Tuliza mshono wa uzazi, ingekua issue yake, kwa kiherehere hiki, lazima angetuweka wazi.
We dada unavyoongea utafikiri hujui kufikiriaHaya mambo hayafanywi kienyeji enyeji tu. Lazima mtu awe na permit na authorization kutoka kwa mamlaka husika; na engineer anakuwa ame approve michoro ya hilo jengo kuwa ujenzi huo ni salama. Kama hujui kitu unauliza ufahamishwe...
Mchana mwema!
Mkuu mie sijakuelewa, umechukizwa na jamaa kusema au nini kinatatiza hapo? Naona ni sahihi kabisa jamaa kutoa onyo, tunaona madudu mangapi kwenye miundombinu inapigwa tikitaka juu kwa juu yakitokea ya kutokea unakua msiba wa taifa. Komaa hapo hapo mtoa taarifa. Ujumbe utafika tu.Tatizo hamjui haki zenu za kirai, unapolipa kodi sehemu ya hela yako inatakiwa itumike kuhakikisha kuna watu wanalipwa kulinda, mali, usalama na afya za wengine. Tusipende kujishughulisha na mambo yasiyotuhusu, wapo wataalamu wanalipwa kwaajili ya kukagua, kusimamia na kuridhia mambo ya ujenzi. Ni kweli zipo ajali na zipo namna za kushughulika nazo. Acheni umbea, msijishughulishe na mambo yasiyowahusu.
Usijali mkuu, na wewe ngoja nikuingize kwenye list.Unforgetable anaonekana sana kwenye comment zako mkuu nini kilicho nyuma ya pazia ama ni kama mahondaw na smart
Mtoa mada kaandika point sana. Madhara aliyoeleza yaliwahi kutokea siku za nyuma na kumbukumbu bado zipo.Mkuu, fanya issue zako, mambo ya watu achana nayo, unaweza ukawa na very limited facts kwenye hilo jambo
Sawa, ngoja wahusika wakajiridhishe na hayo.Mleta mada hisia zako ziko sawa kiasi fulani, lakini nikujuze kwamba, beam ya ghorofa kwanza lazima iwe imeanzia chini kuanzia futi 6 kuendelea(inategemea na nature ya ardhi) nguzo kuwa nyemba hata kama ina uimara kiasi gani endapo itakuwa imechukua mzigo mzito lazima itacrack, beam inayosukwa huenda na nonda mm16 na ratio ya torori kwa mfuko na upana wa beam ni ft. 1½ hii huchukua ishirini na kuendelea, lakini kwenye hizo nguzo hutujajua zina upana kiasi gani maana hapo.
Majengo yanapojengwa huwa kuna wahusika kutoka katika authorities wanapita kufanya ukaguzi ili kuhakikisha usalama kwa wafanyakazi na kile kinachofanyika site kinakubalika. Sidhani kama mpaka hilo jengo linafika hatua hiyo wahusika hawajafika kukaguaMimi siko hapa kulaumu mtu au kusema huyu anamakosa, point is, ujenzi unatia shaka, wahusika wakajiridhishe.
Kwani kila anaekagua ni lazima.awe mwadilifuMajengo yanapojengwa huwa kuna wahusika kutoka katika authorities wanapita kufanya ukaguzi ili kuhakikisha usalama kwa wafanyakazi na kile kinachofanyika site kinakubalika. Sidhani kama mpaka hilo jengo linafika hatua hiyo wahusika hawajafika kukagua
Kwenye ujanja ujanja hapo sawa. Ila swala la kusema kuwa nguzo ni nyembamba so zinaweza kufail performance sidhani kama ni judgment nzuri.Baati nzuri tupo humu tuliosimamia ujenzi pale kkoo kama Engineer...ujenzi wa matajiri wa pale ni wa ujanja ujanja...usikute hata sticker wanazotumia hapo ni feki na hata wakaguzi wakipita hapo wanapewa chao wanasepa bila hata kukagua ubora wa jengo....na inawezekana amepata kibali cha kujenga ghorofa zaidi ya 10 lakini structure desing standards za engineer na kinachofanyika ni tofauti...hivyo angalizo alilotoa mleta mada lisibezwe hata kidogo
Asante Unforgetable
Sasa kama wewe mwenyewe huwaamini wanaotumwa na hizo mamlaka, maana ya kuleta uzi wako ni ipi?Kwani kila anaekagua ni lazima.awe mwadilifu
Sio kwa umuhimu huo lakini
Hayapaswi kufanywa kienyeji.., ila reality kuna developers sio waaminifu na wana-cut corners sio Africa tu hata UK England yaliwakuta kipindi kile jengo kuungua moto, halmashauri ilifanya uzembe wa kutumia materials zenye walakini...Haya mambo hayafanywi kienyeji enyeji tu. Lazima mtu awe na permit na authorization kutoka kwa mamlaka husika; na engineer anakuwa ame approve michoro ya hilo jengo kuwa ujenzi huo ni salama. Kama hujui kitu unauliza ufahamishwe...
Mchana mwema!
Kuna jengo mitaa ya kati lilidondoka na kuua watu, lilikuwa limefika ghorofa 15, kifusi chake kilimwagwa Jangwani wakati wanalifukua. Ilikuja kugundulika baadae kuwa mmiliki alipewa kibali cha ghorofa 10.Sidhani kama wanaweza kujenga jengo LA gharama kubwa kama hilo kwa wataalam wa kuokota jalalani
Maana yake huyo anaewatuma atachukua hatua za kuwabadilisha na kutuma wengine, kwani yale yaliyoanguka kule Posta unafikiri yalikuwa hayakaguliwi?Sasa kama wewe mwenyewe huwaamini wanaotumwa na hizo mamlaka, maana ya kuleta uzi wako ni ipi?
Siwezi kubeza uzi wako,,Picha hapo chini inajieleza, jengo lipo Kariakoo, limefika ghorofa kama 13 hivi na bado naona kuna nondo zimetokeza hapo juu kuashiria kwamba floor bado zinaendelea juu.
Sasa unaweza kuta michoro ya structural engineer imespecify mwisho ghorafa 10, lakini mwenye jengo anaamua tu kuongeza zaidi kwa tamaa ya pesa. Maana zile nguzo ni nyembamba sana na jengo lenyewe ni jembamba kama mlingoti.
Mamlaka zinazohusika zifanye ukaguzi ili lisije likaleta madhara na mwishowe tukapeperusha bendera nusu mlingoti.
View attachment 1193373