Lindi: Zitto Kabwe na Sulemani Bungara (Bwege) wakamatwa na Polisi

Ile hukumu ya uchochezi sasa ndio inaenda kufanya kazi.
 
Huu upumbavu umezidi sasa, kama wanataka nchi ya chama kimoja si wafute mfumo wa vyama vingi.
Sijutii kutoipenda CCM toka napaka akili timamu asante Mungu
Mungu akubariki wew na wanao kuzunguka
 
Huu upumbavu umezidi sasa, kama wanataka nchi ya chama kimoja si wafute mfumo wa vyama vingi.
Sijutii kutoipenda CCM toka napaka akili timamu asante Mungu
Mungu akubariki wew na wanaokuzunguka.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…