Quetzal
JF-Expert Member
- Dec 9, 2018
- 6,343
- 10,799
Mimi...wakati naishi DSM...nikitafuta nyumba na dalali Nampa hela Yake bika hiyana...Sio kila mchangiaji kwenye uzi fulani basi anakua anakubaliana, najua ugumu wakutafuta nyumba bila dalali, mimi kipindi natafuta nyumba huwa natembea nao tunawekeana malengo anipitishe kwenye nyumba kama tano kwa siku na nachagua ni eneo gani na siku ya mwisho namtoa hela vocha elfu 5,ndani ya week lazima upate nyumba then kwenye kulipana inategemeana sasa na nyumba inapngishwa kiasi gani yani hili swala ni maongezi tu sio lazama mfuate kanuni,
Au nampa nusu nusu kila nikipata mshahara ndani ya miezi miwili namaliza deni