Bashiru, Kabudi, Slaa, Mkumbo wako wapi? tunaolalamika ni wale ambao tupo mbali na huu mfumo ovu wa kuiba pesa umma, hata wewe leo ukiteuliwa utaanza kuiba mapambio pekee.
Kwa hili la intimidation, baba wa taifa tumwombee msamaha kwa Mungu...Hii tabia ya ukuu wa bila kuulizwa swali ila yeye akiongea ndiyo point hata kama haipo ni urithi aliotuachia ambao unatutafuna mpaka leo kama cancer...
Lakini haina neno, aloshaondoka na kwahakika tunapaswa kuirudisha ile confidence back...Kwa hili la kuhoji bila intimidation Mh. Kikwete anastahili kupongezwa....Ilikuwa tumeshavuka na kufika sehemu, tatizo ni JPM naye akaturudisha nyuma kwenye confidence lakini akatufundisha kitu kipya kwamba ujamaa na kujitegemea inawezekana kwa vitendo...Sasa tumepata pande zote mbili kwanini hatutaki kuviunganisha kupitia katiba mpya? Hili swali liende kwa kiongozi wa wakati huu, yeye alipaswa kuwa ndiye muunganishaji wa pande zote mbili za shilingi tupate thamani ya hiyo shilingi...Hapa analo la kulaumiwa!
Mtu mwenye nguvu na ushawishi anakoswa koswaje kupinduliwa hadi anaomba msaada nje ya nchi (Uingereza)?
Kama angekuwa na nguvu na ushawishi huo unaofikiri basi angerudisha kwanza azimio la Arusha ambalo ndio lilikuwa jambo la muhimu na alilolipigania sana mwenyew enzi ya utawala wake.
Kuhusu ushauri sio Nyerere tu peke yake alishauri, bali hata baadhi ya wasomi, wanasheria, viongozi wa dini nk. Na kwa vile Mwinyi nae aliamini katika kukosolewa kama tulivyoona katika utawala wake basi hakuona sababu ya kukataa ushauri huo ambao yeye mwenyewe alikuwa ashaona manufaa yake ila wahafidhina wa ndan ya chama ndio waliokuwa wanajaribu kuuyumbisha yumbisha.
Nyerere alifuta vipi vyama vya upinzani wakati ni yeye ndie aliruhusu vianze kuwepo licha ya kupingwa na wengi kwenye chama chake?
Usichanganye Nyerere kuvifuta vyama vya upinzani wakati wa kupigania Uhuru na baada ya hapo, wakati wa kupigania Uhuru ilikuwa ni vyema kwake kufanya alivyofanya ili kuwaunganisha watanzania kwa muda mfupi, wawe na lengo moja, ili kufikia matarajio waliyojiwekea.
Kuruhusu vyama vya upinzani kabla ya uhuru kungekuwa ni kuvurugana wenyewe kwa wenyewe hapa ndani, hivyo mkoloni angetumia mvurugano wetu kuendelea kututawala kirahisi, mimi niko na Nyerere kwenye hilo.
Na kwa maelfu ya wazee na ndugu zetu waliouliwa kwa uvamizi wa Nyerere , Zanzibar , na kwa kuidanganya dunia kuwa nchi zimeungana na kuibadilsha Tanganyika na kuiita TanzaniaKila nabii na kitabu chake. Ukitaka kujua namaanisha nini kuhusu msemo huo, basi muulize Oscar Kambona, bibi Titi Mohammed na viongozi wengine walioonja joto la jiwe la mwl Nyerere. Kidogo uniambie Mwinyi ndo hakutumia nguvu kubwa kuwaadhibu waliompinga.
Kuna kijana (jina simtaji) huko chuo kikuu fulan aliwahi kumchora raisi Mwinyi picha ya kudhalilisha, kijana akashukiwa na wanausalama ili wakamuadabishe, lkn Mwinyi akawapigia sim fasta wana usalama na kuamrisha wamuachie kijana huyo haraka iwezekanavyo aendelee na masomo yake bila kujali matusi na kejeli zake alizozionesha kwake, kwa familia yake na nafasi yake kama raisi wa nchi.
