Elections 2010 Lisa M Rockerffeller urge Tanzanians to reject Kikwete a 2nd Term

Status
Not open for further replies.

- Kupigana kuna style za aina nyingi sana, kwenda UN kwa Mwalimu ilikuwa ni part ya kupigania uhuru.

William.
 

Wewe William, Rudi Ukabebe Boxi, unachamba nchi inayokulisha. Ngoja tukuitie homeland security
 


Lisa M Rockefeller President kikwete's henchmen have demostrated their stupidity by rejecting my critical opinion. Will send a request to State Department Tanzania Desk to block all foreign aid to this country and for aother NGO's to block funding. How dare his assistants to insult me? I love Tanzania and feel for the people, but not this corrupt regime
 
- Well people, naomba ku-retire now., kama mnaniruhusu maana naona hamna la zaidi au nitaruid baadye kama bado kuna maswali on my Great Thinking!

William.
 
- Well people, naomba ku-retire now., kama mnaniruhusu maana naona hamna la zaidi au nitaruid baadye kama bado kuna maswali on my Great Thinking!

William.
'Great thinking' yako imethibitishwa na nani? ni swali tu.
 

kumekucha sasa.
 

WOW! jambo limezua jambo!
 
- Siwezi kujadili hoja ya Mkoloni kunifundisha nani ananifaa kwua Rais wangu na hasa mkoloni ambaye ni proven mwizi huko kwao Ulaya.

William.


- Hapa ninajadili hoja ya Mzungu kuingil;ia mambo ya ndani ya taifa langu, ninasema hapana ajali mambo ya taifa lake kwanza ya taifa langu hayamuhusu!

William.

Mbona hueleweki?! You sound so dumb.
 

Sawa utekelezaji wa sheria unakuwa mgumu kama viongozi wenywe hawaziishi hizo sheria. Ndio maana huko ulaya akishikwa mtoto au ndugu wa cameron /PM ana drink drive anapewa maximum punishment. Lakini Kwetu maximum punishemnet ni kwa mtoto wa mkulima

Tatizo sioa sheria. tatizo ni viongozi wanatakiwa kuwa mfano hawaziishi sheria. Kuwa kiongozi ni advantage ya kuvunja sheria kwa viongozi wengi. Wenzetu mlipo huko ukiwa kiongozi wewe na ndugu na watoto mnaunamulikw na kila chombo cha sheria

Kwa hiyo mimi nakataa kuwa tatizo sio sheria. Labda useme tatizo ni viongozi kuziishi sheria

Nakuandikia PM wazo moja kwa maendeleo ya taifa letu labda kupitia communication channel unazojua linaweza kufanyiwa kazi
 
mie nimemuuliza swali rahisi tu kama anaona kikwete anafaa au hafai kutuongoza kaniambia nifungue thread ya swali hilo kwake lol.
Mkuu, wanasema mtu muongo na mnafiki hawezi kuficha yaliyo nafsini mwake..its the matter of time tu kabla hajaonesha sura yake kamili.
 
Huyo anayejifanya Lisa mbona kingereza chake kimechakachuliwa?
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…