Moisemusajiografii
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 43,960
- 77,533
Yupo na amepata ujumbe.Tulia.Ndio mkuu,
Kiufupi baada ya kukosa misaada huko kwenye ufisi zao ikabidi nije humu chimbo.
Maana najua humu atachimbuka tu maana yupo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yupo na amepata ujumbe.Tulia.Ndio mkuu,
Kiufupi baada ya kukosa misaada huko kwenye ufisi zao ikabidi nije humu chimbo.
Maana najua humu atachimbuka tu maana yupo.
Mimi nimemtumia dakika zisizo zidi kumiulichukua muda gani kutoa tarifa
Kuweni makiniMkuu
Naomba mrejesho Mimi pia yamenikuta jumatatu wamesema nisubir masaa 72 ya kazi yanaisha muda so mref
Aisee sijui Kama ntarudishiwa hiyo pesa..Kuweni makini
ItarejeshwaAisee sijui Kama ntarudishiwa hiyo pesa..
150k umeitoa wapi?pole ila next time unahakiki jina kwanza mkuu,ikiwezekana unamuuliza muhudumu jina ndio hilo kisha unathibitisha kutoa mshiko.150k usawa huu ni pesa ndefu.
Ntawapa mrejesho humu jukwaani ngoja tuone...Itarejeshwa
ame edit.150k umeitoa wapi?
Hivi ukituma kwa lipa namba ukajihudumia ili urudishe muamala haikubali???? Duhh!
Haikubali Mimi nimepoteza 43,350/=Hivi ukituma kwa lipa namba ukajihudumia ili urudishe muamala haikubali???? Duhh!
Pole yake asee mia ishirini sio ndogo kihivo
Hii pesa hautaipata kamweee samehee tu..ungeipata kama ungetoa lipa voda kwa voda ila ikiwa mtandao tofauti utapigishwa sarakasi hapo mpaka utakata tamaa.nafanya hii huduma watu wengi naona inakula kwaoPoa ndugu nikipata pesa yangu nitaleta mrejesho hapa jukwaani.
Mimi mwenyewe nimepigwa sarakasi hapa nimekubali pesa imepotea hawana msaada 😠😠😡😡Hii pesa hautaipata kamweee samehee tu..ungeipata kama ungetoa lipa voda kwa voda ila ikiwa mtandao tofauti utapigishwa sarakasi hapo mpaka utakata tamaa.nafanya hii huduma watu wengi naona inakula kwao