abdulhamis
JF-Expert Member
- Aug 2, 2019
- 1,436
- 2,296
Mlianza miga Leo the hegue [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Jaji kaijage ajiandae kujibu mashitaka kwenye mahakama ya uhalifu kule The Hague
ukiona adui yako anafurahia au kukuacha ufanye jambo fulani ujue lina madhara kwako, polisi kumsindikiza lisu na kuruhusu mikusanyiko na kumuacha aihutubie wakati anatafuta wadhamini ni kielelezo tosha alianza kampeni kabla,
Maafa tanzania labda ya mafuriko ila sio nyie nyumbu wa ufipaKama mnaipenda nchi yenu tendeni haki kila mtangaza nia ya urais aruhusiwe kutangaza sera za chama chake ama sivyo / vinginevyo mnaweza kuzalisha maafa bila sababu!! Majuto ni mjukuu!
NEC: Idadi ya Wapiga Kura bara ni 22,751,292 na Zanzibar ni 503,193vyema ukajiuliza inawezekana vipi nchi yenye wananchi wanaokaribia 60m, iwe na wapiga kura 29m+ kwa mujibu wa NEC? Inawezekana vipi kila watanzania wawili mmoja awe amejiandikisha kupiga kura
Kwa Tanzania hii na hawa wadanganyika. Atakatwa halafu watanganyika watageuka na kuanza kuponda hutaamini mkuu.Kwa kuwa mahakama ipo chini yao tutaona itakavyo kuwa.... Nguvu ya umma labda Tz haipo...
Maafa tanzania labda ya mafuriko ila sio nyie nyumbu wa ufipa
Sent from my JKM-LX1 using JamiiForums mobile app
Umezipitia vizuri, sheria na kanuni hizo kweli kabla ya kuweka post yako hapa? Jibu kama ni ndiyo dadavua na kama jibu lako ni hapana subiri wadadavuzi wa sheria.8
Si tuanzie wale wa dodoma na matangazo kupitia television zoten
NEC: Idadi ya Wapiga Kura bara ni 22,751,292 na Zanzibar ni 503,193
RUCCIOct 13, 2015
Mkuu, kama 2015 wapiga Kura walikuwa zaidi ya milion 23, Iweje leo wasifike idadi hiyo mkuu
Kuna jambo linanitia shaka juu ya uelewa wa baadhi ya watanzania. Kanuni inasema nenda ukatafute wadhamini, halafu mtu huyu anapita na loud speakers kuitisha mikutano ya hadhara na kuhutubia as if yuko kwenye kampeni tena akimkashifu aliyeko madarakani.ukiona adui yako anafurahia au kukuacha ufanye jambo fulani ujue lina madhara kwako, polisi kumsindikiza lisu na kuruhusu mikusanyiko na kumuacha aihutubie wakati anatafuta wadhamini ni kielelezo tosha alianza kampeni kabla,
Na wewe utasema umeandika,yaani huu uandishi wa makorokocho peleka FBMbio za kuwania urais wa Tanzania kwa Tundu Lissu, huenda zikafikia ukingoni siku chache baada ya kukabidhi fomu zake Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC).
Lissu alipitishwa na chama chake, CHADEMA kugombea nafasi hiyo katika Uchaguzi wa mwaka huu, 2020 uliopangwa kufanyika Oktoba 28.
Read more > Urais 2020: Lissu kuwekewa vikwazo kimkakati - Imevuja!
Hakuna machafuko mkuu.Tume muwe makini msije tuletea machafuko Tundu lissu mpitisheni wakapambane uwanjani
acha kujidanganya wewe,
Wataalamu wa kukaa nyuma ya keyboard na kuandika, hata vile vitoto vinavyojiita eti Komando Yoso huwa vinawatetemesha hadi mnajifungia majumbaniKama wana taka nchi iwe kama Nali basi wajaribu..
We mshamba, kanuni zinakuwemo kwenye katiba?tupe tafsiri ya kikatiba
Yaani machadema mnachekesha sana!! Lissu kavunja sheria waziwazi halafu mnajenga defence ya mapema ili asiwekewe pingamizi?? Hell no, alipashwa kuheshimu sheria na kanuni za uchaguzi, sio kuropoka kama kasuku na kuanza kampeni kabla ya kipyenga cha tume, kwa hilo hata mseme nini wagombea wana haki ya kuweka pingamiziMbio za kuwania urais wa Tanzania kwa Tundu Lissu, huenda zikafikia ukingoni siku chache baada ya kukabidhi fomu zake Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC).
Lissu alipitishwa na chama chake, CHADEMA kugombea nafasi hiyo katika Uchaguzi wa mwaka huu, 2020 uliopangwa kufanyika Oktoba 28.
Read more > Urais 2020: Lissu kuwekewa vikwazo kimkakati - Imevuja!
Jaribu wewe uone sijui Nali ndio nchi gani!! hapa hutamwaga damu ya mtu wala nini, jaribu hata kumwaga mkojo hadharani uone kazi, c. h.i z weweKama wana taka nchi iwe kama Nali basi wajaribu..
Hayakusikia maneno ya Lema, aliwaambia mnarambishwa Chloroquine iliyopakwa sukari!! Lazima tume imkate tu! Kwani Lissu ni nani mpaka awe juu ya sheria??ukiona adui yako anafurahia au kukuacha ufanye jambo fulani ujue lina madhara kwako, polisi kumsindikiza lisu na kuruhusu mikusanyiko na kumuacha aihutubie wakati anatafuta wadhamini ni kielelezo tosha alianza kampeni kabla,
Jaribu tukakate mbupu, kima we!!Wewe zwazwa watu wakiamua hao mgambo watafanya nini