Linasubiriwa tukio lolote litokee nchini Iran ili liunganishwe na shambulizi la Israel

Linasubiriwa tukio lolote litokee nchini Iran ili liunganishwe na shambulizi la Israel

Bado najiuliza kwanini watu wanasubiria kwa hamu kubwa saana israel ajibu mapigo?
mtaani kwenu ukijitangaza wewe ni mbabe mbele za watu hadharani halafu akatoke mtu akakulamba kofi watu watakuwa na shauku ya kutaka kujua utafanya nini?
 
mtaani kwenu ukijitangaza wewe ni mbabe mbele za watu hadharani halafu akatoke mtu akakulamba kofi watu watakuwa na shauku ya kutaka kujua utafanya nini?
Mfano mzuri sana 😂😂😂
 
Hiki kimbunga kinachotokea Marekani sasa hivi, kama kingetokea Iran saa hizi wangesema kuwa MOSSAD wapo kazini. Au ungesikia kuwa Mungu wa yakobo anaiadhibu Iran kwa sababu ya kushambulia Israel 😂😂😂
Mbona iran inapata matetemeko mengi tu ya ardhi yaloua makumi ya maelfu, uliskia wapi watu wakisema ni mossad? Tulieni retaliatory attack is imminent hilo liko wazi
 
Mbona iran inapata matetemeko mengi tu ya ardhi yaloua makumi ya maelfu, uliskia wapi watu wakisema ni mossad? Tulieni retaliatory attack is imminent hilo liko wazi
Unaota ukiwa unatembea au umelala?
 
Vyote viwili, uzuri akitwangwa wewe hutaumia hata ukucha,
Kwa sasa Israel ni kibonde. Iran kamtwanga mara ya kwanza akaona kimya. Mara ya pili kimya. Sasa mara ya tatu wataondoka na Netanyahu kabisa, maana kila siku wanachapwa lakini wanaogopa kujibu.
 
Kwa sasa Israel ni kibonde. Iran kamtwanga mara ya kwanza akaona kimya. Mara ya pili kimya. Sasa mara ya tatu wataondoka na Netanyahu kabisa, maana kila siku wanachapwa lakini wanaogopa kujibu.
😂😂😂Kama inakufanya kujiskia raha endelea kuamini unachojua
 
😂😂😂Kama inakufanya kujiskia raha endelea kuamini unachojua
Kwani wewe haufurahii kuona taifa linaloongoza kuwa na mashoga wengi linapigwa? Au unataka wasipigwe ili waendelee kuwa wengi?

Maana kwa hali ilivyo, huenda hata waziri mkuu wao Netanyahu hana marinda 😂😂😂
 
Kwani wewe haufurahii kuona taifa linaloongoza kuwa na mashoga wengi linapigwa? Au unataka wasipigwe ili waendelee kuwa wengi?
Wewe mwenyewe umeweka avatar ya kishoga, hizo 6 pack ni ushoga baridi, unamuonesha nani, ili iweje akikutamani je?
 
Wewe mwenyewe umeweka avatar ya kishoga, hizo 6 pack ni ushoga baridi, unamuonesha nani, ili iweje akikutamani je?
Anaenitaman akinipa kitobo chake nakiziba tu na kibunzi.
 
Wamewaua kama waingereza walivyowaua wale wazawa halisi wa Australia na New Zealand, kama walivyowaua red indians wa Marekani na Canada na kuacha makapi kapi.

Hata South Africa ilikuwa wafanye hivyo hivyo, bahati nzuri waafrika wakiongozwa na baba wa taifa mwl J. Nyerere wakasimama kidete kuhakikisha hilo halitokei. Ndio maana swala la kupima DNA pale Israel limekatazwa baada ya kugundua kuwa 80% ya waliopo pale ni wazungu kutoka UK, Ufaransa, Ujerumani, Poland (Netanyahu) Uturuki, Ugiriki nk.
Yale makabila 12 ya waisraeli yako wapi na siku ukijua hutasumbua tena. Hao ndio waisrael wa ukweli sasa kama unapinga tuambie walipo waisrael leo hii.
 
