Lipa namba ya VODACOM 5757565 rudisha pesa yangu

Lipa namba ya VODACOM 5757565 rudisha pesa yangu

Majina mawili ya mwisho yanafanana na dada wa sheria, utapata meku
 
Pole shosti angu Farida, fanya km umetoa sadaka ya iddy 😜
 
Majina mawili ya mwisho yanafanana na dada wa sheria, utapata meku
 
Hiyo kesi ngumu,Sasa polisi utawaambiaje ?akisema mlikua mnadaiana,je?Kaushia tu hiyo maana kibao kinaweza kukugeukia sababu njia kwanza uliotimia kudai si sahihi ni udhalilishaji.ohoo utaumia tafuta nyingine tu
 
pole ila next time unahakiki jina kwanza mkuu,ikiwezekana unamuuliza muhudumu jina ndio hilo kisha unathibitisha kutoa mshiko.150k usawa huu ni pesa ndefu.
Mawakala wanajuaga kunakuaga usumbufu wa watu kama hawa,ukimuuliza NITAJIE NAMBA YA WAKALA,anakuuliza ya mtandao Gani,ukimjibu,anakwambia ANGALIA hiyo hapo,na huwa zimeandikwa na MAJINA kabisa.Yote hii ni wakala kukwepa maswali ya baada muamala kufanyika.
Watu wawe makini katika kufanya miamala.
 
Hiyo kesi ngumu,Sasa polisi utawaambiaje ?akisema mlikua mnadaiana,je?Kaushia tu hiyo maana kibao kinaweza kukugeukia sababu njia kwanza uliotimia kudai si sahihi ni udhalilishaji.ohoo utaumia tafuta nyingine tu
Mkuu ingekuwa ni ustarabu angerudisha wakati ule pesa ilipoingia katika simu yake. Au angepiga simu.
 
ingia humuhumu au search hapo juu vodacom wapo humu na nyuzi au au msaada wa haraka andika hii namba chat kwa njia ya Watsapp 0754 100 100
Hawa wameshindwa asee wamesema niwasiliane Na Tigo.

Lakin Tigo nao mambo Ni hayahaya ya kusubiri
 
SALAM MKUU.

Boss wa Lipa namba ya mtandao wa Vodacom 5757565 ARVINDER HAZARA CHANNA.

Tarehe 28 mwezi wa Jana yaani mwezi wa 3 ulipokea pesa kimakosa kutoka kwenye namba ya mtandao wa Tigo 0712**5408 Jina lilikuja ni Farida Hilary.

Nimetoa taarifa katika Mitandao yote Tigo na Vodacom lakini majibu ni usumbufu. Kwahiyo mkuu kiubinadamu naomba hiyo pesa shilingi LAKI MOJA NA ELFU ISHIRINI (120000).
Maana ya lipa number ukilipa hela kurudi ni ngumu mkuu ....lipa number iliwekwa kwa sababu zamani mtu anakuja shop ananunua kisha anasema analipa simu ....una mpa mzigo akifika mtaa wa pili anapiga simu huduma kwa wateja kuwa kakosea muamala hela inarudishwa....

Basi tulikuwa tunapata hasara sana akatokea mtu anaitwa selcom mwaka 2017 ndo akaanzisha lipa number ....baadae tigo na vodacom wakaona jamaa anapiga hela sana kupitia maswala hayo ..lipa number ikawa inampa nguvu mfanyabiashra kuliko mteja hela ikitumwa ......while ukituma kawaida mteja ndo ananguvu ya kurudisha hela.....

Vodacom na tigo rasmi nao wakafungua huduma ya lipa number tena walianza kufanyia figisu selcom hasa vodacom alimsumbua sana selcom ili achukue soko lake
 
Back
Top Bottom