Lini Wakenya watazinduka na kuitazama Tanzania kama kioo badala ya kuendelea kuiona kama adui?

Lini Wakenya watazinduka na kuitazama Tanzania kama kioo badala ya kuendelea kuiona kama adui?

Mbona langu unalikwepa Mkuu? Ni yapi Tz inapaswa kuiga toka Kenya? Usione haya wewe bainisha tu
Hilo ni jukumu lako wewe kubainisha maeneo ambayo unahisi kenya inafanya vizuri, then mimi nitayapitia na kukupa mrejesho wangu kwamba ni sawa ama hapana.
 
"Hey! Look at me! I am a GREAT person! Emulate me!"

These words are the most obvious symptoms of a weak underachiever with low self-

esteem and inferiority complex

"Hey! Look at me! I am a GREAT person! Emulate me!"

These words are the most obvious symptoms of a weak underachiever with low self-esteem and inferiority complex.
Raila Odinga, Mishy na baadhi ya viongozi wa Kenya waliposema tuwaige watanzania katika kikao cha BBI kumbe ndio wanaongoza kwa Inferiority complex?. Wewe unaonyesha jinsi ulivyo na wivu na inferiority complex zilivyopitiliza. Great mind never feels guilty to copy from successful people. Kenya must copy from Tanzania to Fight tribalism, corruption, crime, nepotism, food production and Land ownership policy
 
wakati mnavutana uku jamii forum..uku twitter watanzania wanatamani sana kenya..wamekubali kenya imeendelea sana..
1605593474074.png
1605593502454.png
1605593539788.png

1605593559969.png
 
Raila Odinga, Mishy na baadhi ya viongozi wa Kenya waliposema tuwaige watanzania katika kikao cha BBI kumbe ndio wanaongoza kwa Inferiority complex?. Wewe unaonyesha jinsi ulivyo na wivu na inferiority complex zilivyopitiliza. Great mind never feels guilty to copy from successful people. Kenya must copy from Tanzania to Fight tribalism, corruption, crime, nepotism, food production and Land ownership policy
Najua kizungu ningumu kwako. Soma polepooole utaelewa.
 
Labda kioo cha Kenya ya 1980's, wakati wa KANU ya dikteta Moi na kikosi chake cha Flying Squad. Bila kusahau Nyayo Torture Chambers, ambapo wapinzani walikuwa wanapelekwa kufinywa map#mb# na pliers.

Enzi wakimbizi wa kisiasa kutoka Kenya walitapakaa kote duniani. Alafu kwa mtazamo wa wakenya hakuna adui yeyote mwingine wa taifa la Kenya ukanda huu, isipokuwa Somalia.

Uadui wa Kenya dhidi ya Tanzania upo tu kwenye akili za vibwengo wa Jiwe, kama wewe. Ingekuwa hali ndio ilivyo kama unavyodai tusingewaona watanzania wenzako wakitorokea Kenya wakati mna majirani wengine wengi.
Tatizo hawa jamaa hawawezi kujifunza hadi wafikwe na matatizo, walitupinga sana kipindi tunapambana na Corona, sasa hivi vichwa vipo chini hawawezi hata kututazama machoni.
Tanzania hakuna cha kujivunia kuhusu corona.Tanzania iliachwa wa kufa afe, Kenya ilijaribu kutumia mbinu ghali za kulinda raia ila bahati mbaya hazikufanikiwa.
 
Rudia tena kusoma mambo niliyoyataja ambayo mnapaswa kuiga Tanzania, sijasema muige kila kitu, ngoja nirudie tena kutaja mambo ya msingi ambayo Kenya mnapaswa kuiga toka Tanzania

1) Ukabila
2) Rushwa
3) Sera ya kumiliki ardhi
4) Kupambana na iyambazi
5) Kumaliza mapigano miongoni mwa wafugaji
6) Kuzuia/ Kupunguza fujo wakati wa uchaguzi
7) Kupambana na Civil -19
8) Kudhibiti matumizi mabaya ya pesa za serikali
9) Kupunguza kukopa kwa miradi isiyokua na tija

Unadhani kwamba ni busara kwa serikali ya Kenya kuendelea kushuhudia wakenya wakipukutika Kw Civil - 19 wakati majirani wa Kenya kwa kiasi kikubwa wamefanikiwa kudhibiti hilo yayiza?
jeshi na vyombo dhaifu vya usalama; kenya drinking force - kdf
 
Tanzania hakuna cha kujivunia kuhusu corona.Tanzania iliachwa wa kufa afe, Kenya ilijaribu kutumia mbinu ghali za kulinda raia ila bahati mbaya hazikufanikiwa.
ndiyo moja ya upumbavu wa wakenya, kila kitu ni kuiga na kutafuta sifa za kijinga huku mkipoteza
 
Haya maswali ni kichaa pekee ndio anaweza kuyauliza, hivi unataka kulinganisha uchaguzi wowote ule wa Kenya ambapo hakuna wakenya 50 waliopoteza maisha?. Uchaguzi ambao Kenya inajisifu ulimalizika kwa amani ni huu wa 2017 ambapo wakenya 67 waliuliwa na polisi, toa idadi ya uchaguzi upi Tanzania ambapo watu wameuliwa, toa ushahidi wacha kusema mambo kwa kufikiria kichwani mwako.