Niaje waungwana,

Waungwana najua wengi humu mnashauku kubwa sana ya kutaka kujua ni kwanini Israel mpaka leo tar 10/10 haijaishambulia Iran, licha ya kusema na kuapa kuwa itaishambulia na kuiangamiza Iran from day one ya shambulizi lile la pili la Iran nchini Israel ambalo lililenga shabaha iliyokusudiwa na washambuliaji (Iran), kwa kulenga tu kambi za jeshi na ofisi za mosad (sio nyumba za raia) hata kama wanajua kuwa kina Netanyahu na genge lake wana utaratibu ule ule wa kujificha katika nyumba za watu wa kawaida ili kukwepa angamizo ambalo linaweza kusababishwa na shambulizi lolote la Iran (kivita hilo linafahamika).

Sasa kinyume na matarajio ya wengi kuhusu kauli zilizotolewa na kina Netanyahu, mpaka leo hii hakuna kilichofanyika. Sio kwamba Israel haitaki kuishambulia Iran ili angalau kulipiza kisasi cha shambulio lile, bali kwanza ili wakamilishe hilo ni lazima wapate backup kubwa kutoka Marekani, UK, EU na baadhi ya nchi za NATO kama vile Canada nk. Bila nchi hizo kuwa nyuma ya Israel kimipango, silaha na fedha kiukweli Israel haiwezi kufanya chochote kwa Iran NEVER, NEVER and NEVER again. Ndiomaana mara usikie Netanyahu kaongea na Biden kwenye sim, mara usikie Biden kamwambia asishambulie vinu vya nyuklia na visima vya mafuta, mara sijui mkuu wa jeshi la Marekani kaenda Israel kukutana na mkuu wa jeshi la Israel nk. Huku kote ni katika kuhaha, kuhenya henya na kuhangaika, maana wanajua fika kwamba Israel yenyewe haiwezi kujibizana na Iran kijeshi, hivyo ni lazima wakae chini wajadili madhara yatakayotokea endapo Israel itapewa tafu na mabeberu wake kuishambulia Iran alaf Iran ijibu kwa nguvu hali itakuaje!!

Iran ikitaka kufanya shambulizi huwa haihitaji kwenda kuomba msaada au ruhusa yoyote. Wao wanatwanga tu halaf wanasubiri mpumbavu ajibu wamuoneshe.

Lengo la Iran sio kushambulia raia, bali jeshi na mifumo mingine ya serikali. Ila ikitokea Israel ikashambulia makazi ya raia wa Iran kama afanyavyo huko Lebanon na Gaza, basi bila shaka na yeye hatokuwa na njia nyingine zaidi ya kulipiza kisasi ili na wao waone uchungu waupatao wenzao. Sasa hilo ndio linalowaumiza kichwa maadui wote wanaopanga kumsaidia Israel kupambana na Iran.

Wanajua kwamba mifumo ya Israel huwa haina shabaha katika vita, ndomaana mara usikie wamekosea wakalipua mpaka ofisi za UN, mara wameuwa waandishi wa habari, mara raia nk. Sasa wakikosea na shabaha ya huko Iran wakapiga raia, kisasi chake kitakuaje. Unaweza kutumia kichwa chako kutafakari vizuri kwamba kama mifumo ya ulinzi wa anga na wa jeshi Iron dome imeshindwa kuzuia makombora kupenya, vipi nyumba za kawaida za raia zilizojengwa kiholela kama vibanda vya wamachinga pale Karume Complex. Maafa yake si yataishangaza dunia.

Hivyo basi ili kuepusha hayo yasitokee ni lazima kuangalia strategy fulan itayoisadia Israel na Marekani zifute aibu yao. Sasa wameshaona kuwa shambulizi lao linaweza kusababisha hasara zaidi kwa Israel, maana kina Netanyahu wote makazi yao yanajulikana hata wakimbilie chini ya udongo watafuatwa tu na kombora. So ili kuepusha majanga hayo kutokea ni kutafuta tukio lolote ili liunganishwe na shambulizi kwa njia ya imani au kawaida. Mfano ikitokea soko au au uwanja hata wa mpira umepata hitilafu ya umeme na kuungua moto, basi tukio hilo haraka kupitia vyombo vya habari vya magharibi litatangazwa kama ni shambulizi la kimya kimya lililofanywa na Israel katika nchi hiyo yenye nguvu kubwa katika mashariki ya kati. Hili litaenda sambamba na kauli ya Biden kwamba alikuwa ameikataza Israel kufanya mashambulizi Iran, ila yenyewe imeamua kushambulia [emoji23][emoji23][emoji23]

