Kiongozi anafanya Mikutano minne kwa siku moja,,, anaanzia Bagamayo, kisha Kibaha mjini, Mlandizi na Chalinze,,,kwa Gari hawezi kumaliza mikutano yote hiyo, kwa sababu ya foleni na umbali wa hivyo vituo,,, tunaomba sana ushirikiano wako kiongozi wangu,,,kwa pamoja tuikomboe nchi yetu,,,Madhila tuliyopitia yametosha.Matumizi Mabaya ya pesa. KUTOKA DAR HADI KIBAHA KWA GARI NI MWENDO WA DAKIKA 40 MTU ANATUMIA HELKOPTA USHAMBA.