Lini mtakomaa kisiasa na kuwa na uwezo wa kudadavua mambo? Kila mara mnadandia matukio bila faida

Lini mtakomaa kisiasa na kuwa na uwezo wa kudadavua mambo? Kila mara mnadandia matukio bila faida

Idugunde

JF-Expert Member
Joined
May 21, 2020
Posts
6,404
Reaction score
6,969
Kila tukio la kisiasa likitokea hapa nchini kwetu lazima mtalidandia na kulishupalia kana kwamba nyie mtanufaika nalo.

Mbaya zaidi mkidandia tukio mnasahau kabisa matatizo yenu na madhira yenu.

Sasa mnashindwa kuwa na uwezo wa kudadavua mambo ili mjue ni tukio gani linaweza kuwa na mashiko kama mkilidandia? Lini mtakuwa na akili hii?

Tukio la Ndugai kung'oka madarakani mlidandia na kupiga mayowe huku mkisahau matatizo yenu. Limepita huku mkiwa hamna lolote mlioambulia.

Juzi tu hapa mkasahaulishwa na tukio la Lissu kukutana na mkuu wa nchi.

Mnatia huruma sana.
 
Kila tukio la kisiasa likitokea hapa nchini kwetu lazima mtalidandia na kulishupalia kana kwamba nyie mtanufaika nalo.

Mbaya zaidi mkidandia tukio mnasahau kabisa matatizo yenu na madhira yenu.

Sasa mnashindwa kuwa na uwezo wa kudadavua mambo ili mjue ni tukio gani linaweza kuwa na mashiko kama mkilidandia? Lini mtakuwa na akili hii?

Tukio la Ndugai kug'oka madarakani mlindandia na kupiga mayowe huku mkisahau matatizo yenu. Limepita huku mkiwa hamna lolote mlioambulia.

Juzi tu hapa mkasahauliswa na tukio la Lissu kukutana na mkuu wa nchi.

Mnatia huruma sana.
Naunga mkono hoja,

P
 
Nimeona Wanasema Ndege imekodiwa hivi hamjui ndege ile inaweza kubeba Rais na waabiria wengine vizuri tu bila shida...
 
Nimeona Wanasema Ndege imekodiwa hivi hamjui ndege ile inaweza kubeba Rais na waabiria wengine vizuri tu bila shida...
Naunga mkono hoja kuwa inaweza kubeba Rais pamoja na abiria wa Kawaida. Je hili limethibitishwa kuwa alipanda pamoja na abiria wa kawaida?

Waajiri wa Rais wamehoji wanapaswa kujibiwa kwani wamemnunulia Rais ndege yake binafsi na wanapaswa kujuzwa kuwa ndege ya Rais ina kasoro kadhaa wa kadhaa ndio maana Rais akaamua awe Abiria kama Abiria wengine kwenye ndege ya Abiria
 
Kila tukio la kisiasa likitokea hapa nchini kwetu lazima mtalidandia na kulishupalia kana kwamba nyie mtanufaika nalo.

Mbaya zaidi mkidandia tukio mnasahau kabisa matatizo yenu na madhira yenu.

Sasa mnashindwa kuwa na uwezo wa kudadavua mambo ili mjue ni tukio gani linaweza kuwa na mashiko kama mkilidandia? Lini mtakuwa na akili hii?

Tukio la Ndugai kung'oka madarakani mlidandia na kupiga mayowe huku mkisahau matatizo yenu. Limepita huku mkiwa hamna lolote mlioambulia.

Juzi tu hapa mkasahaulishwa na tukio la Lissu kukutana na mkuu wa nchi.

Mnatia huruma sana.

Wakati hao wengine wakidandia hayo matukio, nyie huwa mnakuwa wapi mkijadili nini? Mbona tunawaona mkishinda kwenye mijadala hii hii? Hebu tuonyesheni mijadala yenu mkiwa mnajadili, elimu, maji, miundombinu mbalimbali nk.
 
Wakati hao wengine wakidandia hayo matukio, nyie huwa mnakuwa wapi mkijadili nini? Mbona tunawaona mkishinda kwenye mijadala hii hii? Hebu tuonyesheni mijadala yenu mkiwa mnajadili, elimu, maji, miundombinu mbalimbali nk.
Usijifanye kipofu.
 
Wakati hao wengine wakidandia hayo matukio, nyie huwa mnakuwa wapi mkijadili nini? Mbona tunawaona mkishinda kwenye mijadala hii hii? Hebu tuonyesheni mijadala yenu mkiwa mnajadili, elimu, maji, miundombinu mbalimbali nk.
Akikujibu UNITAGI!
 
Nyie CCM ndio hovyoo kabisa, vipi jiwe aliposema kuwa "Nchi haitakopa mikopo ya masimango hamkushangilia??".

Na vipi leo kwa Samia mbona mmedandia na kujipanga mitaloni kumpokea kutoka kwa mabeberu!!, Vipi kuhusu "kikotoo" sio nyie mazuzu mliounga mkono Bunge lenu baadae jiwe akaja kukikataa mlikumbuka kumpinga??.
 
1645508116534.png
 
Mayalla = Njaa
Naunga mkono hoja,

P
 
Kila tukio la kisiasa likitokea hapa nchini kwetu lazima mtalidandia na kulishupalia kana kwamba nyie mtanufaika nalo.

Mbaya zaidi mkidandia tukio mnasahau kabisa matatizo yenu na madhira yenu.

Sasa mnashindwa kuwa na uwezo wa kudadavua mambo ili mjue ni tukio gani linaweza kuwa na mashiko kama mkilidandia? Lini mtakuwa na akili hii?

Tukio la Ndugai kung'oka madarakani mlidandia na kupiga mayowe huku mkisahau matatizo yenu. Limepita huku mkiwa hamna lolote mlioambulia.

Juzi tu hapa mkasahaulishwa na tukio la Lissu kukutana na mkuu wa nchi.

Mnatia huruma sana.
Nyie ndiyo hao ambapo mnatafutwa na Mh. Polepole.
 
Usijifanye kipofu.

Onyesha post yoyote uliyoanzisha ww na wenzako kuhusu matatizo ya umeme na suluhu yake, zaidi ya kuanika frustration zako kuhusu wafuasi wa cdm kutomsujudia yule kiongozi muovu, na genge lake haramu la ccm.
 
Onyesha post yoyote uliyoanzisha ww na wenzako kuhusu matatizo ya umeme na suluhu yake, zaidi ya kuanika frustration zako kuhusu wafuasi wa cdm kutomsujudia yule kiongozi muovu, na genge lake haramu la ccm.
Huwa nakushangaa sana jamaa yangu. Acha kuwa mgumu kuelewa.
 
Back
Top Bottom