Usimfokee hivyo mwenzio!Wapuuzi kama wewe ndo mnaamini hata kupora KOROSHO yalikuwa maamuzi halali
Hata kuita watengeneza ndege ikulu na kuagiza anazozitaka yy bila kufuata sheria za manunuzi wala kujua kapata % ngapi ni shujaa
Hata kuuza nyumba za umma kwa mahawala zake nao ni mzalendo?
Kutoongeza mishahara kwa watumishi wa umma ambayo ni takwa la kisheria huku alipata huku na huko akiwadhalilisha watumishi nao ni shujaa?
Punguani
Kwahiyo watu wakipata pesa,ndio mnawaongezea gharama ya vitu bila kuongeza ubora na ujazo?Sasa HIVI watu wana pesa kuliko zamani ulitaka bei zibaki hivyo hivyo?
Dah kwa akili hizi unawezaje kuishi hadi umri huu hujagongwa hata na toroli ujifie?Sasa HIVI watu wana pesa kuliko zamani ulitaka bei zibaki hivyo hivyo?
NdO matumizi ya pesa kwani shida iko wapi?CCM mbona mnanadi mgombea wenu kwa gharama kubwa sana? Kila nguzo ya umeme mijini ina bango lake wakati miaka yote mitano alikuwa akifanyia kazi zake kwenye runinga.
Meko anayejulikana mbona kajaza wasanii, hujamshauri kuwa watu wanakuja kuangalia tu wasanii?Wengi hawamjui watakuja kushangaa helicopter yeye kule anahutubia watu waniangalia helikopta
Usiwe mvivu wa kufuatilia hotuba za Lissu. Amesema serikali yake itatibu majeraha yote yaliyosababishwa na serikali ya awamu ya tano kwa kuwalipa fidia waathirika wote.Nimekusikia lakini kurayangu bado Hewani hatayeye lisu zijamsikia akisema chochote kwenye huu ubabe tuliofanyiwa wavuvi anaturudishaje kimaisha
Na wasioamini ni wapuuzi mnaoishi kwa shemeji kama weweWanaoamini kwamba atashinda urais ni wanachadema wa mitandaoni tu.
Mtaendelea kuomba michango kwa wananchi?
Kwel aseeeeR.i.P Deo Filikunjombe...[emoji25]
Sifa yao kubwa hawana akili, ndio maana anakushangaa.Kwani ukiwa ccm utakiwi kusema ukweli?
Malemo, kama upo karibu na chadema washauri Mbowe, Na mgombea mwenza nao wafanye kampeni tofauti. Angalieni ccm walivyosambaa. Kumbukeni mnashindana kufikisha ujumbe ili mkubalike. Wote watatu wasikae kwenye mkutano mmoja.Tundu Antipas Lissu, Mgombea Urais kupitia CHADEMA anayeaminiwa na wengi kushinda Urais mwaka huu leo anaanza rasmi kuruka angani kwa kutumia Chopa maalum.
Baada ya mapumziko ya siku 2 mgombea huyo leo anatarajiwa kuingia mkoani Pwani kwa kishindo ambapo atafanya mikutano mikubwa ya kampeni katika miji ya Kibaha, Chalinze na Bagamoyo
Mara baada ya awamu ya kwanza kuzindua kampeni kwenye kanda zote 10 kwa Sasa lengo kubwa ni kufanya mikutano mingi ya kukutana na wananchi kwa kila mkoa na kila Jimbo la uchaguzi.
#Niyeye2020
Mkuu, Lissu ana pesa ya kutosha hata bila michango, tatizo tunafanyiwa kiini macho!Ameshapata mchango kumbe
Nitajitahidi kusikiliza sasa hapa ndio tutaona tunataka maendeleo au shuka yakijani ambayo haisomemeshi hata mtoto wangu mmoja naomba wanielewe mm ni ccm lakini lisu kajakuwa tumaini jipya kwanguUsiwe mvivu wa kufuatilia hotuba za Lissu. Amesema serikali yake itatibu majeraha yote yaliyosababishwa na serikali ya awamu ya tano kwa kuwalipa fidia waathirika wote.
Wafanyakazi waliofukuzwa kazi kwa madai ya vyeti feki, waliovunjiwa nyumba zao bila fidia, wakulima walioporwa mazao yao, kama korosho kule Mtwara, Wafugaji walionyang'anywa mifugo yao, na wavuvi walioporwa vifaa vyao vya uvuvi wote watapata fidia.
Fuatilia hotuba zake utasikia mengi mazuri.
thubutuuu.Magufuli nae ataiga
Piga magoti na muulize Mungu wako, jee baba Muumba hivi Mimi uliniumba kichwani na ubongo au kitu gani? Mbona Niko tofauti na binadamu wengine? Au mie ngedere kwenye umbo la mtu?Matumizi Mabaya ya pesa. KUTOKA DAR HADI KIBAHA KWA GARI NI MWENDO WA DAKIKA 40 MTU ANATUMIA HELKOPTA USHAMBA.
Mtatumia mpaka maparachuti lakini hamtatoboa.Safi, Stratergy iwe ni kwenye miji midogo midogo, na vitongoji vyake huko ndo kuna kura.
Magufuli anatumia usafiri wa barabara hivyo basi anafanikiwa kuongea na watu wengi njiani
Mkuu, kwani walivyoomba si walisema wazi ni kwa ajili ya kusapoti kampeni au hapo unaona wamehongea?Umemuona Magu anatembeza bakuli?
Ninaye mhurumia mie ni mama Jeska maana kwa kushindwa kwake hilo gubu atakalo kumbana nalo toka kwa jamaa sio la ulimwengu huu.Lissu ndo Raisi mtarajiwa wa Tanzania ambaye anabeba maono ya kuivusha Tanzania. Jiwe anaweza kuwa ndo Raisi kwanza kuongoza kwa miaka mitano ajiandae kurudi kijijini kwake Chato huko alipojenga hekalu madikteta wengi wakipata madaraka huwa vitisho vingi sana kama ambavyo Jiwe anavyo tarehe 28-09-2020 tutamrudisha chato hii nchi si mali ya kikundi cha wahuni