Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
W. J Malecela, there are two things. There is "what is said" and "who said it" (i.e. the speaker). If "what is said" can stand on its own merit then you need to consider "what is said" regardless of the speaker. The statement, "Murdering is bad", is true even if it was uttered by Satan himself. In my opinion what was said by Ms. Rockerfeller is true and stands on its own merit. "Who she is" has no bearing on whether "what she said" is true or not! Furthermore, all human beings are entitled to have an opinion about any subject and they should be able to express that opinion freely.
Haka ka point kako ka "...ajali mambo ya uongozi wa taifa lake..." kana maana gani? Are you trying to say that it is impossible for her to have an opinion about CCM and the election in Harlem at the same time? Naomba ufafanuzi. Akikujibu kuwa she was also against the election of the so called corrupt leader in Harlem utajibu nini? You need to seriously examine cerezo's advice to you. I recommend you read books about ancient Greek philosophers.
Wazungu hao hao ndio wanasupport govt ya baba yako miaka na miaka.
Najua unaenjoy matunda ya Uhuru na dada yako pia huko state,naomba umwambie arudi kutibu macho wagogo huko mvumi,maana taxpayers wa Tanzania waligharamikia elimu zenu.
You are real stupid,kumpinga huyo Lisa,eti kwa kuwa ni mzungu.
Najua nyie watoto wa elites wa CCM,mtatetea status quo mpaka kufa,lakini wananchi wanaanza kuelewa what is going on.
Najua unaenjoy matunda ya ufisadi wa CCM,hata msanii wetu akiwa hapo DC,naona huwa mnajumuika pamoja watoto wa status quo.
Umefikia wapi kuanzisha tawi la CCM hapo DC na aliyekuwa balozi wa CCM London,Maajar?
Mkuu mbona unaji-contradict mwenyewe. Unasema wazungu watuachie mambo yetu wenyewe, vema na kweli. Lakini fahamu kuwa huyo Rais wako unayemtetea hapa, kila siku anakimbia kwenda kwa hao hao wazugu unaowapinga hapa--kuwabusu miguu ili walisaidie taifa letu. Hivi unajua kuwa sehemu kubwa ya bajeti ya taifa leu inategemea misaada ya hao wazungu unaowaita wakoloni? Ni kwa kigezo gani basi useme,"mzungu Lisa, tuachie mambo ya taifa letu," lakini hutoi tamko kama hilo kwa wazungu wengine kama Paul Wolfowitz na Robert Zoellick? Na kuhusu tuhuma zako za Harlem, I think hukumuelewa Lisa vizuri kuhusu alichokuwa anakiongelea/zungumzia. Point aliyokuwa ana-make ni kwamba Rais Kikwete ana uwezo duni wa kupambanua mambo; hivyo hafai kuiongoza nchi kama Tanzania yenye wasomi lukuki wenye wepesi wa kutambua/chambua mambo ya kidunia. And you can't just equate member of congress wa huko Harlem na Rais wa nchi. Rais wa nchi ana madaraka makubwa mno (especially kwa nchi kama Tanzania). Plus, huyo Charles Rangel wa Harlem unayemtaja hapa, hakuiba pesa ya mtu ikilinganishwa na ilivyo kwa hawa mafisadi wa CCM walioiba mabilioni ya shillings za walalahoi. Rangel kwa upande mwingine, anashitakiwa kwa kukiuka kanuni za House pamoja na kushindwa kuripoti income ya nyumba yake ya vacation iliyoko huko Dominican Republic. In fact, inasadikiwa kuwa mengi ya mashitaka hayo hayana ushahidi wa kutosha. So please acha kudanganya watu.
Ikiwa wewe ni omba omba, mtu amekusaidia several times na kila siku anakukuta bado uko pale Jangwani unaendelea kuomba, jioni unakunywa pombe na kustarehe kama tajiri.Kwanini asiamue kuingilia uhuru wako na kukurudisha kwenu.
Mfano mzuri wa hili ni yule Matonya, kwanini Makamba aliamua kumrudisha Dodoma.
Lisa ana kila haki ya kushauri kwani kamsaidia sana Matonya na haoni kwamba kuna nafuu na usiku Matonya anatesa na bado yuko Dar watoto wako Dodoma na hali ngumu. Kama tuliona Makamba alifanya sawa kwa Matonya iweje leo William ulalamike kwa Lisa?
Au kwa sababu Mzungu? Je mlikataa msaada wake kwakuwa yeye Mzungu au Mkoloni? Hamkujua hilo mwanzoni mlipopeleka bakuli?
W. J Malecela, there are two things. There is "what is said" and "who said it" (i.e. the speaker). If "what is said" can stand on its own merit then you need to consider "what is said" regardless of the speaker. The statement, "Murdering is bad", is true even if it was uttered by Satan himself. In my opinion what was said by Ms. Rockerfeller is true and stands on its own merit. "Who she is" has no bearing on whether "what she said" is true or not! Furthermore, all human beings are entitled to have an opinion about any subject and they should be able to express that opinion freely.
Haka ka point kako ka "...ajali mambo ya uongozi wa taifa lake..." kana maana gani? Are you trying to say that it is impossible for her to have an opinion about CCM and the election in Harlem at the same time? Naomba ufafanuzi. Akikujibu kuwa she was also against the election of the so called corrupt leader in Harlem utajibu nini? You need to seriously examine cerezo's advice to you. I recommend you read books about ancient Greek philosophers.
