Linasubiriwa tukio lolote litokee nchini Iran ili liunganishwe na shambulizi la Israel

Linasubiriwa tukio lolote litokee nchini Iran ili liunganishwe na shambulizi la Israel

Utetezi wako hauna maana. Israel imekuwa ikidanganya watu kuwa ina silaha zinazoweza kufika eneo lolote la Iran. Sasa silaha hizo ziko wapi? Kwanini wasizitumie kujibu shambulizi? Yani mpaka wawe karibu na Iran ndo waweze kushambulia, mbona Iran inashambulia kutoka Iran hadi Israel?

Tena kwa shabaha halisi ya kulenga kambi za jeshi, headquarter ya MOSSAD nk bila kugusa nyumba yoyote ya raia wasiokuwa na hatia?

Mkubali tu kwamba Israel ina pewa promo isiyowa nayo na media za west, ila kiuhalisia jamaa hawana uwezo wa kupambana na Iran. Dunia ilikuwa hailijui hili, sasa ukweli umeanza kujidhihirisha wenyewe. Kumbuka ukweli na uongo huwa havichangamani. Hata vikae pamoja miaka 100, kuna siku vitatengana na ukweli utajulikana tu kama hivi.
mimi sijatetea chochote nimetumia logic kuwaza endapo ningekuwa mimi ningeamuaje...sasa iran kama inaweza sana siiendelee na mashambulizi...
 
mimi sijatetea chochote nimetumia logic kuwaza endapo ningekuwa mimi ningeamuaje...
Hebu tuambie ungeamuaje mkuu? Kwamba ungeogopa kujibu kipigo mpaka kwanza upewe space ya kumsogelea adui ambae yeye ana uwezo wa kukutwanga kuanzia kwao bila kuomba space yoyote kwa mtu yoyote? Yani Israel itegemee kila kitu kutoka nje ili ishinde vita? I mean itegemee silaha kutoka Marekani Uingereza Ufaransa Ujerumani Canada Uholanzi Italy na pia itegemee na kupewa space kutoka Jordan au Saudi Arabia ndo iweze kuingia vitani? Sasa hiyo ni nchi yenye nguvu au ni nchi inayosaidiwa kuwa na nguvu?

Sasa iran kama inaweza sana siiendelee na mashambulizi...
Iran imesema kuwa Israel ikithubutu kujibu itachezea kichapo tena kama kawa. Na hiyo ndio sababu kuu ya Israel kuogopa kujibu 😂😂😂
 
Iran imesema kuwa Israel ikithubutu kujibu itachezea kichapo tena kama kawa. Na hiyo ndio sababu kuu ya Israel kuogopa kujibu 😂😂😂
[/QUOTE
Israeli wakishambulia utasikia Israeli has right to self defence .akijibiwa europ nzima huwa inalaan na kukimblia kwenye sanctions. Iran anajiweke salama kwenye uso wa kimataifa ili kila mmoja alone nani mkorofi ...... na hapo ndo naona isreli ametegwa hapo ...akirusha hata jiwe tu atakiona cha mtema kuni
 
Did the Muslim Prophet Muhammad have a boyfriend?
Actually, yes. And even though Muhammad claimed homosexuality was wrong, he himself was involved in homosexual behavior.

Sunan Abi Dawud 5224

Narrated Usayd ibn Hudayr:

AbdurRahman ibn AbuLayla, quoting Usayd ibn Hudayr, a man of the Ansar, said that while he was given to jesting and was talking to the people and making them laugh, the Prophet poked him under the ribs with a stick. He said: Let me take retaliation. He said: Take retaliation. He said: You are wearing a shirt but I am not. The Prophet then raised his shirt and the man embraced him and began to kiss his side. Then he said: This is what I wanted, Messenger of Allah!

A man kissing Muhammad's bare chest.

Jami` at-Tirmidhi 2732

Narrated 'Aishah:

"Zaid bin Harithah arrived in Al-Madinah while the Messenger of Allah was in his house. So he went and knocked at the door, so the Messenger of Allah stood naked, dragging his garment - and by Allah! I did not see him naked before nor afterwards - and he hugged him and kissed him."

Naked Muhammad kissing another man.
Hahaha wafusi wa papa mna tabu

Muone ibrahimu huyu:
Luke 16:23

Basi, kule kuzimu aliyainua macho yake, alipokuwa katika mateso, akamwona Ibrahimu kwa mbali, na Lazaro kifuani mwake.
 
Bado linasubiriwa tu hilo tukio?
Toka Israel ichapwe tareh 1 mpaka leo tareh 13 hajathubutu kurusha hata jiwe. Lakini pia Iran hakuna tukio la kushtua dunia lililotokea, hivyo inakua ngumu kusema kuwa kitu fulan kilichotokea Iran kimesababishwa na MOSSAD. Hivyo basi jamaa wataendelea kufuatilia na kusubiri jambo lolote la kushtua au kushangaza litokee Iran ndo watumie media zao fasta fasta kama BBC, DW, CNN nk kudai kuwa Israel ndo imefanya hilo tukio kwa ajili ya kulipiza kisasi 😂😂😂

Yani hata waziri wa Iran gari yake ikipata pancha, watasema kuwa hiyo ni operation ya MOSSAD wapo kazini. Kamwe haiwezi kuona Israel inarusha makombora kwenda Iran kama vile Iran inavyorushaga makombora kwenda Israel muda wowote, na siku yoyote wanayotaka.
 
Toka Israel ichapwe tareh 1 mpaka leo tareh 13 hajathubutu kurusha hata jiwe. Lakini pia Iran hakuna tukio la kushtua dunia lililotokea, hivyo inakua ngumu kusema kuwa kitu fulan kilichotokea Iran kimesababishwa na MOSSAD. Hivyo basi jamaa wataendelea kufuatilia na kusubiri jambo lolote la kushtua au kushangaza litokee Iran ndo watumie media zao fasta fasta kama BBC, DW, CNN nk kudai kuwa Israel ndo imefanya hilo tukio kwa ajili ya kulipiza kisasi 😂😂😂

Yani hata waziri wa Iran gari yake ikipata pancha, watasema kuwa hiyo ni operation ya MOSSAD wapo kazini. Kamwe haiwezi kuona Israel inarusha makombora kwenda Iran kama vile Iran inavyorushaga makombora kwenda Israel muda wowote, na siku yoyote wanayotaka.
Sio muda mrefu utakuja kupotea humu na labda na kubadilisha kabisa na I'd.
 
Sio muda mrefu utakuja kupotea humu na labda na kubadilisha kabisa na I'd.
20241013_221247.jpg
 
Nimekwambia waliuwawa kama jinsi waingereza walivyowaua wale red indians wa America, au jinsi waarab walivyowaua waafrika weusi kule Misri. Myahudi na mzungu ni race mbili tofauti ndomaana ilikuwa rahisi Hitler kuwaua wenyewe tu kupitia muonekano wao. Ila sasa hawa kina Netanyahu hata kimuonekano tu ni wazungu pure kabisa. Hakina muisrael original wa aina ile. Jamaa wana DNA ya Ulaya.
Wewe umewapima DNA..?
 
Back
Top Bottom