Huyu kijana angefanya hivyo enzi za Nyerere pengine leo tusingekuwa nae tena.
Watanganyika wale kabla ya uvamizi lakini hawa walionyeshwa sumu ya ubaguzi na Nyerere ni shida sanaWatanganyika wa kawaida ni watu wema wakarimu na hawana ubaguzi. Nenda popote, utake kuishi, biashara, utangaze dini, uoe au uolewe n.k utakaribishwa. Hii ni fursa kubwa sana mtu kutafuta maendeleo.
Ni kundi dogo sana lenye nguvu ya uhodhi lenye jeuri ya kulinda wanachotamani.
Wapo wanaopigania kuingia huko lakini wanakabiliana na shida ya mwenye nguvu mpishe.
Watu wa kawaida ni wengi sana, wana meno lakini wanaogopa kung'ata sababu kuna mishale imelengwa.
Tanzania kwetu pazuri.
Nyerere alikuwa na uwezo wa kufuta vyama vya upinzani wakati wa kupigania uhuru?Nyerere alifuta vipi vyama vya upinzani wakati ni yeye ndie aliruhusu vianze kuwepo licha ya kupingwa na wengi kwenye chama chake?
Usichanganye Nyerere kuvifuta vyama vya upinzani wakati wa kupigania Uhuru na baada ya hapo, wakati wa kupigania Uhuru ilikuwa ni vyema kwake kufanya alivyofanya ili kuwaunganisha watanzania kwa muda mfupi, wawe na lengo moja, ili kufikia matarajio waliyojiwekea.
Kuruhusu vyama vya upinzani kabla ya uhuru kungekuwa ni kuvurugana wenyewe kwa wenyewe hapa ndani, hivyo mkoloni angetumia mvurugano wetu kuendelea kututawala kirahisi, mimi niko na Nyerere kwenye hilo.
Mzee ana miaka 96 ameshazeeka, ni somo kwa wanasiasa vijana juu ya kujishusha na kukubali kukosolewa.Kila nabii na kitabu chake. Ukitaka kujua namaanisha nini kuhusu msemo huo, basi muulize Oscar Kambona, bibi Titi Mohammed na viongozi wengine walioonja joto la jiwe la mwl Nyerere. Kidogo uniambie Mwinyi ndo hakutumia nguvu kubwa kuwaadhibu waliompinga.
Kuna kijana (jina simtaji) huko chuo kikuu fulan aliwahi kumchora raisi Mwinyi picha ya kudhalilisha, kijana akashukiwa na wanausalama ili wakamuadabishe, lkn Mwinyi akawapigia sim fasta wana usalama na kuamrisha wamuachie kijana huyo haraka iwezekanavyo aendelee na masomo yake bila kujali matusi na kejeli zake alizozionesha kwake, kwa familia yake na nafasi yake kama raisi wa nchi.
Huyu kijana angefanya hivyo enzi za Nyerere pengine leo tusingekuwa nae tena.
Kama nilivyokwambia awali, reasoning yako nimeshajua iko influenced na kitu gani, hivyo kwako sio rahisi kuona lolote zuri la Nyerere.Mtu mwenye nguvu na ushawishi anakoswa koswaje kupinduliwa hadi anaomba msaada nje ya nchi (Uingereza)?
Kama angekuwa na nguvu na ushawishi huo unaofikiri basi angerudisha kwanza azimio la Arusha ambalo ndio lilikuwa jambo la muhimu na alilolipigania sana mwenyew enzi ya utawala wake.
Kuhusu ushauri sio Nyerere tu peke yake alishauri, bali hata baadhi ya wasomi, wanasheria, viongozi wa dini nk. Na kwa vile Mwinyi nae aliamini katika kukosolewa kama tulivyoona katika utawala wake basi hakuona sababu ya kukataa ushauri huo ambao yeye mwenyewe alikuwa ashaona manufaa yake ila wahafidhina wa ndan ya chama ndio waliokuwa wanajaribu kuuyumbisha yumbisha.
