Linasubiriwa tukio lolote litokee nchini Iran ili liunganishwe na shambulizi la Israel

Linasubiriwa tukio lolote litokee nchini Iran ili liunganishwe na shambulizi la Israel

Niaje waungwana,

Waungwana najua wengi humu mnashauku kubwa sana ya kutaka kujua ni kwanini Israel mpaka leo tar 10/10 haijaishambulia Iran, licha ya kusema na kuapa kuwa itaishambulia na kuiangamiza Iran from day one ya shambulizi lile la pili la Iran nchini Israel ambalo lililenga shabaha iliyokusudiwa na washambuliaji (Iran), kwa kulenga tu kambi za jeshi na ofisi za mosad (sio nyumba za raia) hata kama wanajua kuwa kina Netanyahu na genge lake wana utaratibu ule ule wa kujificha katika nyumba za watu wa kawaida ili kukwepa angamizo ambalo linaweza kusababishwa na shambulizi lolote la Iran (kivita hilo linafahamika).

Sasa kinyume na matarajio ya wengi kuhusu kauli zilizotolewa na kina Netanyahu, mpaka leo hii hakuna kilichofanyika. Sio kwamba Israel haitaki kuishambulia Iran ili angalau kulipiza kisasi cha shambulio lile, bali kwanza ili wakamilishe hilo ni lazima wapate backup kubwa kutoka Marekani, UK, EU na baadhi ya nchi za NATO kama vile Canada nk. Bila nchi hizo kuwa nyuma ya Israel kimipango, silaha na fedha kiukweli Israel haiwezi kufanya chochote kwa Iran NEVER, NEVER and NEVER again. Ndiomaana mara usikie Netanyahu kaongea na Biden kwenye sim, mara usikie Biden kamwambia asishambulie vinu vya nyuklia na visima vya mafuta, mara sijui mkuu wa jeshi la Marekani kaenda Israel kukutana na mkuu wa jeshi la Israel nk. Huku kote ni katika kuhaha, kuhenya henya na kuhangaika, maana wanajua fika kwamba Israel yenyewe haiwezi kujibizana na Iran kijeshi, hivyo ni lazima wakae chini wajadili madhara yatakayotokea endapo Israel itapewa tafu na mabeberu wake kuishambulia Iran alaf Iran ijibu kwa nguvu hali itakuaje!!

Iran ikitaka kufanya shambulizi huwa haihitaji kwenda kuomba msaada au ruhusa yoyote. Wao wanatwanga tu halaf wanasubiri mpumbavu ajibu wamuoneshe.

Lengo la Iran sio kushambulia raia, bali jeshi na mifumo mingine ya serikali. Ila ikitokea Israel ikashambulia makazi ya raia wa Iran kama afanyavyo huko Lebanon na Gaza, basi bila shaka na yeye hatokuwa na njia nyingine zaidi ya kulipiza kisasi ili na wao waone uchungu waupatao wenzao. Sasa hilo ndio linalowaumiza kichwa maadui wote wanaopanga kumsaidia Israel kupambana na Iran.

Wanajua kwamba mifumo ya Israel huwa haina shabaha katika vita, ndomaana mara usikie wamekosea wakalipua mpaka ofisi za UN, mara wameuwa waandishi wa habari, mara raia nk. Sasa wakikosea na shabaha ya huko Iran wakapiga raia, kisasi chake kitakuaje. Unaweza kutumia kichwa chako kutafakari vizuri kwamba kama mifumo ya ulinzi wa anga na wa jeshi Iron dome imeshindwa kuzuia makombora kupenya, vipi nyumba za kawaida za raia zilizojengwa kiholela kama vibanda vya wamachinga pale Karume Complex. Maafa yake si yataishangaza dunia.

Hivyo basi ili kuepusha hayo yasitokee ni lazima kuangalia strategy fulan itayoisadia Israel na Marekani zifute aibu yao. Sasa wameshaona kuwa shambulizi lao linaweza kusababisha hasara zaidi kwa Israel, maana kina Netanyahu wote makazi yao yanajulikana hata wakimbilie chini ya udongo watafuatwa tu na kombora. So ili kuepusha majanga hayo kutokea ni kutafuta tukio lolote ili liunganishwe na shambulizi kwa njia ya imani au kawaida. Mfano ikitokea soko au au uwanja hata wa mpira umepata hitilafu ya umeme na kuungua moto, basi tukio hilo haraka kupitia vyombo vya habari vya magharibi litatangazwa kama ni shambulizi la kimya kimya lililofanywa na Israel katika nchi hiyo yenye nguvu kubwa katika mashariki ya kati. Hili litaenda sambamba na kauli ya Biden kwamba alikuwa ameikataza Israel kufanya mashambulizi Iran, ila yenyewe imeamua kushambulia 😂😂😂

