Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kukosea kupo tu mkuuMaana ya lipa number ukilipa hela kurudi ni ngumu mkuu ....lipa number iliwekwa kwa sababu zamani mtu anakuja shop ananunua kisha anasema analipa simu ....una mpa mzigo akifika mtaa wa pili anapiga simu huduma kwa wateja kuwa kakosea muamala hela inarudishwa....
Basi tulikuwa tunapata hasara sana akatokea mtu anaitwa selcom mwaka 2017 ndo akaanzisha lipa number ....baadae tigo na vodacom wakaona jamaa anapiga hela sana kupitia maswala hayo ..lipa number ikawa inampa nguvu mfanyabiashra kuliko mteja hela ikitumwa ......while ukituma kawaida mteja ndo ananguvu ya kurudisha hela.....
Vodacom na tigo rasmi nao wakafungua huduma ya lipa number tena walianza kufanyia figisu selcom hasa vodacom alimsumbua sana selcom ili achukue soko lake
Mkuu hii ni 2024 wacha tuone.Sidhani kama pesa yako itarudishwa. Sept 17, 2023 nilikosea nikalipa 169,000 kwa lipa namba ya voda kutoka namba yangu ya Airtel, mpaka leo hii pesa haijarudi pamoja na juhudi zote za kuwapigia Airtel na kufika kwenye duka lao
wanarudisha ndugu hukuambiwa uweke alama za vidole kuzuia huo mumala ulipofika duka la airtelSidhani kama pesa yako itarudishwa. Sept 17, 2023 nilikosea nikalipa 169,000 kwa lipa namba ya voda kutoka namba yangu ya Airtel, mpaka leo hii pesa haijarudi pamoja na juhudi zote za kuwapigia Airtel na kufika kwenye duka lao
Sio kila mtu anarogeka ingekuwa hivyo idadi ya watu ingepungua sanaIla wakuu, kuzaliwa kwenye familia ya kichawi ni raha sana Imagine mtoa mada angekuwa ameshamalizana na mdaiwa wake chap tuu
ulifika duka la airtelTangu siku ya Kwanza kukosea
ok ulifika duka la tigoMkuu hiyo ni battle ya Tigo na Voda
mnajuana sioNdio mkuu,
Kiufupi baada ya kukosa misaada huko kwenye ufisi zao ikabidi nije humu chimbo.
Maana najua humu atachimbuka tu maana yupo.
Mbona upo..!!Hayupo humu!
mambo hayaendi hivyo nduguHatujuani wala kufahamiana mkuu.
Lakini naamini yupo sababu huu ni mtandao pendwa sana kwa mtu ambaye anapenda kujifunza mambo mbalimbali pamoja na kupata ushauri.
Atakuwepo.. Jamii forum ni jukwaa pana.
kwani hapo ulipo na sumbawanga ni mbali?Sidhani kama pesa yako itarudishwa. Sept 17, 2023 nilikosea nikalipa 169,000 kwa lipa namba ya voda kutoka namba yangu ya Airtel, mpaka leo hii pesa haijarudi pamoja na juhudi zote za kuwapigia Airtel na kufika kwenye duka lao
Huwezi kujua, kila bwana na Bwana wakeSio kila mtu anarogeka ingekuwa hivyo idadi ya watu ingepungua sana
Hakunaga mshindi kwenye vita hivyoHuwezi kujua, kila bwana na Bwana wake