Mie nakubali mambo mengi ya Baba wa Taifa lakini lile la detention na kukemea watu hadharani kama watoto wadogo with abusive language katu sili afiki...Yeye pia ilikuwa siyo rahisi kumwendea kwakua alikuwa mkali na hujui atakubana angle ipi, baba yangu mimi alisoma kama yeye na kwakua alikuwa anajua maana ya freedom alijiondoa mapema sana kwenye mambo haya ya kudumisha fikra hata zisizo sahihi...He trained us to be assertive na kamwe tusikubali kuwa bullied any how na mtu yeyote, jambo nililoishi nalo mpaka leo.Si kweli kuwa mwalimu hakupenda kuhojiwa. Msimamo wa Nyerere kuhusiana na hoja tofauti ulikuwa ni huu:
View attachment 2390143
Nyerere hakuwa na taabu na wenye hoja bali wenye kutaka kulpua mlang.bila kujali waliomo.
Nikuulize kuutathmini msimamo huo kabla ya ku draw conclusion.
Kanchi kananuka RUSHWA- Nyerere said in 1995.Tanzania ya enzi za Nyerere ikiheshimika kila pembe ya dunia haipo tena. Tanzania hiyo ilikuwa na misimamo yake iliyojulikana na isiyotetereka.
Uhuru wa Tanzania hiyo haukuwa na maana yoyote bila Afrika yote kuwa huru. Uhuru wa Tanzania hiyo haukuwa na maana yoyote kama kulikuwa na ukiukwaji haki popote duniani Ukweli huo ulifahamika hivyo na kila rafiki na hata kila adui.
Kama taifa tulikuwa wamoja na nchi ilikuwa yetu sote. Nguvu ya hoja ilitamalaki na uthubutu wa kuhoji ulisisitizwa katika nyanja zote kutokea shule za misingi.
Leo baadhi ya watu kwa nafasi na ubinafsi wao wametumia nguvu kuuuwa uthubutu wa kuhoji. Yote hiyo ikiwa kwa nia ya kujimilikisha nchi wao na familia zao. Wasijue kuwa nchi wanaiuwa pia
Leo hatushindani kwa hoja. Hoja hazijibiwi kwa hoja, bali kejeli au kwa marungu. Watu wenye hoja tofauti wanatakiwa kuufyata. Tumelazimishwa kuwa taifa la makondoo.
Matokeo yake yamekuwa watu kulia lia yanapowakuta bila kuwa na uthubutu wa kuchukua hatua. Watu wamelazimika kuwa wenye kuangalia maslahi yao binafsi yanayowagusa wao moja kwa moja. Kwa maana jitihada za kuhoji lolote zimegeuzwa kuwa ni kujichumia majanga.
Uwezo wa kujenga, kutetea au kupinga hoja haupo tena. Utanzania wetu tuliojulikana nao umeparaganyika. Kila mtu imekuwa yupo yupo tu. Leo bila aibu tunajinasibu kama mashabiki wa Man U au Arsenal.
Ni muhimu kwa Kila mmoja kujihoji amefanya nini kuifikisha hii nchi hapa.
Anasema Prof Shivji:
“Pasipo mijadala au ubunifu huwezi kuendeleza fikra, na hii inakwenda moja kwa moja kuathiri usomaji na ufundishaji.”
Kwanini kuwaziba watu midomo? Kwanini hoja kupigwa marungu? Kwanini kuitana majina? Kwanini kujikita kupambana na mleta hoja badala ya kupambana na hoja? Nk, nk.
Kwanini JF hupiga wajumbe ban, kufuta au kufunga nyuzi bila kutoa sababu zikajulikana hadharani?
"Kwanini," huhitaji majibu si marungu.
I concur with you, Tanzanians in general are very modest people, lakini mostly wanakuwa abused...Watanganyika wa kawaida ni watu wema wakarimu na hawana ubaguzi. Nenda popote, utake kuishi, biashara, utangaze dini, uoe au uolewe n.k utakaribishwa. Hii ni fursa kubwa sana mtu kutafuta maendeleo.
