Limekaaje suala la madalali kulipwa kodi ya mwezi mmoja?

Limekaaje suala la madalali kulipwa kodi ya mwezi mmoja?

Bila yeye hicho chumba ungepata?
Yap,watu wasiangalie upande mmoja tu.
Mfano mimi nipo bize na shughuli zangu,nampa kazi dalali anitafutie nyumba/chumba nzuri,anafanya kaziyake alafu kumpa mpunga ndo iwe zengwe!!
kama vipi unakubaliananae mapema kabla ajafanya kazi yako
Pia madalali wengi ni waelewa kama ten 10% percent yake ni 170k ukimwambia ntakupa laki akatai.
 
Nyie ndio hamjui.
Dalali akikupeleka kwa mwenye nyumba kama chumba umekikubali labda kodi kwa mwezi ni 50 elfu na ukalipa miezi 6 (300,000)mwenye nyumba yeye mkataba anakuandikia 3laki hiyo hiyo ila yeye anapoke 295000 ina maana dalali anachukua 50.hiyo inakuwa imetoka kwamwenye mwenye nyumba.sasa hapo sijajua nyie linawahusu nini wapangaji.
Na hili mwenye nyumba analielewa maana huyo huyo dalali ana uwezo wa kumhamisha huyo mpangaji hata kwa ndumba maana madalali nao wametimia.
wa stendi madalali uwa wanakula kwa mwenyenyumba na mpangaji,kote anakula 10%.kumbe wewe uajawajua vizuri awajamaa.
 
Ndugu wajumbe, mimi naweka wazi kabisa kuwa mimi ni dalali.

Nyie mnaojifanya mnajua hapa huwa ham wezi kupata chumba wala nyumba bila misaada yetu sisi.

JARIBU KUTAFUTA MWENYEWE UACHE SHUGHULI ZAKO UONE ILIVYO KAZI

Na,
Hakuna dalali anaekulazimisha ulipe hio hela hata kidogo.

Thats an agreement between us and our beloved customers. Tena wengi huwa wanatoa pungufu and we dont give a damn.


Okay karibuni sana naitwa DALALI SOLOMON NIPO TABATA DAR
0744033555

Nakuunganisha upate
Pikipiki used brand zote
Tv used brand zote size zote
Gari used hadi kwa milioni 3
Mashamba
Viwanja chanika mvuti kisewe mbande hadi kwa milioni 1.

Nitafute kwa hio namba niendelee kuishi.
 
Binafsi katika suala la madalali, ninachoweza shauri hapo ni serikali za mitaa kuweka utaratibu kwamba kila mwenye nyumba, chumba au kitu chochote cha kupangisha apeleke taarifa zake kwenye ofisi ya serikali ya mtaa ili kama mtu anataka chumba oneo fulani anafika hapo ofisini. Mana hii pia itaongeza usalama wa eneo husika kwa kuwa kila anayepanga eneo hilo basi ofisi inakuwa na taarifa zake lakini pia inaweza ikawa chanzo cha mapato kwa serikali za mitaa kwakuweka tozo fulani ambayo ni rafiki kwa wananchi kuliko hiyo kodi ya mwezi kwa dalali
 
Binafsi katika suala la madalali, ninachoweza shauri hapo ni serikali za mitaa kuweka utaratibu kwamba kila mwenye nyumba, chumba au kitu chochote cha kupangisha apeleke taarifa zake kwenye ofisi ya serikali ya mtaa ili kama mtu anataka chumba oneo fulani anafika hapo ofisini. Mana hii pia itaongeza usalama wa eneo husika kwa kuwa kila anayepanga eneo hilo basi ofisi inakuwa na taarifa zake lakini pia inaweza ikawa chanzo cha mapato kwa serikali za mitaa kwakuweka tozo fulani ambayo ni rafiki kwa wananchi kuliko hiyo kodi ya mwezi kwa dalali
Bonge la Point
 
Habari za muda huu wakuu? Heri ya mwaka mpya pia.

Leo nimekuja kuuliza na kutafuta majibu ya juu ya suala la madalali wa nyumba kulipwa kodi ya nyumba ya mwezi.

Hili suala limekaaje hii ni baada ya kuona mijadala kadha wa kadha kupitia mitandao ya kijamii tofauti.

