DOKEZO Limeshafika ghorofa ya 13 na linaendelea, lakini nguzo kama njiti za kiberiti

DOKEZO Limeshafika ghorofa ya 13 na linaendelea, lakini nguzo kama njiti za kiberiti

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
kweli kabisa kazi zangu na deal sana na mainjinia kuna sehem site kama tatu hivi tumezivisit kumbe wamenunua jina mzee bongo nyosoo
Yeah, yale majina kwenye vibango kule Kariakoo mengi ni ya kununua, hasa wale Linza concrete design, huwa wanatumika sana kwenye vibango
 
Yeah, yale majina kwenye vibango kule Kariakoo mengi ni ya kununua, hasa wale Linza concrete design, huwa wanatumika sana kwenye vibango
Mkuu ni vigumu kwa Consulting firm kuuza bango.
Si kweli kuwa Linza Concrete Design wanauza bango,wauzaji wa bango wanaweza kuwa ni wakandarasi (sina hakika lakini).
 
Lipo mtaa gani hili jengo
Picha hapo chini inajieleza, jengo lipo Kariakoo, limefika ghorofa kama 13 hivi na bado naona kuna nondo zimetokeza hapo juu kuashiria kwamba floor bado zinaendelea juu.

Sasa unaweza kuta michoro ya structural engineer imespecify mwisho ghorafa 10, lakini mwenye jengo anaamua tu kuongeza zaidi kwa tamaa ya pesa. Maana zile nguzo ni nyembamba sana na jengo lenyewe ni jembamba kama mlingoti.

Pia wanasema jengo moja hadi jingine inabidi paachwe nafasi walau ya kupumulia, sasa hilo jengo ni kama linataka kugusa hili lingine, kwa ukaribu huu, hata moja moto ukiwaka lazima la pili lishike moto.

Mamlaka zinazohusika zifanye ukaguzi ili lisije likaleta madhara na mwishowe tukapeperusha bendera nusu mlingoti.

View attachment 1193373
 
Haya mambo hayafanywi kienyeji enyeji tu. Lazima mtu awe na permit na authorization kutoka kwa mamlaka husika; na engineer anakuwa ame approve michoro ya hilo jengo kuwa ujenzi huo ni salama. Kama hujui kitu unauliza ufahamishwe...

Mchana mwema!
Acha habari zako wewe.
Hivi yale yanayoanguka si yanakuwa prooved pia.
Muelewe jamaa concern yake.
 
Unaweza ukawa na hoja lakini Strength haipimwi kwa unene Wa beam! ingefaa ukaweka structure ikoje ili tuichambue!

Note: Jengo linaweza kuwa na column/beam nyembamba lakini zikawa ni nyingi ili kufanya load distribution kuwa safe!.

Kwahiyo ipendeze sasa kuangalia structure kwanza kabla ya kulaumu
Pia kwenye jengo kuna main beam (s) ambayo mara nyingi huwa katikati ya jengo na ndo muhimili wa jengo zima
 
Picha hapo chini inajieleza, jengo lipo Kariakoo, limefika ghorofa kama 13 hivi na bado naona kuna nondo zimetokeza hapo juu kuashiria kwamba floor bado zinaendelea juu.

Sasa unaweza kuta michoro ya structural engineer imespecify mwisho ghorafa 10, lakini mwenye jengo anaamua tu kuongeza zaidi kwa tamaa ya pesa. Maana zile nguzo ni nyembamba sana na jengo lenyewe ni jembamba kama mlingoti.

Pia wanasema jengo moja hadi jingine inabidi paachwe nafasi walau ya kupumulia, sasa hilo jengo ni kama linataka kugusa hili lingine, kwa ukaribu huu, hata moja moto ukiwaka lazima la pili lishike moto.

Mamlaka zinazohusika zifanye ukaguzi ili lisije likaleta madhara na mwishowe tukapeperusha bendera nusu mlingoti.

View attachment 1193373
Punguza wivu wewe
 
Pia kwenye jengo kuna main beam (s) ambayo mara nyingi huwa katikati ya jengo na ndo muhimili wa jengo zima
Beams sio mhimili,mhimili katika majengo marefu ni ngazi,lift shaft/kuta zege na nguzo.
 
Unaweza ukawa na hoja lakini Strength haipimwi kwa unene Wa beam! ingefaa ukaweka structure ikoje ili tuichambue!

Note: Jengo linaweza kuwa na column/beam nyembamba lakini zikawa ni nyingi ili kufanya load distribution kuwa safe!.

Kwahiyo ipendeze sasa kuangalia structure kwanza kabla ya kulaumu
Wasiwasi ndo akili
 
Beams sio mhimili,mhimili katika majengo marefu ni ngazi,lift shaft/kuta zege na nguzo.
Ishu sio beams, kuna main beam (nguzo kuu) hizi ndo huwa ni muhimili mzima wa jengo. Kama ww ni msomaji wa biblia Samson alifanya suecide kwa wafilisti kwa kuvunja nguzo kuu za jengo walimokusanyika wafilisti.
 
Back
Top Bottom