Lini Wananchi walishirikishwa kukabidhi chuo cha TANESCO kwa Waislam?

Lini Wananchi walishirikishwa kukabidhi chuo cha TANESCO kwa Waislam?

Rais wa awamu ya tatu mkristo Mkatoliki alikabidhi chuo cha umma (TANESCO) kwa WaIslam bila kupata baraka za wananchi.

Ndugu zetu WaIslam hawana utaratibu wa kujenga vyuo kwaajili ya elimu dunia,wamewejeza zaidi elimu ahera.

Kwakuwa chuo bado kipo na utaratibu wa kuwakadhi haukupata baraka za wananchi ni muhimu sasa chuo kikarejeshwa katika miliki ya umma.
Babu yako Nyerere alicheza ngoma baada ya waislam kutaka kujenga university pale chang'ombe,akatumia Dola kuvunja taasisi,lini wananchi walishirikishwa serikali kuingia mou na kutoa bilioni 36 kila mwezi kuzipa hospital za kanisa!?..hatutaki hazina kuwa kibubu Cha kanisa, mkataba uvunjwe
 
Mkataba ni mbovu kweli kweli lakini chuo chetu Tanesco Morogoro ni vyema kikarejeshwa.
Zirejeshwe kwanza pesa zote ambazo kanisa limekua likipewa Kisha utaratibu huo ufutwe,halafu ndiyo kirejeshwe chuo Cha tanesco
 
Rais wa awamu ya tatu mkristo Mkatoliki alikabidhi chuo cha umma (TANESCO) kwa WaIslam bila kupata baraka za wananchi.

Ndugu zetu WaIslam hawana utaratibu wa kujenga vyuo kwaajili ya elimu dunia,wamewejeza zaidi elimu ahera.

Kwakuwa chuo bado kipo na utaratibu wa kuwakadhi haukupata baraka za wananchi ni muhimu sasa chuo kikarejeshwa katika miliki ya umma.

[emoji28][emoji28][emoji28]
 
Mkataba ni mbovu kweli kweli lakini chuo chetu Tanesco Morogoro ni vyema kikarejeshwa.
Mbona kuna jamaa humu aliwahi kusema eti hicho chuo kilikuwa ni cha kwao, kabla ya kutaifishwa na serikali ya awamu ya kwanza!!!!
Ukweli ni upi katika hili?

Maana na sisi Wakatoliki tukisema tudai mali zetu zote zilizotaifishwa kipindi hicho, na hata sasa zinawanufausha Watanzania wote! Na pasipo kujali dini zao; nadhani patachimbika
 
Magufuli alikuwa Mkristo tena Mkatoliki, ni yeye ndio amewapa tender waislamu wa Yepi Merkez Kujenga reli ya SGR na Arab Contractors kujenga bwawa la Mwalimu Nyerere hakuna Mkristo yeyote aliyeleta udini.

Leo watu wenye akili wanapinga mkataba wa kihuni zinatokea Ng'ombe za Waarabu zinaleta udini.

Stupid (In Samia voice)
Sgr mkataba wake wa riba 2% ulikuwepo,magu akavunja akaingiza wa riba 10%..so inajulikana sababu ni nini!?..halafu 'mtakatifu' gani angenyanyua Domo lake la kunywea pombe mbele ya magu!?
 
Magufuli alikuwa Mkristo tena Mkatoliki, ni yeye ndio amewapa tender waislamu wa Yepi Merkez Kujenga reli ya SGR na Arab Contractors kujenga bwawa la Mwalimu Nyerere hakuna Mkristo yeyote aliyeleta udini.

Leo watu wenye akili wanapinga mkataba wa kihuni zinatokea Ng'ombe za Waarabu zinaleta udini.

Stupid (In Samia voice)
Kuna ile Kampuni ya Misri nayo ilipewa zabuni ya kujenga Bwawa la umeme la Julius Nyerere (Stiglers Gorge). Na wala hatukulalamika kwa nini wamepewa Waislam wa Misri!

Ila kwenye hili sakata la bandari, naona baadhi ya ndugu zetu Wailam, wameamua kwa makusudi kabisa kukengeuka.
 
Hicho chuo kilikabidhiwa kupoza vuguvugu la Makataba wa Serikali na Kanisa ambao Kila Mwezi Kanisa lina vuna Bil 36 kutoka serikalini.

Mkapa akaonja joto la Waislaam,akaamua kuwapa chuo kama seheku ya kuonesha wote wananufaika.
Lakini haitoshi,nami nashauri Serikali ichukue chuo chake ili waislaam wajichange wajenge chakwao.

