Linapokuja suala la IMANI, Waafrika wanampigania Mungu. Likija suala la Haki zao za msingi, wanamwachia Mungu awapiganie!

Linapokuja suala la IMANI, Waafrika wanampigania Mungu. Likija suala la Haki zao za msingi, wanamwachia Mungu awapiganie!

Kumpigania Mungu ni sisi dhidi ya sisi, kupigania haki zetu ni sisi dhidi ya dola. Dola yenye jela, polisi, magari ya washawasha, secret detention areas n.k. Lazima uwe makini inapoelekeza vita yako.​
Lakini dola pia ni sisi.

Polisi pia ni sisi.

Serikali pia ni sisi

Kwa hivyo bado ni sisi dhidi ya sisi.
 
Imani za kidini barani Afrika ni zaidi ya madawa ya kulevya zimeharibu akili na mfumo mzima wa kufikiri wa waafrika.

Linapokuja suala la udini Waafrika wanampigania Mungu kwa nguvu zao zote wakitetea dhana ya kufikirika ambayo hawawezi hata kuithibitisha uwepo wake. Tena unakuta wanaipigania kwa nguvu zote na mabishano makali kabisa.

Lakini huyo Mungu wanaye mpigania miaka nenda rudi hajawahi kuonekana, kujitokeza, kujidhihirisha wala kuwasaidia chochote. Ni watu tu wanabaki kudai, kujifariji na kujipa matumaini uchwara kwamba wanasaidiwa na "Mungu" ilhali kiuhalisia ni wao wenyewe wanahenyeka na kukabiliana na matatizo yao.

Lakini cha kushangaza likija suala la kutetea na kupigania haki zao za msingi katika jamii wanamwachia Mungu awapiganie! Na huyo Mungu hajawahi kuwapigania kwa lolote.

Waafrika maskini wanazidi kuhujumiwa na viongozi wao wa kiserikali, Kodi zao zinaliwa, Haki zao zinaminywa, Mali na rasilimali zao zinaporwa na kutumiwa hovyo hovyo tu.

Halafu watu wanabaki kutulia na kusema tunamwachia Mungu, Mungu atatusaidia, Mungu atatulipia na kutupigania.

Sasa unajiuliza hizo nguvu za kumpigania huyo Mungu wa kufikirika kwenye dini,
Wakizielekeza na kuzitumia kwenye kupigania haki zao za msingi katika jamii zao si wataishi maisha safi kabisa?

Lakini kwa vile wengi wa waafrika wamesha pumbazwa na kuaminishwa utajiri na ufalme wa kufikirika mbinguni wala hawajihangaishi kupigania haki zao za msingi hapa duniani.

Watu wanaishi kwa kujipa matumaini uchwara ya maisha bora ya kufikirika mbinguni. Huku wakizidi kuteseka na umaskini wao, kuhujumiwa na kusulubishwa ipasavyo na viongozi wao wa serikali.

Katika maswala ya "Imani" binadamu ni kiumbe mpumbavu sana. Badala ya kujipigania yeye mwenyewe, Anapigania dhana ya kufikirika iitwayo Mungu ambayo kiuhalisia hata haijawahi kuwepo na haipo kujidhihirisha yenyewe.

No amount of prayers, faith, hope and grace can solve your problems in life for you.

No matter how strong you shout or scream the name of God in what you call praying, Your life will be miserable if you don't think, reason, plan and take productive actions to solve your own problems in life.

During those darkest moments in life when it feels like God has abandoned you, Remember that God was never with you in the first place. Because he doesn't exist in reality. He exists only in your head and in your imaginations.

The same God who has disappointed uncountable people in the world, Keep disappointing many people daily including you.

Any country waiting for God to come and help them will forever remain poor economically, medically, academically, technologically until such mental slavery religious faith is totally abolished.

Any person waiting for God to come and solve his or her problems in life will forever remain poor financially, Until such mental slavery religious faith is totally abolished.

In the jungle of life salvation is largely on your hands. No God, spiritual power or ritual can solve your problems.

If you are born into a poor financial foundation and you keep waiting for God to come and help you, You will suffer financially and die miserably.

Poverty strikes hard when laziness and ignorance is combined with prayers.

Take this bitter truth and let it sink deep in your mind.

