Lini mtakomaa kisiasa na kuwa na uwezo wa kudadavua mambo? Kila mara mnadandia matukio bila faida

Lini mtakomaa kisiasa na kuwa na uwezo wa kudadavua mambo? Kila mara mnadandia matukio bila faida

Kila tukio la kisiasa likitokea hapa nchini kwetu lazima mtalidandia na kulishupalia kana kwamba nyie mtanufaika nalo.

Mbaya zaidi mkidandia tukio mnasahau kabisa matatizo yenu na madhira yenu.

Sasa mnashindwa kuwa na uwezo wa kudadavua mambo ili mjue ni tukio gani linaweza kuwa na mashiko kama mkilidandia? Lini mtakuwa na akili hii?

Tukio la Ndugai kung'oka madarakani mlidandia na kupiga mayowe huku mkisahau matatizo yenu. Limepita huku mkiwa hamna lolote mlioambulia.

Juzi tu hapa mkasahaulishwa na tukio la Lissu kukutana na mkuu wa nchi.

Mnatia huruma sana.
Lione linavyokera na ID yako nyingine ya Kamanda Asiyechoka . Halafu unajiona mjanjaaa nakutuona sisi wajinga kama wewe.

Hovyooo
 
Kama hili jambo la rais kupanda Emirates wamelishupalia kana kwamba ni ajabu wasichojua ni kua rais kapanda kama abiria wengine wao wanadai kakodi.

Na angeenda na ndege binafsi pia wangesema.
 
Meya wa manispaa ya moshi anaunga mkono ushoga huko
Kila tukio la kisiasa likitokea hapa nchini kwetu lazima mtalidandia na kulishupalia kana kwamba nyie mtanufaika nalo.

Mbaya zaidi mkidandia tukio mnasahau kabisa matatizo yenu na madhira yenu.

Sasa mnashindwa kuwa na uwezo wa kudadavua mambo ili mjue ni tukio gani linaweza kuwa na mashiko kama mkilidandia? Lini mtakuwa na akili hii?

Tukio la Ndugai kung'oka madarakani mlidandia na kupiga mayowe huku mkisahau matatizo yenu. Limepita huku mkiwa hamna lolote mlioambulia.

Juzi tu hapa mkasahaulishwa na tukio la Lissu kukutana na mkuu wa nchi.

Mnatia huruma sana.
 
Kila tukio la kisiasa likitokea hapa nchini kwetu lazima mtalidandia na kulishupalia kana kwamba nyie mtanufaika nalo.

Mbaya zaidi mkidandia tukio mnasahau kabisa matatizo yenu na madhira yenu.

Sasa mnashindwa kuwa na uwezo wa kudadavua mambo ili mjue ni tukio gani linaweza kuwa na mashiko kama mkilidandia? Lini mtakuwa na akili hii?

Tukio la Ndugai kung'oka madarakani mlidandia na kupiga mayowe huku mkisahau matatizo yenu. Limepita huku mkiwa hamna lolote mlioambulia.

Juzi tu hapa mkasahaulishwa na tukio la Lissu kukutana na mkuu wa nchi.

Mnatia huruma sana.
Mleta mada ulitaka kusema nini? ljni utaacha tabia ya kukurupuka kama uharo?
 
Back
Top Bottom