Lini Sheria Ngowi utaacha kuchora vikatuni na makorokoro katika jezi za Yanga? Jezi za Yanga ni mbaya balaa.

Lini Sheria Ngowi utaacha kuchora vikatuni na makorokoro katika jezi za Yanga? Jezi za Yanga ni mbaya balaa.

Aangalie jezi za timu kubwa zipo vipi:
1. Real Madrid
2. Liverpool
3. Arsenal
4. Simba
5. Bayern Munich
6. Al Ahly
7. Al Nasri
8. Mamelodi
Apewe elimu kwamba home kit haitakiwi kutiwa mbwembwe nyingi. Hizo vurugu zinafanywa kwenye jezi ya ugenini. Mara ya kwanza nilidhan ni away kit kumbe ni home kit nilishangaa
Kwakuwa nyie mmewaiga kwa kukosa ubunifu, basi ndio mnaona ni SI unit kwa timu zote duniani!!
Ndio jezi zetu sasa, na tunatamba nazo. Uzi mkaliiiiiiii.

Baaaaado hamjasema.
 
Kwakuwa nyie mmewaiga kwa kukosa ubunifu, basi ndio mnaona ni SI unit kwa timu zote duniani!!
Ndio jezi zetu sasa, na tunatamba nazo. Uzi mkaliiiiiiii.

Baaaaado hamjasema.
Kwa mtoto wa kike kama wewe kuvaa kijora ni sawa hao utopolo wa kiume ndio tunatetea haki zao. 😁

Ushauri: Jezi mpya za Yanga zivaliwe na Yanga Princess na si vinginevyo.
 
Kwa mtoto wa kike kama wewe kuvaa kijora ni sawa hao utopolo wa kiume ndio tunatetea haki zao. 😁

Ushauri: Jezi mpya za Yanga zivaliwe na Yanga Princess na si vinginevyo.
Wamewaomba muwatetee au mnaumia kwa visivyowahusu!! Uzi mkaliiiii, mtateseka sana.
 
kama chelsea tu wametoa boko,yanga ni wakina nani watoe jezi kali
 
Aangalie jezi za timu kubwa zipo vipi:
1. Real Madrid
2. Liverpool
3. Arsenal
4. Simba
5. Bayern Munich
6. Al Ahly
7. Al Nasri
8. Mamelodi
Apewe elimu kwamba home kit haitakiwi kutiwa mbwembwe nyingi. Hizo vurugu zinafanywa kwenye jezi ya ugenini. Mara ya kwanza nilidhan ni away kit kumbe ni home kit nilishangaa
Usikariri dogo.
 
Kila ukirukaruka sindano inazidi kupenya.
 
Hizo sheria za utengenezaji wa jezi zipo FIFA au CAF?, mbona hujamsema Sandaland kuwavalisha sanda?.
 
Back
Top Bottom