Nafikiri kila mtu anakumbuka lile shambulio la kwanza lilivyotengenezewa tukio. Kimya kilikuwa kingi kama hivi. Siku ambayo radi ilipiga ili mvua inyeshe, wazee wa kazi wakaliunganisha lile tukio ghafla na kisasi cha Israel. So na hili shambulizi litalipwa kwa njia ya tukio au kuvizia viongozi wa hezbullah wataoenda Iran kutembea, ila Netanyahu kufanya shambulizi kama anavyofanya huko Lebanon, Syria, Yemen na Gaza hana uwezo huo.

Mkuu kifo ni kifo tu, alisikika mama yetu mmoja akituasa:

Marekani na Israel ni mataifa tofauti yenye baadhi ya siri za pamoja, bila kulijua hilo, Iran au yeyote dhidi yao, ni mfu atembeaye!

Ukweli mchungu hii ni vita ya Marekani na Iran, hapo Israel ni kikaragosi tu:

Palestina ni wahanga, Iran na Israel hawachekani, ila Marekani wapewe maua yao

Kwamba Iran atapigwa pigo moja kali, litakalomwacha mfu au kilema asiweze kurusha ngumi moja punde baada ya hapo? Mbona itakuwa ni kujaribu kupaka rangi hewa kutotaka kulijua hilo?

Kwamba kuna mwenye shauku na eti popote alipo anashangazwa na chelewa chelewa ipi?

IMG_20241010_174342.jpg


Kwani hujui kulikuwa na kimbunga Milton huko kwa mwenye vita vyake, ewe ndugu unayedhani vita ni kabumbu?
 
Umeandika gazeti, ila inashangaza kuona unaona ajabu nchi kushirikiana na washirika wake kuipiga nyingine. Kwani Iran imekatazwa kushirikiana na Marekani?
Iran inajiamini sana, ndomaana haina muda wa kushirikiana na nchi nyingine kuitwanga Israel. Mwenye nguvu huwa hashirikiani na mtu yoyote kumchapa mnyonge.

Lakini mnyonge ni kawaida kushirikiana na watu wengine kumchangia mwenye nguvu.
 
Mkuu umenena yani kwa sasa hata ikitokea ajali ya basi kupinduka utasikia MOSSAD HAO!!
Hiki kimbunga kinachotokea Marekani sasa hivi, kama kingetokea Iran saa hizi wangesema kuwa MOSSAD wapo kazini. Au ungesikia kuwa Mungu wa yakobo anaiadhibu Iran kwa sababu ya kushambulia Israel 😂😂😂
 
Anajifanya mbabe sasa tunataka kuona huo ubabe wake.
Kama kawaida yake akipigwa na mwenye nguvu hasira zake huzimalizia kwa kina mama na watoto huko Gaza na Lebanon 😂😂😂
 
Ujinga mtupu,

Huoni ajabu kwamba, adui za Israel huwa wanauliwa hata wakiwa Ikulu ya Iran

Huo uwezo anao Israel pekee hapo middle

Na unaposema Israel alipize, kati ya Iran na Israel ni yupi ambaye huwa anaishia kulipiza
Hili unaliongea wewe mke wa Netanyahu, lakini Israel yenyewe haijawahi kusema hivyo. Kama una ushahidi wa Israel ikisema kuwa ilimuua mtu Iran basi tuwekee hapa tuone. Yenyewe huwa inatangaza iliowaua Lebanon na Gaza.

Lakini pia mbona umeshindwa kuzungumzia uwezo wa Hamas kuingia Israel mchana kweupee kuuwa wanajeshi kambini, kuteka maelfu ya watu na kutoka nao Israel hadi Gaza bila MOSSAD, Netanyahu na wapumbavu wengine kujua!! Kile kilichofanyika October 7 kinaonesha kuwa hapo Israel hakuna mtu ambae anaweza kuwa salama kama Iran ikimtaka. Fikiria watu wanaingia nchini, wanauwa mamia ya raia na makumi ya wanajeshi na pia kutoka na maelfu ya mateka bila kushtukiwa kitu ambacho hata hapo Rwanda kisingewezekana halaf wewe unakuja kusifia ujinga hapa.
 
nahisi wanachofanya israel ni kutengeneza mifumo ya kujilinda zaidi kupunguza adhari za vita kwao..na ili kuweza kupigana na iran inabidi uwanja wa vita uwe iran au jirani na iran...wanatafuta uwanja huo uwe lebanon rejea ramani ya middle east...vita hapigani nyumbani kwake israel anakufuata huko ulipo sawa na amrekani..kwa hio akishaikamata lebanoni kama ilivyo gaza leo..lazima akiwashe na iran...na iran kama anataa vita salama kwake aingie ajiunge na hezbula kwenye uwanja wa vita hapo lebanon..
 