Ni kundi dogo sana lenye nguvu ya uhodhi lenye jeuri ya kulinda wanachotamani.
Wapo wanaopigania kuingia huko lakini wanakabiliana na shida ya mwenye nguvu mpishe.
Watu wa kawaida ni wengi sana, wana meno lakini wanaogopa kung'ata sababu kuna mishale imelengwa.
Tanzania kwetu pazuri.
Yaani Nyerere angekuapo leo ngesikitika sana na yanayoendelea...na alianza kusikitika toka Mkapa alipokuwa raisi. Hata akamuuliza "unabinafsisha hata NBC kwa nini hasa? Siku moja utabinafsisha magereza"Tanzania ya enzi za Nyerere ikiheshimika kila pembe ya dunia haipo tena. Tanzania hiyo ilikuwa na misimamo yake iliyojulikana na isiyotetereka.
Uhuru wa Tanzania hiyo haukuwa na maana yoyote bila Afrika yote kuwa huru. Uhuru wa Tanzania hiyo haukuwa na maana yoyote kama kulikuwa na ukiukwaji haki popote duniani Ukweli huo ulifahamika hivyo na kila rafiki na hata kila adui.
Kama taifa tulikuwa wamoja na nchi ilikuwa yetu sote. Nguvu ya hoja ilitamalaki na uthubutu wa kuhoji ulisisitizwa katika nyanja zote kutokea shule za misingi.
Leo baadhi ya watu kwa nafasi na ubinafsi wao wametumia nguvu kuuuwa uthubutu wa kuhoji. Yote hiyo ikiwa kwa nia ya kujimilikisha nchi wao na familia zao. Wasijue kuwa nchi wanaiuwa pia
Leo hatushindani kwa hoja. Hoja hazijibiwi kwa hoja, bali kejeli au kwa marungu. Watu wenye hoja tofauti wanatakiwa kuufyata. Tumelazimishwa kuwa taifa la makondoo.
Matokeo yake yamekuwa watu kulia lia yanapowakuta bila kuwa na uthubutu wa kuchukua hatua. Watu wamelazimika kuwa wenye kuangalia maslahi yao binafsi yanayowagusa wao moja kwa moja. Kwa maana jitihada za kuhoji lolote zimegeuzwa kuwa ni kujichumia majanga.
Uwezo wa kujenga, kutetea au kupinga hoja haupo tena. Utanzania wetu tuliojulikana nao umeparaganyika. Kila mtu imekuwa yupo yupo tu. Leo bila aibu tunajinasibu kama mashabiki wa Man U au Arsenal.
Ni muhimu kwa Kila mmoja kujihoji amefanya nini kuifikisha hii nchi hapa.
Anasema Prof Shivji:
“Pasipo mijadala au ubunifu huwezi kuendeleza fikra, na hii inakwenda moja kwa moja kuathiri usomaji na ufundishaji.”
Kwanini kuwaziba watu midomo? Kwanini hoja kupigwa marungu? Kwanini kuitana majina? Kwanini kujikita kupambana na mleta hoja badala ya kupambana na hoja? Nk, nk.
Kwanini JF hupiga wajumbe ban, kufuta au kufunga nyuzi bila kutoa sababu zikajulikana hadharani?
"Kwanini," huhitaji majibu si marungu.
Mkuu mbona haueleweki. Mara Baki, mara Nyerere, mara JF uzi huu huu mmoja. Dah kazi kweli kweli.Kama nawaona johnthebaptist, Sexless, Pascal Mayalla na wenzao wakipita juu kwa juu kimya kimya.
Sana sana wakijisemea: hiiiiiiiiii!
Si mbaya wandugu tukawa wa wazi tu.
Hamjambo lakini kukote Kule mlipo?
Nyerere alimuuwa nani tena Zanzibar mkuu mbona sikuelewi?Na kwa maelfu ya wazee na ndugu zetu waliouliwa kwa uvamizi wa Nyerere , Zanzibar , na kwa kuidanganya dunia kuwa nchi zimeungana na kuibadilsha Tanganyika na kuiita Tanzania