kila mtu amepata picha Sasa kwamba nyaraka zao Huwa ni maslahi Yao binafsi tu. Mama aliamia kutulia nampongeza kwa Hilo mana angebabaika tu tayari TEC wangesababisha mauaji ya kimbari kama mapadre wa rwanda walivyosababisha kule rwanda. Huwa nawaambia Ile siyo dini ya mwenyezi mungu Bali kundi la wajanja wajanja tu. Mungu Gani ambaye haruhusu watu waoe?
 
Dini ya mwenyezi Mungu ndio inaruhusu uvaaji ya shungi na kobazi😁 mnachekesha kweli na kuabudu kwenu shetani
 
Soma hii
 

Attachments

  • IMG-20230906-WA0001.jpg
    46.5 KB · Views: 3

Wapo KKKT waliunga mkono mkataba wa bandari ndugu. Kutokupinga uwekezaji si kuunga mkono IGA na bandari. Zaidi mno wapi nani anapinga uwekezaji.
 
Kwani hili suala bado linajadiliwa? Na nani? Kwanini? Mbona ilishaenda hiyo... Mwenyee alishatoka kukemea 😂 😂 😂 😂
 
RUBBISH...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…