Nilishasema NUCLEAR RODS zitakuwa overheated na kusababisha mlipuko mkubwa sana kwenye vinu vya kinyuklia. Serikali ya IRAN itajitokeza na kusema ni ajali ya kawaida kumbe ndani yake kuna jasusi la mossad linafanya kazi hapo hapo. Hence mission accomplished.


Namba 2. Sumu ya BOTOX au CYANIDE itatumika anywhere any point for massive caussalties in TEHRAN

Mind yu hapo BEIRUT kemikali ya AMMONIUM NITRATE iliyokuwa imetunzwa kwenye mapipa ya MELI iliyosajiriwa PANAMA ilimaliza mamia ya watu.

MOSSAD have ten thousand ways of reacting
 
Kushabikia vita ni upuuzi uliopindukia, Hivi huwa mnapata faida gani watu wasio na hatia wanapouwawa?

Kila nikiangalia kinachoendelea Gaza na Lebanon naona kabisa hakukuwa na haja ya kufanya mashambulizi ambayo yangesababisha maangamizi ya miji as outcome yaje.

Muda wetu wa kuishi hapa Duniani ni mfupi sana na hakuna kitu kitamu na chenye thamani kama uhai, Watoto na kina mama wanauwa kwa upuuzi wa watu wachache tu.

Ifike kipindi aya yote yaishe na Dunia iwe sehemu salama kwa kuishi kwa binadamu wote.

Najua wengi wa Watanzania tunashabikia huu upuuzi kwakuwa tupo kwenye Nchi ambayo tuna amani.
 
Ata nzi akifa Iran awa vibwetele utasikia mossad kazin mtu anakupigia kwako jamaaa comedy ile mbayaa. Ingekuwa Iran ndio anapiga kigaid afu Israel ndio anapiga live heeee jF ingekuwa chungu lkn ivyo jamaa wao kaishiwa nguvu kutoka vita siku6 adi mwaka na mambo tu kutoka kushambulia kiume kama uko Syria anavyofanya adi kuwa gaid wazi wazi. Unamvia mtu kalala ndio unamshtukiza. Afuu wajinga uku kwetu wanasifia ugaid. Rkn duniani kwasasa habari ni Iran jamaa sasa anakubalika kapiga kiume ume adi na Leo Israel anajitafuta anagundua atosh kenge maji kasaza tuli. Aibu tupu domo kubwa nguvu una ww domo tu. 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Israel ni nchi ya hovyo isiyokuwa na jeshi, silaha wala serikali imara. Kila kitu wanategemea wazungu, kuanzia jeshi, silaha na uongozi wa nchi.
 
Wayahudi wa uliyankulu hawalijui hilo. Wao wanajua kuwa hata hawa wazungu kina Netanyahu na genge lake ni wayahudi wenzao 😂😂😂
Hao ndio wayahudi halisi, wewe hao unaowajua wako wapi.
 
Niaje waungwana,

Waungwana najua wengi humu mnashauku kubwa sana ya kutaka kujua ni kwanini Israel mpaka leo tar 10/10 haijaishambulia Iran, licha ya kusema na kuapa kuwa itaishambulia na kuiangamiza Iran from day one ya shambulizi lile la pili la Iran nchini Israel ambalo lililenga shabaha iliyokusudiwa na washambuliaji (Iran), kwa kulenga tu kambi za jeshi na ofisi za mosad (sio nyumba za raia) hata kama wanajua kuwa kina Netanyahu na genge lake wana utaratibu ule ule wa kujificha katika nyumba za watu wa kawaida ili kukwepa angamizo ambalo linaweza kusababishwa na shambulizi lolote la Iran (kivita hilo linafahamika).