Kadhalika Serikali ivunje mkataba na Makanisa ili Hizo Bil 36 kwa mwezi zitumike kubitesha huduma za jamii za serikali.

Hapo hakutakuwa na Malalamiko
Pumbavu kabisa kumbe mmekubali kuwa mmehongwa....
 
Rais wa awamu ya tatu mkristo Mkatoliki alikabidhi chuo cha umma (TANESCO) kwa WaIslam bila kupata baraka za wananchi.

Ndugu zetu WaIslam hawana utaratibu wa kujenga vyuo kwaajili ya elimu dunia,wamewejeza zaidi elimu ahera.

Kwakuwa chuo bado kipo na utaratibu wa kuwakadhi haukupata baraka za wananchi ni muhimu sasa chuo kikarejeshwa katika miliki ya umma.
Ritz
 
Mpo tayari kurudisha vyuo na shule vilivyotaifishwa na mwalimu kutoka kanisa katoliki ili angalau kobaz nao wapate elimu ya mzungu?
Mpo tayari kurudisha ocean road hospital na ikulu zirudi kuwa madrasa!?..kitaifisha shule ilikua danganya toto ya kudhibiti waislam wasiwe na elimu ili wakachujwe shule za serikali
 
Naona mada zimekua za kidini tu siku hizi, kwa kifupi mkataba wa bandari ni mbovu na haubebeki, Kuna upande walipozidiwa hoja na wakaja kujificha kwenye dini........
Nimeamka asubuhi nakutana na mada ya mjinga mmoja ikiongelea MoU ya hospitali za Kanisa.
Nikajua huyu mpuuzi hajui madhara ya ujinga wake. Kwa hiyo endeleeni kusikiliza Wapuuzi wote watakaojitokeza.
 
Zirejeshwe kwanza pesa zote ambazo kanisa limekua likipewa Kisha utaratibu huo ufutwe,halafu ndiyo kirejeshwe chuo Cha tanesco
Hivi ikitokea hicho chuo (ambacho kiko mahututi mpaka muda huu naandika hapa) kikarejeshwa kwa hao Tanesco! Hivi mtakuwa na chuo kingine kweli?

Maana mna chuo kimoja tu, lakini bado kinawatoa kamasi kwenye uendeshaji wake.
 
Rais wa awamu ya tatu mkristo Mkatoliki alikabidhi chuo cha umma (TANESCO) kwa WaIslam bila kupata baraka za wananchi.

Ndugu zetu WaIslam hawana utaratibu wa kujenga vyuo kwaajili ya elimu dunia,wamewejeza zaidi elimu ahera.

Kwakuwa chuo bado kipo na utaratibu wa kuwakadhi haukupata baraka za wananchi ni muhimu sasa chuo kikarejeshwa katika miliki ya umma.
Wao wamejikita kujenga misikiti tupu
 
Kuna ile Kampuni ya Misri nayo ilipeqa zabuni ya kujenga Bwawa la umeme Julius Nyerere (Stiglers Gorge). Na wala hatukulalamika kwa nini wamepewa Waislam wa Misri!

Ila kwenye hili sakata la bandari, naona baadhi ya ndugu zetu Wailam, wameamua kwa makusudi kabisa kukengeuka.
Kampuni ya Masri ndio hiyo Arab Contractors nimeitaja hapo.

Hatujawahi kuleta udini wala kuhoji, leo tunahoji mkataba wa kipumbavu uliojaa rushwa kuna mazezeta yanajificha kwenye dini.

Stupid. ( in Samia voice)
 
Hicho chuo kilikabidhiwa kupoza vuguvugu la Makataba wa Serikali na Kanisa ambao Kila Mwezi Kanisa lina vuna Bil 36 kutoka serikalini.

Mkapa akaonja joto la Waislaam,akaamua kuwapa chuo kama seheku ya kuonesha wote wananufaika.
Lakini haitoshi,nami nashauri Serikali ichukue chuo chake ili waislaam wajichange wajenge chakwao.

Kadhalika Serikali ivunje mkataba na Makanisa ili Hizo Bil 36 kwa mwezi zitumike kubitesha huduma za jamii za serikali.

Hapo hakutakuwa na Malalamiko
Jengeni hospitali na nyie hakuna shida(Bugando, Haydom, KCMC, Seliani n.k)itawachukua miaka 100 kufika hapo
 
Back
Top Bottom