I'm out.
Dini ni scam, dini ni Ukoloni, Dini ni Uzwazwa
 
Mungu gani ameshindwa na anashindwa kuwapigania maelfu ya watoto wachanga na wanawake wanaoteseka na wanaokufa kila kukicha maeneo mbalimbali duniani kwa njaa, vita, magonjwa na majanga ya asili?

Hivi huyo Mungu anasaidia nini?

Maelfu ya watoto wachanga wasio na hatia yeyote ile wamekufa huko Gaza kwa vita, wamekufa kwa majanga ya asili kama kimbunga idai kilichoua maelfu ya watu Mozambique na Malawi na maeneo mengine duniani.

Halafu unasema huyo Mungu anasaidia?

Anasaidia nini?
View attachment 3178057
Hapo ni Somalia watu wanapigania dini ye Mwenyezi Mungu harafu Mungu mwenyewe sasa kawaacha wanakongoroka😅😅
 
Hapo ni Somalia watu wanapigania dini ye Mwenyezi Mungu harafu Mungu mwenyewe sasa kawaacha wanakongoroka😅😅
Binadamu ni kiumbe mpumbavu sana kwenye maswala ya Imani.

Badala ya kutumia uwezo wake wote wa kiakili kujipambania mwenyewe, Anasubiri kiumbe cha kufikirika kiitwacho "Mungu" kije kumsaidia.
 
Sahihi, kuna watu ukiwaondolea dini wanapoteza maana na matumaini ya kuishi kabisa
Kwani kabla ya ujio wa dini watu waliwezaje kuishi?

Wahadzabe, Watindiga, Wasandawe na Bushmen huko maporini wanaishi kwa amani na furaha kabisa bila kuwa hata na dini.

Na life lao liko poa kabisa.

Sasa inashangaza kabisa mtu mwingine ambaye ukimwondolea dini hawezi kuishi.

Mtu wa namna hiyo hana utimamu wa kufikiri sawasawa.
 
Kwani kabla ya ujio wa dini watu waliwezaje kuishi?

Wahadzabe, Watindiga, Wasandawe na Bushmen huko maporini wanaishi kwa amani na furaha kabisa bila kuwa hata na dini.

Na life lao liko poa kabisa.

Sasa inashangaza kabisa mtu mwingine ambaye ukimwondolea dini hawezi kuishi.

Mtu wa namna hiyo hana utimamu wa kufikiri sawasawa.
Walikuwa na animistic religions
 
Dini imesaidia sana Afrika.
Ila baadhi ya taasisi ziliitumia kiwafunga badala ya kuwafungua wanadini. WATU WA IMANI WALIPOFIKA POPOTE KWENYE MQANDIKO WALILETA MAPINDUZI MAKUBWA YA KIMAADILI NA KIUCHUMI

MUSA
YUSUFU
YOSHUA
DANIEL
NEHEMIA
ESTA
YESU
MITUME
ETC
 
Dini imesaidia sana Afrika.
Ila baadhi ya taasisi ziliitumia kiwafunga badala ya kuwafungua wanadini. WATU WA IMANI WALIPOFIKA POPOTE KWENYE MQANDIKO WALILETA MAPINDUZI MAKUBWA YA KIMAADILI NA KIUCHUMI

MUSA
YUSUFU
YOSHUA
DANIEL
NEHEMIA
ESTA
YESU
MITUME
ETC
Wote ulio wataja hapa ni fictional characters. Wana exist vitabuni tu kwenye hadithi na masimulizi ya kale.

Hakuna uthibitisho wowote ule wa uwepo wao.

Hawana tofauti na Abunuwasi wa kwenye Hekaya za kutungwa tu.
 
Biblia inasema tafuteni nanyi mtaona,huezi achia haki Yako burebure ni akili pungufu tunaitafuta kwa bidii zote ikishindika kwa juu ya uwezo ndo tunamwachia muumbaji wa ulimwengu

We kama huamini uwapo wa Mungu nakuuona huu uumbaji tata ni matokeo ya ajali hiyo ni akili Yako TU mkuu
 
Sema dini zimedanganya sana watu kuhusu huyo Mungu
zinamuhubiri Mungu kwa kufikiri kwao ndiyo maana maudhui ya dini moja ni tofauti na nyingine
Mimi Binafsi najua Mungu yupo na Mungu huyu yuko mbali sana na dini zote
 
20230111_183404.jpg
 
Back
Top Bottom