Sasa kinyume na matarajio ya wengi kuhusu kauli zilizotolewa na kina Netanyahu, mpaka leo hii hakuna kilichofanyika. Sio kwamba Israel haitaki kuishambulia Iran ili angalau kulipiza kisasi cha shambulio lile, bali kwanza ili wakamilishe hilo ni lazima wapate backup kubwa kutoka Marekani, UK, EU na baadhi ya nchi za NATO kama vile Canada nk. Bila nchi hizo kuwa nyuma ya Israel kimipango, silaha na fedha kiukweli Israel haiwezi kufanya chochote kwa Iran NEVER, NEVER and NEVER again. Ndiomaana mara usikie Netanyahu kaongea na Biden kwenye sim, mara usikie Biden kamwambia asishambulie vinu vya nyuklia na visima vya mafuta, mara sijui mkuu wa jeshi la Marekani kaenda Israel kukutana na mkuu wa jeshi la Israel nk. Huku kote ni katika kuhaha, kuhenya henya na kuhangaika, maana wanajua fika kwamba Israel yenyewe haiwezi kujibizana na Iran kijeshi, hivyo ni lazima wakae chini wajadili madhara yatakayotokea endapo Israel itapewa tafu na mabeberu wake kuishambulia Iran alaf Iran ijibu kwa nguvu hali itakuaje!!

Iran ikitaka kufanya shambulizi huwa haihitaji kwenda kuomba msaada au ruhusa yoyote. Wao wanatwanga tu halaf wanasubiri mpumbavu ajibu wamuoneshe.

Lengo la Iran sio kushambulia raia, bali jeshi na mifumo mingine ya serikali. Ila ikitokea Israel ikashambulia makazi ya raia wa Iran kama afanyavyo huko Lebanon na Gaza, basi bila shaka na yeye hatokuwa na njia nyingine zaidi ya kulipiza kisasi ili na wao waone uchungu waupatao wenzao. Sasa hilo ndio linalowaumiza kichwa maadui wote wanaopanga kumsaidia Israel kupambana na Iran.

Wanajua kwamba mifumo ya Israel huwa haina shabaha katika vita, ndomaana mara usikie wamekosea wakalipua mpaka ofisi za UN, mara wameuwa waandishi wa habari, mara raia nk. Sasa wakikosea na shabaha ya huko Iran wakapiga raia, kisasi chake kitakuaje. Unaweza kutumia kichwa chako kutafakari vizuri kwamba kama mifumo ya ulinzi wa anga na wa jeshi Iron dome imeshindwa kuzuia makombora kupenya, vipi nyumba za kawaida za raia zilizojengwa kiholela kama vibanda vya wamachinga pale Karume Complex. Maafa yake si yataishangaza dunia.

Hivyo basi ili kuepusha hayo yasitokee ni lazima kuangalia strategy fulan itayoisadia Israel na Marekani zifute aibu yao. Sasa wameshaona kuwa shambulizi lao linaweza kusababisha hasara zaidi kwa Israel, maana kina Netanyahu wote makazi yao yanajulikana hata wakimbilie chini ya udongo watafuatwa tu na kombora. So ili kuepusha majanga hayo kutokea ni kutafuta tukio lolote ili liunganishwe na shambulizi kwa njia ya imani au kawaida. Mfano ikitokea soko au au uwanja hata wa mpira umepata hitilafu ya umeme na kuungua moto, basi tukio hilo haraka kupitia vyombo vya habari vya magharibi litatangazwa kama ni shambulizi la kimya kimya lililofanywa na Israel katika nchi hiyo yenye nguvu kubwa katika mashariki ya kati. Hili litaenda sambamba na kauli ya Biden kwamba alikuwa ameikataza Israel kufanya mashambulizi Iran, ila yenyewe imeamua kushambulia 😂😂😂

Nafikiri kila mtu anakumbuka lile shambulio la kwanza lilivyotengenezewa tukio. Kimya kilikuwa kingi kama hivi. Siku ambayo radi ilipiga ili mvua inyeshe, wazee wa kazi wakaliunganisha lile tukio ghafla na kisasi cha Israel. So na hili shambulizi litalipwa kwa njia ya tukio au kuvizia viongozi wa hezbullah wataoenda Iran kutembea, ila Netanyahu kufanya shambulizi kama anavyofanya huko Lebanon, Syria, Yemen na Gaza hana uwezo huo.
Umeandika kishabiki sana, yaani Iran iwe na uwezo wa kuipiga Israel? Ni Marekani au UK ndo walimuua Ismael Haniyeh ndani ya Iran? Ni Marekani ndo waliua viongozi wote wa Hezbollah?
Acha kujidanganya wewe.
 
Back
Top Bottom