Linasubiriwa tukio lolote litokee nchini Iran ili liunganishwe na shambulizi la Israel

Linasubiriwa tukio lolote litokee nchini Iran ili liunganishwe na shambulizi la Israel

Ni mpumbavu pekee anaeweza kuifananisha nchi isiyokuwa na uwezo wa kutengeneza hata sindano ya kushonea Lebanon na Iran ambayo imemsaidia hata mrusi silaha ya ndege zake zisizokuwa na rubani bure ili aitwange Ukraine na NATO kwa pamoja. Yani kwa mfano uliotoa sidhani kama ulifika elimu hata ya darasa la 4.

Ogopa watu ambao wanatengeneza silaha zao wenyewe na kuzitumia katika vita mbali mbali huko Syria, Lebanon, Iraq na Ukraine bila kuomba msaada hata wa sindano au viatu vya jeshi kutoka Marekani, UK nk.

Mtu asiekuwa na uwezo wa kutengeneza silaha na muombaji muombaji wa silaha za watu ili zimsaidie vitani ni muisrael peke yake na bado silaha hizo zinashindwa kumsaidia kulipiza kisasi maana hazitofika.
Wewe una ilimu ya darasa la ngapi......
Myahood ameshafanya mission nying hapo middle EAST hapo nilikuwa natoa mfano tuuu
 
Utetezi wako hauna maana. Israel imekuwa ikidanganya watu kuwa ina silaha zinazoweza kufika eneo lolote la Iran. Sasa silaha hizo ziko wapi? Kwanini wasizitumie kujibu shambulizi? Yani mpaka wawe karibu na Iran ndo waweze kushambulia, mbona Iran inashambulia kutoka Iran hadi Israel?

Tena kwa shabaha halisi ya kulenga kambi za jeshi, headquarter ya MOSSAD nk bila kugusa nyumba yoyote ya raia wasiokuwa na hatia?

Mkubali tu kwamba Israel ina pewa promo isiyowa nayo na media za west, ila kiuhalisia jamaa hawana uwezo wa kupambana na Iran. Dunia ilikuwa hailijui hili, sasa ukweli umeanza kujidhihirisha wenyewe. Kumbuka ukweli na uongo huwa havichangamani. Hata vikae pamoja miaka 100, kuna siku vitatengana na ukweli utajulikana tu kama hivi.
Isreli wamepata aibu mara mbili ..kuwekwa uchi na pia kupigww ka military bases kwa fedheha
 
Uzi wa KINOKO hauna lolote
Kama kawaida yako myahudi wa kihehe, eti na wewe unapanga foleni kusubiri mungu wa familia ya yakobo na waisrael aje akuokoe mnyalukolo wa Iringa ambae hajakutaja hata katika kitabu chake cha biblia akupeleke mbinguni 😂😂😂

Afrika imejaza wapumbavu wengi wasioweza kuutambua mchana au usiku na mmoja wao ni wewe.
 

Attachments

  • FB_IMG_17118944407352949.jpg
    FB_IMG_17118944407352949.jpg
    55.7 KB · Views: 2
Isreli wamepata aibu mara mbili ..kuwekwa uchi na pia kupigww ka military bases kwa fedheha
Netanyahu angekuwa mtu mwenye akili timamu angejiuzulu kwa sababu ya kuisababishia Israel aibu kwa ujinga wake.
 
Kama kawaida yako myahudi wa kihehe, eti na wewe unapanga foleni kusubiri mungu wa familia ya yakobo na waisrael aje akuokoe mnyalukolo wa Iringa ambae hajakutaja hata katika kitabu chake cha biblia akupeleke mbinguni 😂😂😂

Afrika imejaza wapumbavu wengi wasioweza kuutambua mchana au usiku na mmoja wao ni wewe.
SAsa mudy ana msaada gani anayesema kuwa hata yeye hajui hatima yake🤣
Hakuna dini ya kiduwanzi kama ya mudy eti mkifa mkiipigania imani mnaenda kupewa mabikra 72 wenye macho makubwa kama kikombe😂😂😂
Wazinzi mnawaza uzinzi nyie.

Acheni muwahishwe na mayahudi muwahi hao mabikra wenu kama sio majini😂😂
 
Kwanini Israel aombe nchi fulani impe space ili ashambulie Iran?

Hama uwezo wa kutuma vyuma moja kwa moja vikatua Tehran kama alivyofanya mbabe halisi Iran alirusha vyuma kwa ustadi mkubwa kutoka Iran hadi miji ya Israel bila kukosea target?

