Elections 2010 Lisa M Rockerffeller urge Tanzanians to reject Kikwete a 2nd Term

Elections 2010 Lisa M Rockerffeller urge Tanzanians to reject Kikwete a 2nd Term

Status
Not open for further replies.
Sasa Tulipigana au Tulienda kuomba? Kweli tunauwezo wakupigana na Mwingereza?
NA WALIKATAA KWASABABU WALIKUWA WANAONA BADO HATUNA UWEZO JUKUMU AMBALO WALIPEWA WALISIMAMIE NDIO MAANA PAMOJA NA UHURU BADO WALIENDELEA KUWEPO KUTUSAIDIA KUONGOZA NA IKAPELEKEA KUWA NA VIONGOZI VIJANA, MAFANO SALMIN A. SALIM, HII NI KWA SABABU TULIKUWA BADO! ILA KIHEREHERE CHETU!!!!!

- Kupigana kuna style za aina nyingi sana, kwenda UN kwa Mwalimu ilikuwa ni part ya kupigania uhuru.

William.
 
- Ninachosema mimi ni kwamba seria nzima ilisababishwa na Monopoly za Standard Oil, hasa walipoanza bishara za ngano mpaka kwenye usafiri wa treni, ndio serikali ikaamua kuweka hiyo sheria simply kwa sababu ya Standard Oil, sasa sina uhakika na unachosema hapa unasema nini bro?

William.

Wewe William, Rudi Ukabebe Boxi, unachamba nchi inayokulisha. Ngoja tukuitie homeland security
 


Lisa M Rockefeller President kikwete's henchmen have demostrated their stupidity by rejecting my critical opinion. Will send a request to State Department Tanzania Desk to block all foreign aid to this country and for aother NGO's to block funding. How dare his assistants to insult me? I love Tanzania and feel for the people, but not this corrupt regime
 
- Well people, naomba ku-retire now., kama mnaniruhusu maana naona hamna la zaidi au nitaruid baadye kama bado kuna maswali on my Great Thinking!

William.
 
- Well people, naomba ku-retire now., kama mnaniruhusu maana naona hamna la zaidi au nitaruid baadye kama bado kuna maswali on my Great Thinking!

William.
'Great thinking' yako imethibitishwa na nani? ni swali tu.
 


Lisa M Rockefeller President kikwete's henchmen have demostrated their stupidity by rejecting my critical opinion. Will send a request to State Department Tanzania Desk to block all foreign aid to this country and for aother NGO's to block funding. How dare his assistants to insult me? I love Tanzania and feel for the people, but not this corrupt regime

kumekucha sasa.
 


Lisa M Rockefeller President kikwete's henchmen have demostrated their stupidity by rejecting my critical opinion. Will send a request to State Department Tanzania Desk to block all foreign aid to this country and for another NGO's to block funding. How dare his assistants to insult me? I love Tanzania and feel for the people, but not this corrupt regime

WOW! jambo limezua jambo!
 
- Siwezi kujadili hoja ya Mkoloni kunifundisha nani ananifaa kwua Rais wangu na hasa mkoloni ambaye ni proven mwizi huko kwao Ulaya.

William.


- Hapa ninajadili hoja ya Mzungu kuingil;ia mambo ya ndani ya taifa langu, ninasema hapana ajali mambo ya taifa lake kwanza ya taifa langu hayamuhusu!

William.

Mbona hueleweki?! You sound so dumb.
 
- Well mtizamo wangu ni kwamba mambo ya vyama vya siasa of nani anafaa kugombea na nani hafai hayahusu taifa, as long wanatimiza mujibu wa katiba zao, tatizo la taifa letu ni kutoheshimu sheria na hili ni kwa wote kuanzia wananchi mpaka viongozi wetu na ni toka tupate uhuru tumekuwa hivi, only respect kwa the rule of law ndio itatutoa kwenye matatizo tuliyomo kwa maoni yangu, na hii it has nothing to do na viongozi, maana taifa letu ni bigger than hawa viongozi wa kupita.

William.

Sawa utekelezaji wa sheria unakuwa mgumu kama viongozi wenywe hawaziishi hizo sheria. Ndio maana huko ulaya akishikwa mtoto au ndugu wa cameron /PM ana drink drive anapewa maximum punishment. Lakini Kwetu maximum punishemnet ni kwa mtoto wa mkulima

Tatizo sioa sheria. tatizo ni viongozi wanatakiwa kuwa mfano hawaziishi sheria. Kuwa kiongozi ni advantage ya kuvunja sheria kwa viongozi wengi. Wenzetu mlipo huko ukiwa kiongozi wewe na ndugu na watoto mnaunamulikw na kila chombo cha sheria

Kwa hiyo mimi nakataa kuwa tatizo sio sheria. Labda useme tatizo ni viongozi kuziishi sheria

Nakuandikia PM wazo moja kwa maendeleo ya taifa letu labda kupitia communication channel unazojua linaweza kufanyiwa kazi
 
mie nimemuuliza swali rahisi tu kama anaona kikwete anafaa au hafai kutuongoza kaniambia nifungue thread ya swali hilo kwake lol.
Mkuu, wanasema mtu muongo na mnafiki hawezi kuficha yaliyo nafsini mwake..its the matter of time tu kabla hajaonesha sura yake kamili.
 
Huyo anayejifanya Lisa mbona kingereza chake kimechakachuliwa?
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom