Hatari hahahaha ila nyie jaman mjue tu tunapend mtuambie mnavoweuka juu yetuBaby Zu unapendwa sana... π
[emoji851][emoji851][emoji851][emoji1756][emoji1756][emoji1756][emoji1756] dingi anaweza nirushia hata dripAah hiyo inawezekana kwa mtoto wa kike ila sidhani kwa wanaume kama ni rahisi
Namsachi kwanza aiseeYani umwambie babako nakupenda!? Hakika aspokupiga ngeu ni bahati.
[emoji1756][emoji1756][emoji1756][emoji1756][emoji1756] so good feelings [emoji2957][emoji41][emoji41][emoji41]Kwa kua hua namuelew mama mkwe nikamwambia nakupenda kisha usiku nikamfahmish mume wangu awe anamwambia bimkubwa wake anampenda
[emoji1756][emoji1756][emoji1756][emoji1756]Nshaelezea huko juu ugumu ulipo ni hatujajengwa kulitumia....
Sinaga maneno matamu kabisa, vitu vingine tunawaachia nyie...[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28] huyo "baby" ana shida saaaaana
Ila kama mambo mengine yanaenda fresh , we feel the loveSinaga maneno matamu kabisa, vitu vingine tunawaachia nyie...
Huwezi kuwa mzuri katika kila nyanja, acha mtoto aendelee kuvumilia hiyo shida.
Mkuu.heb msapraisi siku.moja najua atahisi sms sio yako[emoji851][emoji851]Sinaga maneno matamu kabisa, vitu vingine tunawaachia nyie...
Huwezi kuwa mzuri katika kila nyanja, acha mtoto aendelee kuvumilia hiyo shida.
[emoji849][emoji849][emoji849][emoji849]Ila kama mambo mengine yanaenda fresh , we feel the love
[emoji2958][emoji2958][emoji855][emoji855][emoji855][emoji855]yani hata kumwambia mshkaji usiku mwema huo ni ushoga.
ni sawa kumwambia mama nakupenda lakini siwezi mwambia mzee nakupenda anaweza akaniua
Mkuu nitafanya hivyo, nitageuka poet πMkuu.heb msapraisi siku.moja najua atahisi sms sio yako[emoji851][emoji851]
[emoji1756][emoji1756][emoji1756]Mkuu nitafanya hivyo, nitageuka poet [emoji3]
Shukrani sana mkuu.
Wasalimie TALEBANI[emoji851][emoji851][emoji851]nasoma comments
Asijaribu maana itabidi aeleeze vzri hyo msg aliyokese ilikua inaenda wapiππππMkuu.heb msapraisi siku.moja najua atahisi sms sio yako[emoji851][emoji851]
Wazee wetu hawa kizazi cha Mkoloni waliokua wanasoma mpaka darasa la kumi sijui mido school noma sabaMzee anaweza kukudhania unataka mali zake πππ
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2] nipo bongo nowWasalimie TALEBANI[emoji851][emoji851][emoji851]
[emoji851][emoji851][emoji851][emoji851][emoji851] atasema mtoto alikua anachezea simu mbona freesh tuAsijaribu maana itabidi aeleeze vzri hyo msg aliyokese ilikua inaenda wapi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji851][emoji851][emoji851][emoji851][emoji851][emoji851] we jamaa bhanaWazee wetu hawa kizazi cha Mkoloni waliokua wanasoma mpaka darasa la kumi sijui mido school noma saba
Haya mambo labda watoto wetu ndo wataweza sio sisi