Israel is overrated lakini kiuhalisia ni mweupe mithili ya theluji. Mikwara mingi utekelezaji sifuri.
Uliza kipindi Israel aliposhambulia vinu vya nuclear aliomba ardhi au anga ama alienda mwenyewe moja kwa moja
 
Nilishasema NUCLEAR RODS zitakuwa overheated na kusababisha mlipuko mkubwa sana kwenye vinu vya kinyuklia. Serikali ya IRAN itajitokeza na kusema ni ajali ya kawaida kumbe ndani yake kuna jasusi la mossad linafanya kazi hapo hapo. Hence mission accomplished.


Namba 2. Sumu ya BOTOX au CYANIDE itatumika anywhere any point for massive caussalties in TEHRAN

Mind yu hapo BEIRUT kemikali ya AMMONIUM NITRATE iliyokuwa imetunzwa kwenye mapipa ya MELI iliyosajiriwa PANAMA ilimaliza mamia ya watu.

MOSSAD have ten thousand ways of reacting
Cha msingi afanikiwe kuficha isijulikane kama ni yeye kashambulia je hilo ni jepesi kuficha? Vinginevyo hakutakuwa na taifa hilo la Israel akijaribu upuuzi wowote wa mass casuality people are watching then
 
Cha msingi afanikiwe kuficha isijulikane kama ni yeye kashambulia je hilo ni jepesi kuficha? Vinginevyo hakutakuwa na taifa hilo la Israel akijaribu upuuzi wowote wa mass casuality people are watching then
Mbona israel kafanya matukio mengi middle EAST na hata hapo TEHRAN amepiga mission nying tena accomplished na hata hawajathibitisha kuwa ni yeye 100% ilahukimbilia kusema ni accident kumbe ni planned mission
 
Uliza kipindi Israel aliposhambulia vinu vya nuclear aliomba ardhi au anga ama alienda mwenyewe moja kwa moja
Mbona unaandika vitu visivyoeleweka. Hebu soma vizuri ulichoandika kama kinaendana na kile ulichoki quote kule juu. Na pia uweke na ushahidi hivyo vinu vilivyoshambuliwa hapa hapa tuone.
Sio utuletee maneno ya kwenye khanga au zile habari za radi kupiga juu halaf nyie mseme shambulio la Israel. Kinu cha nyuklia kikishambuliwa usifikiri dunia itakosa kusikia au kuona mshindo wa nguvu. Sio uchukulie kinu cha nyuklia kama vile kisima cha maji ya kijijini kwenu Sumbawanga.
 
Cha msingi afanikiwe kuficha isijulikane kama ni yeye kashambulia je hilo ni jepesi kuficha? Vinginevyo hakutakuwa na taifa hilo la Israel akijaribu upuuzi wowote wa mass casuality people are watching then
Na wenyewe hawawezi kufanya ushenzi huo. Wanamjua vizuri Ayatullah, hana masihara na mtu na wala hacheki na kima shambani.
 
Mbona israel kafanya matukio mengi middle EAST na hata hapo TEHRAN amepiga mission nying tena accomplished na hata hawajathibitisha kuwa ni yeye 100% ilahukimbilia kusema ni accident kumbe ni planned mission
Wewe unasema Israel tu, mbona hushangai jinsi Hamas ambayo haina intelejensia yoyote waliingia Israel wakauwa wanajeshi na maelfu ya raia. Halaf kama hilo halitoshi wakakusanya mamia ya wayahudi na wazungu wakatoka nao kutoka Israel hadi Gaza bila kukamatwa na MOSAD, Polisi wala jeshi.

Sasa kama kikundi cha watu kinaweza kuingia katika nchi ambayo mnaisifu kwa intelejensia kubwa, kikaanza kuua mtu wa kwanza, wa pili, wa tatu hadi kufikisha wa elfu na kitu including wanajeshi wakiwa ndani bila kushtukiwa.

Kisha baadae wakaanza kukusanya wengine (mateka) zaidi ya 200 na kutoka nao Israel hadi Gaza bila kukamatwa na askari wala mgambo. Sasa si inaonesha fika kuwa nchi yote ipo uchi. Haina ulinzi unaoeleweka, kiasi kwamba Iran ikimtaka Netanyahu ni sekunde tu wanamtia mkononi.

Kitendo cha kundi la watu kuingia nchini na kuteka watu hata hapa Tanzania wangekuwa washakamatwa lakini kwa vile Israel ni dhaifu basi watu walikamilisha mission mchana kweupe.
 
Mbona unaandika vitu visivyoeleweka. Hebu soma vizuri ulichoandika kama kinaendana na kile ulichoki quote kule juu. Na pia uweke na ushahidi hivyo vinu vilivyoshambuliwa hapa hapa tuone.
Sio utuletee maneno ya kwenye khanga au zile habari za radi kupiga juu halaf nyie mseme shambulio la Israel. Kinu cha nyuklia kikishambuliwa usifikiri dunia itakosa kusikia au kuona mshindo wa nguvu. Sio uchukulie kinu cha nyuklia kama vile kisima cha maji ya kijijini kwenu Sumbawanga.
Unapambana na mtu asiyejua tofouti kati ya cyber attack na military attack
 
Wewe unasema Israel tu, mbona hushangai jinsi Hamas ambayo haina intelejensia yoyote waliingia Israel wakauwa wanajeshi na maelfu ya raia. Halaf kama hilo halitoshi wakakusanya mamia ya wayahudi na wazungu wakatoka nao kutoka Israel hadi Gaza bila kukamatwa na MOSAD, Polisi wala jeshi.

Sasa kama kikundi cha watu kinaweza kuingia katika nchi ambayo mnaisifu kwa intelejensia kubwa, kikaanza kuua mtu wa kwanza, wa pili, wa tatu hadi kufikisha wa elfu na kitu including wanajeshi wakiwa ndani bila kushtukiwa.

Kisha baadae wakaanza kukusanya wengine (mateka) zaidi ya 200 na kutoka nao Israel hadi Gaza bila kukamatwa na askari wala mgambo. Sasa si inaonesha fika kuwa nchi yote ipo uchi. Haina ulinzi unaoeleweka, kiasi kwamba Iran ikimtaka Netanyahu ni sekunde tu wanamtia mkononi.

Kitendo cha kundi la watu kuingia nchini na kuteka watu hata hapa Tanzania wangekuwa washakamatwa lakini kwa vile Israel ni dhaifu basi watu walikamilisha mission mchana kweupe.
Israel ni dhaifu hata mimi naona vilio vya raia kule GAZA WEST BANK na BEIRUT nivilio vidogo sana sijui ISRAEL isio dhaifu ambayo ni IMARA tungesikia nini huko GAZA, WEST BANK na BEIRUT.......

HIII SIO GENOCIDE kwa sababu inafanywa na mtu dhaifu sana. Lets wait ISLAER ambayo ni more powerful itauwa wangapi
 
Israel ni dhaifu hata mimi naona vilio vya raia kule GAZA WEST BANK na BEIRUT nivilio vidogo sana sijui ISRAEL isio dhaifu ambayo ni IMARA tungesikia nini huko GAZA, WEST BANK na BEIRUT.......

HIII SIO GENOCIDE kwa sababu inafanywa na mtu dhaifu sana. Lets wait ISLAER ambayo ni more powerful itauwa wangapi
Sidhani kama akili yako iko sawa.
1. Israel ni nchi yenye jeshi kamili, ambayo ina wanajeshi zaidi ya milioni moja, hapo bado polisi, usalama, magereza nk. Huku Hizbullah, Hamas na hata wale vijana wa West Bank sio nchi bali ni vikundi vya vijana tu wasiofika hata laki 1. So inashangaza Israel kutumia malaki ya wanajeshi wake kupambana na vijana wasiofika hata laki 1.
2. Israel inapewa msaada wa silaha, fedha na matibabu kutoka Marekani, Uingereza, Ufaransa, Ujerumani, Canada, Uholanzi na Italy. Lakini hayo makundi yanapata msaada kutoka Iran tu peke yake. Hivyo unaweza kuangalia nchi ambayo inapata silaha kutoka katika nchi zaidi ya 6 kubwa duniani, inatumia nguvu kubwa kupigana na vikundi vya vijana wanaopata msaada wa silaha kutoka katika nchi moja tu.

Hapo ni sawa sawa na kulisifu jeshi linalotumia misilaha ya kivita kupambana na panya road. Ndomaana wengi tunataka Israel itumie nguvu hizo kupigana na Iran ambayo ni nchi mwenzake, yenye jeshi lake na silaha zake. Sio kuonea vidagaa Hamas vinavyotegemea silaha kutoka Iran.
 
Niaje waungwana,

Waungwana najua wengi humu mnashauku kubwa sana ya kutaka kujua ni kwanini Israel mpaka leo tar 10/10 haijaishambulia Iran, licha ya kusema na kuapa kuwa itaishambulia na kuiangamiza Iran from day one ya shambulizi lile la pili la Iran nchini Israel ambalo lililenga shabaha iliyokusudiwa na washambuliaji (Iran), kwa kulenga tu kambi za jeshi na ofisi za mosad (sio nyumba za raia) hata kama wanajua kuwa kina Netanyahu na genge lake wana utaratibu ule ule wa kujificha katika nyumba za watu wa kawaida ili kukwepa angamizo ambalo linaweza kusababishwa na shambulizi lolote la Iran (kivita hilo linafahamika).