Je, kwanini kodi ya mwezi?

Inasimamia kitu gani?

Kwa wenzetu mpaka rahaa yani hata kama umekuja leo,kampuni za udalali kuanzia kupanga,kununua hupati tabu na wana asilimia yao kama hada ya huendeshaji wa kampuni mpaka utakapo pata.
Sio bongo ya busisi
IMG_3461.png

IMG_3462.jpg

IMG_3463.png
 
Ndio ivo mkuu sema ndio ivo viongozi wetu hawataki kuumiza vichwa zaidi ya kusumbua wanannchi na michango ya sungu sungu na taka wakati hiyo pesa wanayopata hapo ingetumika ktk shughuli kama izo
 
Bonge la Point

Are you serious chief?? Kwamba Serikali za mitaa ndio zideal na real estate management?!

Madalali all they need is a regulator with uniform terms, conditions and guidelines!

Serikali iweke chombo/taasisi maalum kwa ajili ya real estate management!

Vyuo viweke mitaala ya real estate ama kufunguliwe colleges za real estate ambapo huwezi kuwa dalali kama huna cheti/certificate ama leseni inayotambuliwa na serikali na organs zake! Bila hivyo you don’t qualify!

Serikali ikiweka hii real estate regulatory body it will be easy kusimamia bei za masoko ya vyumba, nyumba na viwanja huku kodi zikikusanywa at the same time!

Kuwapa Serikali ya mtaa hii issue ni kuwaweka kwenye mtego wa rushwa ya bure kabisa!
 
Habari za muda huu wakuu? Heri ya mwaka mpya pia.

Leo nimekuja kuuliza na kutafuta majibu ya juu ya suala la madalali wa nyumba kulipwa kodi ya nyumba ya mwezi.

Hili suala limekaaje hii ni baada ya kuona mijadala kadha wa kadha kupitia mitandao ya kijamii tofauti.

Je, kwanini kodi ya mwezi?

Inasimamia kitu gani?
Wizi mtupu. Ni wakati muafaka kwa Serikali kutunga sheria itayowabana madalali walipe kodi stahiki. TRA mmelala kwani ni rahisi kuwapata madalali kwani kwenye mitandao wamejaa tele wakitangaza na kufanya biashara wakipokea pesa ya dalali toka kwa mpangaji na mpangishaji pamoja na service charge eti ya kuonesha tu.
 
Nyumba za kupanga dodoma ni maumivu tu...kodi kubwa utadhani wana wapangashia matajiri gani sijui nyumba zenyewe sasa!! Madali ndo nuksi kabisa huku
Dodoma ni tatizo kubwa, tuliohamishiwa huku ni majanga matupu, kodi zipo juu kuliko majiji yote makubwa hapa Tanzania kasoro Arusha tu
 
Hahahahahahahahaha...kwamba madalali nao si wa mchezomchezo...ukitaka kujua umuhimu wa dalali uwe na shida ya nyumba au uwe unauza kitu. Msiwachukulie pouwa wenye fani zao. Acha na wao wapate hela maana wanahangaika mno. Imagine mtu anashinda anatembea kutwa nzima
Pamoja na umuhimu wao kama unavyosema, lkn kuchukua malipo ya 100% ni wizi, mbaya zaidi hiyo kamisheni anatozwa mpangaji
 
Ndugu wajumbe, mimi naweka wazi kabisa kuwa mimi ni dalali.

Nyie mnaojifanya mnajua hapa huwa ham wezi kupata chumba wala nyumba bila misaada yetu sisi.

JARIBU KUTAFUTA MWENYEWE UACHE SHUGHULI ZAKO UONE ILIVYO KAZI

Na,
Hakuna dalali anaekulazimisha ulipe hio hela hata kidogo.

Thats an agreement between us and our beloved customers. Tena wengi huwa wanatoa pungufu and we dont give a damn.


Okay karibuni sana naitwa DALALI SOLOMON NIPO TABATA DAR
0744033555

Nakuunganisha upate
Pikipiki used brand zote
Tv used brand zote size zote
Gari used hadi kwa milioni 3
Mashamba
Viwanja chanika mvuti kisewe mbande hadi kwa milioni 1.