Kuhusu miradi ya maendeleo na huduma kwa wananchi, huko ndiko ambako hata wakenya wanakushangaa, taja mradi wowote wa umeme unaojengwa na serikali ambao unatumia japo
Kenya kuna uhuru wa wana habari ndio maana huwa mnapata ripoti zote kikamilifu, sisi kama nchi tumekomaa zaidi kwa kila njia.
Huenda maafa mengi yalitokea huko tz na kwa sababu ya ushamba wa serikali yenu na wa tz wote kwa jumla huwa mambo kama haya mnayaficha na chombo chochote cha habari kitakacho thubutu kueneza habari hizo huwa kina vamiwa na kusumbuliwa.
Iweje karne kama hii eti baada ya uchaguzi, wapinzani wote wanadai ya kuwa maisha yao yamo hatarini na kuenda kujificha nchi jirani na wengine katika balozi za ujerumani..aibu sana ..hii inaonyesha jinsi tanzania mko nyuma sana kiakili kimawazo na kidemokrasia.
kenya wapinzani na vyombo vya habari wa uhuru na ndio kwa maana tumefika kiwango cha korti kutanga marejeo ya kura za urais... nyinyi tz mtafika huku lini ???????????
 
Kenya kuna uhuru wa wana habari ndio maana huwa mnapata ripoti zote kikamilifu, sisi kama nchi tumekomaa zaidi kwa kila njia.
Huenda maafa mengi yalitokea huko tz na kwa sababu ya ushamba wa serikali yenu na wa tz wote kwa jumla huwa mambo kama haya mnayaficha na chombo chochote cha habari kitakacho thubutu kueneza habari hizo huwa kina vamiwa na kusumbuliwa.
Iweje karne kama hii eti baada ya uchaguzi, wapinzani wote wanadai ya kuwa maisha yao yamo hatarini na kuenda kujificha nchi jirani na wengine katika balozi za ujerumani..aibu sana ..hii inaonyesha jinsi tanzania mko nyuma sana kiakili kimawazo na kidemokrasia.
kenya wapinzani na vyombo vya habari wa uhuru na ndio kwa maana tumefika kiwango cha korti kutanga marejeo ya kura za urais... nyinyi tz mtafika huku lini ???????????
Wapinzani wakisumbuliwa, kura loonies, na vyombo vya habari vikisumbuliwa Tanzania, hizo habari mnazipata vizuri Sana, habari mbaya za Tanzania zote mnazisikia vizuri, hizo hazifichwi, ila zile habari zingile ndio zinafichwa?.

Kwa akili yako ni kwamba Tanzania kuna ukabila, njaa, crime, police killings, post election killings, slums, ila havitangazwi kwasababu serikali inaficha?.

Uhuru gani wa kujieleza Kenya mpo nao wakati mtu akijieleza anauliwa au anafukuzwa nchini, Tundu Lissu amekimbia kwa kuhofia usalama wake wakati Miguna Miguna amefurushwa na serikali ya Kenya, huo Uhuru mlionao upo wapi?.

Jacab Jumwa, Chris Msendo na viongozi wa dini wameendelewa kuuliwa kutokana na misimamo yao ya kisiasa huko Kenya, taja kama kuna kiongozi hata mmoja wa dini aliyeuliwa Tanzania kutokana na siasa.

Kenya ni very primitive Society haina uhuru wowote, nchi inaongozwa ki mafia, serikali inaongoza magenge ya wauaji huko pwani kwa kisingizio cha kupambana na ugaidi. Kenya ni failed state
 
Na nyie mtaiga jambo lipi kutoka kwetu? Kwa kawaida WaTz wa hapa JF huwa wanasema kuwa Kenya ni failed state na hakuna jambo la kuiga kutoka kwetu. Sasa kama ni hivyo mbona kila mtu asikae kwao? Nyie mkae huko na sisi tukae huku.

Hakuna haja ya kuigana kama nyie hamna jambo la kuiga kutoka kwetu. Haiwezekani kuwa nyie mnasema hamna la kuiga kutoka kwetu halafu bado mnategemea sisi tuwaige. Hio bangi kutoka Moshi Tanzania sio nzuri. Muwache kuivuta


Ni Bangi ya Naivasha na Kariobangi.
 
Kenya ni nchi yenye matatizo mengi ya kijamii, kisiasa na kiuchumi kwa sasa, ukabila, rushwa, ukosefu wa usalama, upungufu wa chakula, migogoro kati ya jamii za wafugaji, miradi ya serikali isitozingatia mahitaji ya wananchi, Covid -19, dhuluma ya umiliki wa athi, vurugu za kisiasa wakati na baada ya uchaguzi ni baadhi tu ya matatizo ya msingi yanayoikabila nchi ya Kenya.