Sasa kinyume na matarajio ya wengi kuhusu kauli zilizotolewa na kina Netanyahu, mpaka leo hii hakuna kilichofanyika. Sio kwamba Israel haitaki kuishambulia Iran ili angalau kulipiza kisasi cha shambulio lile, bali kwanza ili wakamilishe hilo ni lazima wapate backup kubwa kutoka Marekani, UK, EU na baadhi ya nchi za NATO kama vile Canada nk. Bila nchi hizo kuwa nyuma ya Israel kimipango, silaha na fedha kiukweli Israel haiwezi kufanya chochote kwa Iran NEVER, NEVER and NEVER again. Ndiomaana mara usikie Netanyahu kaongea na Biden kwenye sim, mara usikie Biden kamwambia asishambulie vinu vya nyuklia na visima vya mafuta, mara sijui mkuu wa jeshi la Marekani kaenda Israel kukutana na mkuu wa jeshi la Israel nk. Huku kote ni katika kuhaha, kuhenya henya na kuhangaika, maana wanajua fika kwamba Israel yenyewe haiwezi kujibizana na Iran kijeshi, hivyo ni lazima wakae chini wajadili madhara yatakayotokea endapo Israel itapewa tafu na mabeberu wake kuishambulia Iran alaf Iran ijibu kwa nguvu hali itakuaje!!

Iran ikitaka kufanya shambulizi huwa haihitaji kwenda kuomba msaada au ruhusa yoyote. Wao wanatwanga tu halaf wanasubiri mpumbavu ajibu wamuoneshe.

Lengo la Iran sio kushambulia raia, bali jeshi na mifumo mingine ya serikali. Ila ikitokea Israel ikashambulia makazi ya raia wa Iran kama afanyavyo huko Lebanon na Gaza, basi bila shaka na yeye hatokuwa na njia nyingine zaidi ya kulipiza kisasi ili na wao waone uchungu waupatao wenzao. Sasa hilo ndio linalowaumiza kichwa maadui wote wanaopanga kumsaidia Israel kupambana na Iran.

Wanajua kwamba mifumo ya Israel huwa haina shabaha katika vita, ndomaana mara usikie wamekosea wakalipua mpaka ofisi za UN, mara wameuwa waandishi wa habari, mara raia nk. Sasa wakikosea na shabaha ya huko Iran wakapiga raia, kisasi chake kitakuaje. Unaweza kutumia kichwa chako kutafakari vizuri kwamba kama mifumo ya ulinzi wa anga na wa jeshi Iron dome imeshindwa kuzuia makombora kupenya, vipi nyumba za kawaida za raia zilizojengwa kiholela kama vibanda vya wamachinga pale Karume Complex. Maafa yake si yataishangaza dunia.

Hivyo basi ili kuepusha hayo yasitokee ni lazima kuangalia strategy fulan itayoisadia Israel na Marekani zifute aibu yao. Sasa wameshaona kuwa shambulizi lao linaweza kusababisha hasara zaidi kwa Israel, maana kina Netanyahu wote makazi yao yanajulikana hata wakimbilie chini ya udongo watafuatwa tu na kombora. So ili kuepusha majanga hayo kutokea ni kutafuta tukio lolote ili liunganishwe na shambulizi kwa njia ya imani au kawaida. Mfano ikitokea soko au au uwanja hata wa mpira umepata hitilafu ya umeme na kuungua moto, basi tukio hilo haraka kupitia vyombo vya habari vya magharibi litatangazwa kama ni shambulizi la kimya kimya lililofanywa na Israel katika nchi hiyo yenye nguvu kubwa katika mashariki ya kati. Hili litaenda sambamba na kauli ya Biden kwamba alikuwa ameikataza Israel kufanya mashambulizi Iran, ila yenyewe imeamua kushambulia 😂😂😂

Nafikiri kila mtu anakumbuka lile shambulio la kwanza lilivyotengenezewa tukio. Kimya kilikuwa kingi kama hivi. Siku ambayo radi ilipiga ili mvua inyeshe, wazee wa kazi wakaliunganisha lile tukio ghafla na kisasi cha Israel. So na hili shambulizi litalipwa kwa njia ya tukio au kuvizia viongozi wa hezbullah wataoenda Iran kutembea, ila Netanyahu kufanya shambulizi kama anavyofanya huko Lebanon, Syria, Yemen na Gaza hana uwezo huo.
🚮🚮🚮🚮🚮🚮🚮
 
Hao ndio wayahudi halisi, wewe hao unaowajua wako wapi.
Wamewaua kama waingereza walivyowaua wale wazawa halisi wa Australia na New Zealand, kama walivyowaua red indians wa Marekani na Canada na kuacha makapi kapi.

Hata South Africa ilikuwa wafanye hivyo hivyo, bahati nzuri waafrika wakiongozwa na baba wa taifa mwl J. Nyerere wakasimama kidete kuhakikisha hilo halitokei. Ndio maana swala la kupima DNA pale Israel limekatazwa baada ya kugundua kuwa 80% ya waliopo pale ni wazungu kutoka UK, Ufaransa, Ujerumani, Poland (Netanyahu) Uturuki, Ugiriki nk.
 
Back
Top Bottom