Limekaaje suala la madalali kulipwa kodi ya mwezi mmoja?

Limekaaje suala la madalali kulipwa kodi ya mwezi mmoja?

Achana na udalali, kuna suala ya wenye nyumba kuchukua kodi kuanzia miezi mitatu,sita hadi mwaka. Wakati unakuta mshahara mtu analipwa on monthly basis, sasa unajiuliza kama nalipwa kwa mwezi mwezi ninapata wapi hela ya kulipa miezi sita?

Na serikali iko kimya kabisa
Lukuvi anahangaika na vyanzo vya mapato anasahau hiki chanzo, sijui ni nn tatizo.
 
Ni Utapeli kama utapeli mwingine. Kodi ya Mwezi mmoja ni nyingi sana!! Ilitakiwa kuwe na standard labda kukuonyesha eneo ni labda elfu 10 na kama ukiipenda unalipa labda elfu 20! Kisha wao walipwe posho na mwenye nyumba maana wamemtafutia mteja.
Nyie ndio hamjui.
Dalali akikupeleka kwa mwenye nyumba kama chumba umekikubali labda kodi kwa mwezi ni 50 elfu na ukalipa miezi 6 (300,000)mwenye nyumba yeye mkataba anakuandikia 3laki hiyo hiyo ila yeye anapoke 295000 ina maana dalali anachukua 50.hiyo inakuwa imetoka kwamwenye mwenye nyumba.sasa hapo sijajua nyie linawahusu nini wapangaji.
Na hili mwenye nyumba analielewa maana huyo huyo dalali ana uwezo wa kumhamisha huyo mpangaji hata kwa ndumba maana madalali nao wametimia.
 
Achana na udalali, kuna suala ya wenye nyumba kuchukua kodi kuanzia miezi mitatu,sita hadi mwaka. Wakati unakuta mshahara mtu analipwa on monthly basis, sasa unajiuliza kama nalipwa kwa mwezi mwezi ninapata wapi hela ya kulipa miezi sita?

Na serikali iko kimya kabisa
Nenda NHC ,ndiyo wenye utaratibu wa monthly basis kama marejesho ya mkopo.Na pia ukilipia hiyo ya miezi 6,tukizinguana hakuna kurudisha kodi yako
 
Yaani wewe unaonekana kabisa ni dalali...!!
Sio hivyo mkuu hawa jamaa wanasaidia sana na hata wenye nyumva wenyewe wanajua unaweza kuta chumba kipo mwenye nyumba akakuambia kiko chini ya dalali bila yeye hawwzi kukupa sasa hapo utafanyaje[emoji2][emoji2]
 
Hakuna biashara bila dalali mkuu. We sema madalali wetu hawajakaa kiofisi kiasi cha kulipa na wenyewe kodi ya serikali. So wako sahihi tatizo ni hilo tu. Hata ukiwa na hisa kwa mfano kuna madalali ukitaka kuuza au kununua.
 
Ni Utapeli kama utapeli mwingine. Kodi ya Mwezi mmoja ni nyingi sana!! Ilitakiwa kuwe na standard labda kukuonyesha eneo ni labda elfu 10 na kama ukiipenda unalipa labda elfu 20! Kisha wao walipwe posho na mwenye nyumba maana wamemtafutia mteja.
Usumbufu wote wa-nini ?

Hata hicho kiwango unachopendekeza ni kikubwa sana.

Suluhisho;

Tafuta mwenyewe Boss.
 
Ni wizi huo wa kuwababesha wapangaji gharama zisizowahusu. Kwanini wasilipwe na mwenye nyumba? Mwenye nyumba anamlipa kiasi gani dalali?
Biashara ya Mwenyenyumba na Dalali haikuhusu Mpangaji.
Bishara iliyopo iwapo umemtafuta Dalali ni kati yako na huyo Dalali.
Acha kuingilia yasiyokuhusu.
Na ukiona vipi achana na Dalali,
Tafuta mwenyewe,
Simple as that.
 
Nyumba za kupanga dodoma ni maumivu tu...kodi kubwa utadhani wana wapangashia matajiri gani sijui nyumba zenyewe sasa!! Madali ndo nuksi kabisa huku
Huyu hajui kuwa kuna watu wamehamia Dodoma wameacha magorofa Dar wanapasuana vichwa na madalali wa Dodoma!
 
Kwaiyo ndo wapate uhali wa kuchukua kodi ya mwenzi mzima!?
Sio hivyo mkuu hawa jamaa wanasaidia sana na hata wenye nyumva wenyewe wanajua unaweza kuta chumba kipo mwenye nyumba akakuambia kiko chini ya dalali bila yeye hawwzi kukupa sasa hapo utafanyaje[emoji2][emoji2]
 
Nyie ndio hamjui.
Dalali akikupeleka kwa mwenye nyumba kama chumba umekikubali labda kodi kwa mwezi ni 50 elfu na ukalipa miezi 6 (300,000)mwenye nyumba yeye mkataba anakuandikia 3laki hiyo hiyo ila yeye anapoke 295000 ina maana dalali anachukua 50.hiyo inakuwa imetoka kwamwenye mwenye nyumba.sasa hapo sijajua nyie linawahusu nini wapangaji.
Na hili mwenye nyumba analielewa maana huyo huyo dalali ana uwezo wa kumhamisha huyo mpangaji hata kwa ndumba maana madalali nao wametimia.

Hahahahahahahahaha...kwamba madalali nao si wa mchezomchezo...ukitaka kujua umuhimu wa dalali uwe na shida ya nyumba au uwe unauza kitu. Msiwachukulie pouwa wenye fani zao. Acha na wao wapate hela maana wanahangaika mno. Imagine mtu anashinda anatembea kutwa nzima
 
Biashara ya Mwenyenyumba na Dalali haikuhusu Mpangaji.
Bishara iliyopo iwapo umemtafuta Dalali ni kati yako na huyo Dalali.
Acha kuingilia yasiyokuhusu.
Na ukiona vipi achana na Dalali,
Tafuta mwenyewe,
Simple as that.
Madalali ni muhimu sana maana huwezi kutembea mtaa kwa mtaa kutafuta nyumba...utachukua miezi kuipata. Madalali ukitaka uone umuhimu wao uwe na bidhaa unauza au unataka kumunua hasa nyumba au kiwanja. Nadhani tuendelee kuwaheshimu hawa watu
 
Back
Top Bottom