Haujacheka lolote, ukweli ni kwamba kama hautaki wazungu, rudi kwenu Tanzania. Hacha kung'ang'ania nchi yao!
Waluachie uongozi gani, wakati kila siku Tanzania (Kikwete) anaongoza wenye njaa kuja kuomba hela? Kwa hiyo wao wanufaishe famili ya makamba, Malecela na Kikwete wakati wanadnganywa kwamba hela ni kwa ajili ya maendeleo ya watanzania wote?
Hata mimi nitasema ninapotoa hela na zisitumike vinavyostahili. Kwa hiyo William mimi nashuku sana, your mental stability, seriously. You have some issues and needs to see psychiatrist
Malechela Malechela unasema Lisa atuachie ya watanzania kwasabu unawapenda watanzania au kwasabu comments zake zinatishia kitumbua cha familia yako?
Watu walioshindwa kutawala au uongozi husingizia ukoloni huku wanatembeza mabakuli kwa haohao wanaotaka tuamini ni wabaya. Wanafiki kwelikweli.
Alichokiongea Lisa tunakiongea hata watanzania hapa hvo coni cha ajabu. Anyway what Lisa dozn know is that this a a continent of dead brains n morals.
Mr. Malecela, after reading your comments in their entirety I'm left dumbfounded! You don't make sense at all. Jesus Christ man! Are you really serious? I'm curious to know about your level of education and where you were educated. I'm concerned here because kama wewe ni akina Malecela and with the way things are going on in Tanzania with wazee wa CCM kurithisha watoto wao si ajabu ukaja kutuongoza. Hilo litakuwa ni janga kwetu kama upeo wako wa kufikiri ndio huo. Ninaomba ujibu my earlier post hapo juu. I'm interested in your opinion about my "what is said" vs "who said it" argument. Ahsante
- Mkuu pole sana again sijawahi kusikia mtu mwenye akili sana kama wewe na mwenye elimu kubwa sana kama wewe akihangaika sana kumjibu mtu mwenye akili na elimu ndogo sana kama mimi ha! ha! ha! ha! it does not make a sense hata kidogo, labda in the future utafute mijadala ya wenye akili na elimu kubwa sana kama yako ha! ha! ha na hii imenichekesha sana ha! ha!.
William.
Mtu umeoa bado unakaa kwenye nyumba ya baba yako, baba yako ndiye anayekununulia chakula, nakukupa posho, anakununulia wewe, mkeo na watoto wako nguo, anawasomesha watoto wako, anakulipia umeme na maji na akiugua yeyote katika familia yako, yeye ndiye anayelipa. Wewe na mkeo hamfanyi kazi bali mnajisifia kuwa mzee wenu tajiri. Hivi siku baba akikuambia kuwa uache kulewa ovyo, usiwachape bila sababu watoto wako na usimpige mkeo utatanua kifua na kumwambia kuwa asikuiingilie katika himaya yako? Himaya gani hiyo!
Sisi tunapitisha kibakuli hata kuomba vyandarua, madawati, kuchimbiwa vyoo na visima n.k. Sisi tunapigiwa muziki ili hao mnaowaita wakoloni watusamehe madeni ambayo kweli tulikopa na tumeshindwa kurudisha ( ati.. we will pay them!)! Leo, miaka 50 baada ya uhuru, sehemu kubwa ya bajeti yetu wanaibeba hao tunaowaita wakoloni! Sasa hizo responsibility mnazojivunia ziko wapi? Mtu ambae ni responsible hata siku moja hataki kuwa tegemezi maana anajua athari zake. Utasemaje unapoenda kuomba misaada ( na sio mikopo) ati si kwa sababu mnataka kuwa watumwa! Mngejua hivyo basi mngehakikisha mnajitegemea na mnaweka mazingira ambayo wenyewe watawabembeleza kuwekeza. Hapo watawaheshimu. Hakuna mtu anayemheshimu mtembeza kibakuli! Tukubali makosa yetu na tujifunze kutokana nao. Tusipofanya hivyo tutabaki watu wakuonewa huruma na kudharauliwa.
Amandla.....
I strongly doubt that Lisa M Rockefeller is directly affiliated with the Rockefeller family. The Rockefeller's have more important things to do than to debate CCM's past, present, and future failures via Facebook.
- Hao wazungu wangetuachia mambo yetu ya ndani tutayaamua wenyewe, wao wazungu mabaya waliyotufanyia Africa sio madogo eti, huyu mdada anasahau kwamba ni wizi wa familia yake kwa taifa lake ndio uliopelekea kuanzishwa kwa sheria ya Standard Act, ili kuzuia monopoly za wizi wa familia yake kwa wananchi wa US, sasa kama yeye ni mkweli angeanza kuwarudishia serikali ya US na wananchi wake hela walizoiba huko mpaka kuanzishiwa sheria.
- Africa bwana tunakuaga so desparate na ushindi wa uongozi kwamba hata huwa hatuulizi maswali magumu, halafu baadaye ndio tutakuja kuanza kutafutana uchawi, huyu dada hana moral authority yoyote ya kutufundisha wa-Tanzania kuhusu uzuri na ubaya wa viongozi wetu, kwa sababu tunayajua vizuri matatizo yetu, yeye na familia yake warudishe zile hela zote walizowabia wananchi wenzao huko US through biashara zao za mafuta na ngano!
Ahsanteni.
William.