Nitafute kwa hio namba niendelee kuishi.
Mkuu, wewe baada ya ku-seal deal unalipa asilimia ngapi kwa kaisari?
 
Are you serious chief?? Kwamba Serikali za mitaa ndio zideal na real estate management?!

Madalali all they need is a regulator with uniform terms, conditions and guidelines!

Serikali iweke chombo/taasisi maalum kwa ajili ya real estate management!

Vyuo viweke mitaala ya real estate ama kufunguliwe colleges za real estate ambapo huwezi kuwa dalali kama huna cheti/certificate ama leseni inayotambuliwa na serikali na organs zake! Bila hivyo you don’t qualify!

Serikali ikiweka hii real estate regulatory body it will be easy kusimamia bei za masoko ya vyumba, nyumba na viwanja huku kodi zikikusanywa at the same time!

Kuwapa Serikali ya mtaa hii issue ni kuwaweka kwenye mtego wa rushwa ya bure kabisa!
Ushawahi kusikia kesi za mtu kulipa kodi kwa Mwenyenyumba feki? Sababu ni kua tumekwepa kuhusisha Local Government ambazo ndizo zinawatambua.

Kila mpangaji akipitia kwenye hizi local governments ni rahisi na salama pia.
 
Ushawahi kusikia kesi za mtu kulipa kodi kwa Mwenyenyumba feki? Sababu ni kua tumekwepa kuhusisha Local Government ambazo ndizo zinawatambua.

Kila mpangaji akipitia kwenye hizi local governments ni rahisi na salama pia.

Kumbuka lakini hizi Serikali za mitaa ndio vinara wa migororo ya ardhi na huo upangishwaji feki, rushwa mara nyingi ndio first motivator yao!

Tupate real estate management institution inayosimamiwa na Serikali kupitia wizara ya ardhi, madalali wawe na leseni halali kufanya kazi otherwise wabaki vishoka!
 
Kitu ambacho watu hawakijuhi system za udalali zimebadilika ,madalali wengine wanaishi let say Ubungo ila kila siku wanazunguka na boda boda zao au za kukodi kutafuta maeneo ya kupangisha mfano Goba,Madale,kimara ,kigamboni n.k.

Ukiacha mbali kazi ya kuuza asklimu za ukwaju za Mo udalali nao pia kazi kama kazi nyingine ,watu waheshimu tu madalali coz katika kila biashara wapo madalali ata ukienda kununua godoro au tv lazima ukutane na madalali ukipeleka gari kwa fundi lazima udalaliwe spear ndio maisha hayo.

Patana na dalali kabla hajaenda kukuonyesha nyumba ,hakikataa ofa yako tafuta dalali mwngn ila usilete janja ya kumzunguka dalali sio uhungwana .
 
Nyie ndio hamjui.
Dalali akikupeleka kwa mwenye nyumba kama chumba umekikubali labda kodi kwa mwezi ni 50 elfu na ukalipa miezi 6 (300,000)mwenye nyumba yeye mkataba anakuandikia 3laki hiyo hiyo ila yeye anapoke 295000 ina maana dalali anachukua 50.hiyo inakuwa imetoka kwamwenye mwenye nyumba.sasa hapo sijajua nyie linawahusu nini wapangaji.
Na hili mwenye nyumba analielewa maana huyo huyo dalali ana uwezo wa kumhamisha huyo mpangaji hata kwa ndumba maana madalali nao wametimia.
Hesabu ya mwakahuu
 
M
Kwani inakuwa na ugumu gani mwenye nyumba kunipangisha bila kupitia dalali
Binafsi nina nyumba ya kupangisha mtu kama hajaja na dalali simpangishi sababu 1. mtu ambaye hana uwezo wa kumlipa dalali si amini kama anauwezo wa kulipia nyumba pindi ile kodi yake aliyodunduliza kwny kibubu ikiisha.
2.Dalali ni shahidi na msuluhishi pindi kutakapo tokea mgogoro kati yangu na mpangaji
3.Tuna mahusiano mazuri sana na madalali ambayo tunayalinda ,mfano chumba akiama mtu dalali anakuja na kunambia usipangishe namleta mtu.
 
Back
Top Bottom