Nafikiri kila mtu anakumbuka lile shambulio la kwanza lilivyotengenezewa tukio. Kimya kilikuwa kingi kama hivi. Siku ambayo radi ilipiga ili mvua inyeshe, wazee wa kazi wakaliunganisha lile tukio ghafla na kisasi cha Israel. So na hili shambulizi litalipwa kwa njia ya tukio au kuvizia viongozi wa hezbullah wataoenda Iran kutembea, ila Netanyahu kufanya shambulizi kama anavyofanya huko Lebanon, Syria, Yemen na Gaza hana uwezo huo.
Nasikia mud alikuwa mwizi?
 
Wamewaua kama waingereza walivyowaua wale wazawa halisi wa Australia na New Zealand, kama walivyowaua red indians wa Marekani na Canada na kuacha makapi kapi.

Hata South Africa ilikuwa wafanye hivyo hivyo, bahati nzuri waafrika wakiongozwa na baba wa taifa mwl J. Nyerere wakasimama kidete kuhakikisha hilo halitokei. Ndio maana swala la kupima DNA pale Israel limekatazwa baada ya kugundua kuwa 80% ya waliopo pale ni wazungu kutoka UK, Ufaransa, Ujerumani, Poland (Netanyahu) Uturuki, Ugiriki nk.
Wewe ni muongo wa kuapizwa. Usiwe unaleta uongo wa masjid ubwabwa hapa.

 
Nasikia mud alikuwa mwizi?
Did the Muslim Prophet Muhammad have a boyfriend?
Actually, yes. And even though Muhammad claimed homosexuality was wrong, he himself was involved in homosexual behavior.

Sunan Abi Dawud 5224

Narrated Usayd ibn Hudayr:

AbdurRahman ibn AbuLayla, quoting Usayd ibn Hudayr, a man of the Ansar, said that while he was given to jesting and was talking to the people and making them laugh, the Prophet poked him under the ribs with a stick. He said: Let me take retaliation. He said: Take retaliation. He said: You are wearing a shirt but I am not. The Prophet then raised his shirt and the man embraced him and began to kiss his side. Then he said: This is what I wanted, Messenger of Allah!

A man kissing Muhammad's bare chest.

Jami` at-Tirmidhi 2732

Narrated 'Aishah:

"Zaid bin Harithah arrived in Al-Madinah while the Messenger of Allah was in his house. So he went and knocked at the door, so the Messenger of Allah stood naked, dragging his garment - and by Allah! I did not see him naked before nor afterwards - and he hugged him and kissed him."

Naked Muhammad kissing another man.
 
Yale makabila 12 ya waisraeli yako wapi na siku ukijua hutasumbua tena. Hao ndio waisrael wa ukweli sasa kama unapinga tuambie walipo waisrael leo hii.
Nimekwambia waliuwawa kama jinsi waingereza walivyowaua wale red indians wa America, au jinsi waarab walivyowaua waafrika weusi kule Misri. Myahudi na mzungu ni race mbili tofauti ndomaana ilikuwa rahisi Hitler kuwaua wenyewe tu kupitia muonekano wao. Ila sasa hawa kina Netanyahu hata kimuonekano tu ni wazungu pure kabisa. Hakina muisrael original wa aina ile. Jamaa wana DNA ya Ulaya.
 
Si ndio ushoga orijino huo sasa mla na mlwa wote machoko, kwanza nao pia siku genye zikiwapanda wanaliwa
Kwahiyo wewe na Netanyahu huwa mnalana? Yeye anakula wewe leo, na wewe unamla yeye kesho. Hapo nimekuelewa.
 
Kashindwa mada kaingiza udini 6 pack awakuwezi umembwaga uyo mshkaj.:3Dance:
 
Kwahiyo wewe na Netanyahu huwa mnalana? Yeye anakula wewe leo, na wewe unamla yeye kesho. Hapo nimekuelewa.
Una fantasy za ushoga mzee baba, hakika utakuja zitimiza sio kwa obsession hii na ushoga
 
Back
Top Bottom