Ukiangalia kwa makini ni kwamba, kwa kiwango kikubwa, Tanzania imefanikiwa sana katika kupunguza kama sio kumaliza kabisa haya matatizo. Kwa akili ya kawaida kabisa, ilipaswa Kenya kujifunza yale mazuri ambayo Tanzania imefanikiwa na ni rahisi kuyamaliza kwa mda mfupi kama kupambana na rushwa, kupambana na ujambazi, kuzalisha chakula, kupambana na Civil -19 na kuzuia ghasia katika vipindi vya uchaguzi, haya ni mambo yanayoweza kudhibitiwa ndani ya muda mfupi bila hata kusubiri BBI na katiba mpya.

Viongozi wa Kenya lazima wakubali kwamba kuna mambo mengi mazuri wanapaswa kuiga toka Tanzania, hakuna faida yoyote ya kujisikia aibu kwa kuiga mazuri yanayofanywa na jirani yako, hata kama ni adui yako, kwa kufanya hivyo Kenya itaendelea kubaki na matatizo bila kujinasua.

"If you can't beat them, join them"
tuachane nao, sisi tuendelee kupiga kazi, watajakumbuka shuka kukiwa kumepambazuka!hahahahaha
 
Wapinzani wakisumbuliwa, kura loonies, na vyombo vya habari vikisumbuliwa Tanzania, hizo habari mnazipata vizuri Sana, habari mbaya za Tanzania zote mnazisikia vizuri, hizo hazifichwi, ila zile habari zingile ndio zinafichwa?.

Kwa akili yako ni kwamba Tanzania kuna ukabila, njaa, crime, police killings, post election killings, slums, ila havitangazwi kwasababu serikali inaficha?.

Uhuru gani wa kujieleza Kenya mpo nao wakati mtu akijieleza anauliwa au anafukuzwa nchini, Tundu Lissu amekimbia kwa kuhofia usalama wake wakati Miguna Miguna amefurushwa na serikali ya Kenya, huo Uhuru mlionao upo wapi?.

Jacab Jumwa, Chris Msendo na viongozi wa dini wameendelewa kuuliwa kutokana na misimamo yao ya kisiasa huko Kenya, taja kama kuna kiongozi hata mmoja wa dini aliyeuliwa Tanzania kutokana na siasa.

Kenya ni very primitive Society haina uhuru wowote, nchi inaongozwa ki mafia, serikali inaongoza magenge ya wauaji huko pwani kwa kisingizio cha kupambana na ugaidi. Kenya ni failed state
kenya ni zaidi ya taifa la kihuni, kwa JPM watakula kinyesi sasa tupo kikazi zaidi!
 
Wapinzani wakisumbuliwa, kura loonies, na vyombo vya habari vikisumbuliwa Tanzania, hizo habari mnazipata vizuri Sana, habari mbaya za Tanzania zote mnazisikia vizuri, hizo hazifichwi, ila zile habari zingile ndio zinafichwa?.

Kwa akili yako ni kwamba Tanzania kuna ukabila, njaa, crime, police killings, post election killings, slums, ila havitangazwi kwasababu serikali inaficha?.

Uhuru gani wa kujieleza Kenya mpo nao wakati mtu akijieleza anauliwa au anafukuzwa nchini, Tundu Lissu amekimbia kwa kuhofia usalama wake wakati Miguna Miguna amefurushwa na serikali ya Kenya, huo Uhuru mlionao upo wapi?.

Jacab Jumwa, Chris Msendo na viongozi wa dini wameendelewa kuuliwa kutokana na misimamo yao ya kisiasa huko Kenya, taja kama kuna kiongozi hata mmoja wa dini aliyeuliwa Tanzania kutokana na siasa.

Kenya ni very primitive Society haina uhuru wowote, nchi inaongozwa ki mafia, serikali inaongoza magenge ya wauaji huko pwani kwa kisingizio cha kupambana na ugaidi. Kenya ni failed state
my friend mie nishaishi tz kwa mwezi mzima na kwa kusema kweli mko nyuma, habari hizi za watu mashuhuri maisha yao kuwa hatarini huwa tunayapata kwenye mitandao ambayo ni ya kujificha ficha tuu, lakini huwezi sikia ikitangazwa na mashirika ya kiserikali au kampuni zilizosajiliwa kikamili...tazama mimi ninavoweza kuandika kiswahili sanifu kadri ya uwezo wangu napia tukiingia kiingereza nimebobea vivyo hivyo, But for a tz you can only communicate in swahili and thats it...yaani nyie wapumbavu saana aisee
 
Wewe ndio hujui Kiswahili ndio sababu huwezi kuelewa kinachozungumzwa hapa JF, rudi shule kajifunze Kiswahili wacha kutuletea Gikuyu language hapa
Umejibu hoja niliyoandika kwa kizungu bradhee. Alafu you are famous on this forum for misunderstanding things typed in English so inaeleweka.
 
Back
Top Bottom