Lissu abanwa vikali na Mwana CHADEMA kuhusu tuhuma za rushwa ndani ya chama

Lissu abanwa vikali na Mwana CHADEMA kuhusu tuhuma za rushwa ndani ya chama

Missile of the Nation

JF-Expert Member
Joined
May 24, 2018
Posts
15,101
Reaction score
56,054
Katika mjadala uliofanyika katika mtandao wa clubhouse, Lissu alipata fursa ya kuongea na watanzania juu ya mambo mbalimbali ya kisiasa ya ndani ya chama chake na nje ya chama chake.

Kijana aitwaye Lumola ambaye alikuwa ni mgombea ubunge mwaka 2020 alimuuliza Lissu swali zito ambalo Lissu alilijibu kijuu juu tu huku akikacha kujibu jingine.
Lissu aliulizwa kuwa:

1. Kwa mujibu wa katiba ya chama, mamlaka ya nidhamu yako chini ya makamu mwenyekiti ambaye ndiye yeye huyohuyo Lissu kwa sasa, yeye alitumiaje fursa hiyo ya kikatiba na nguvu hizo za kikatiba kuwashughulikia wale wote ambao amewatuhumu kupokea rushwa za Abduli?

2. Pili aliulizwa kuwa kwa mujibu wa miongozo ya CHADEMA ni marufuku kwa mtu yoyote kutuhumu wenzie rushwa bila ushahidi, akaulizwa kama ushahidi anao kwa nini hajaufanyia kazi kama mnadhimu kwa mujibu wa katiba?

3. Akaulizwa kuwa kuna mtu ndani ya chama alifanya uharibifu wa mali za chama, na yeye kama kiongozi mwenye wajibu wa unadhimu amefanya nini kwa mujibu wa katiba ya CHADEMA kumshughulikia?

MAJIBU YA LISSU
Lissu akajibu kuwa kwa mujibu wa katiba ya chama lazima malalamiko ya maadili ya viongozi yapelekwe kwenye kamati ya maadili na katibu mkuu ndo katibu mkuu apeleke mashitaka kwa kamati ya maadli (ambayo kwa sasa Lissu ndiye mwenyekiti wa kamati hiyo).

Hata hivyo hili jibu lake lina mawenge maana yeye NDIYE ALIYETUHUMU WENZIE. Je alishitaki rasmi kwenye nggzi husika za chama ili katibu mkuu aagize uchunguzi wa tuhuma hizo?. Lissu anapaswa kuueleza umma kuwa yeye ambaye ametoa tuhuma in public kafanya jitihada gani ndani ya chama ili hao anaowatuhumu wachukuliwe hatua na kamati ya maadili?

Swali na jibu alilotoa Lissu unaweza kulisikia hapa:


View: https://www.youtube.com/watch?v=qFRhlGlAzEw
 
Katika mjadala uliofanyika katika mtandao wa clubhouse, Lissu alipata fursa ya kuongea na watanzania juu ya mambo mbalimbali ya kisiasa ya ndani ya chama chake na nje ya chama chake.

Kijana aitwaye Lumola ambaye alikuwa ni mgombea ubunge mwaka 2020 alimuuliza Lissu swali zito ambalo Lissu alilijibu kijuu juu tu huku akikacha kujibu jingine.
Lissu aliulizwa kuwa:

1. Kwa mujibu wa katiba ya chama, mamlaka ya nidhamu yako chini ya makamu mwenyekiti ambaye ndiye yeye huyohuyo Lissu kwa sasa, yeye alitumiaje fursa hiyo ya kikatiba na nguvu hizo za kikatiba kuwashughulikia wale wote ambao amewatuhumu kupokea rushwa za Abduli?

2. Pili aliulizwa kuwa kwa mujibu wa miongozo ya CHADEMA ni marufuku kwa mtu yoyote kutuhumu wenzie rushwa bila ushahidi, akaulizwa kama ushahidi anao kwa nini?

3. Akaulizwa kuwa kuna mtu ndani ya chama alifanya uharibifu wa mali za chama, na yeye kama kiongozi mwenye wajibu wa unadhimu amefanya nini kwa mujibu wa katiba ya CHADEMA kumshughulikia?

MAJIBU YA LISSU
Lissu akajibu kuwa kwa mujibu wa katiba ya chama lazima malalamiko ya maadili ya viongozi yapelekwe kwenye kamati ya maadili na katibu mkuu ndo katibu mkuu apeleke mashitaka kwa kamati ya maadli (ambayo kwa sasa Lissu ndiye mwenyekiti wa kamati hiyo).

Hata hivyo hili jibu lake lina mawenge maana yeye NDIYE ALIYETUHUMU WENZIE. Je alishitaki rasmi kwenye nggzi husika za chama ili katibu mkuu aagize uchunguzi wa tuhuma hizo?. Lissu anapaswa kuueleza umma kuwa yeye ambaye ametoa tuhuma in public kafanya jitihada gani ndani ya chama ili hao anaowatuhumu wachukuliwe hatua na kamati ya maadili?

Swali na jibu alilotoa Lissu unaweza kulisikia hapa:
CHADEMA na CCM huwenda ni kitu kimoja kwa siku hizi

Kwa nini video ya mahojiano haya mmeiondoa ghafla ilihali mimi mwanachama kinda kindaki wa Chadema nikijaribu kuisikiliza?

Nastukua tu imekata wakati ninabando la kutosha, kumbe mmeinyofoa

Mnamaanisha sasa Lissu ameyatimba kwa kushindwa kweli kujibu maswali ya kijana Lumola?
 
Lissu hawezi kupeleka malalamiko kutokana na namna alivyozipata hizo taarifa.

Kuna baadhi ya taarifa ukitaka kuzithibitisha basi lazima u expose mbinu na watu wanaotumika kuzinyaka hizo taarifa jambo ambalo halikubaliki kwenye ile tasnia ile.

Ndio maana hata baadhi ya kesi serikali haipeleki mahakamani, mnamalizana huko gizani. Ikienda mahakamani basi lazima wakusanya taarifa na mbinu wanazotumia wajulikane.

Sasa kwanini Lissu anasema hayo hadharani?? Jibu ni rahisi kabisa, kuna mtu/ watu wanachokonolewa, na salama yao ni wabaki wametulia tulii.
 
Lissu hawezi kupeleka malalamiko kutokana na namna alivyozipata hizo taarifa.

Kuna baadhi ya taarifa ukitaka kuzithibitisha basi lazima u expose methods & personnel jambo ambalo halikubaliki kwenye ile tasnia ile.
Kwa majibu haya, kwa hiyo ni bora avunje katiba ya CHADEMA sasa!

Maana kwa mjibu wa Katiba ilimpasa Mh Lissu apeleke tuhuma hizo kwenye ofsi husika za viongozi CHADEMA kwa uwajibishwaji!
 
Kwa majibu haya, kwa hiyo ni bora avunje katiba ya CHADEMA sasa!

Maana kwa mjibu wa Katiba ilimpasa Mh Lissu apeleke tuhuma hizo kwenye ofsi husika za viongozi CHADEMA kwa uwajibishwaji!
Kifupi Lisu msanii tu kutwa anahangaika kujijenga at the expense ya wenzie kuwaumiza

Ni mwenyekiti wa kamati ya.maadili asiye na maadili ya kuzingatia katiba ya Chadema

Lisu ni pasua kichwa kwa chadema ni kama hazimo kichwani hivi
 
Katika mjadala uliofanyika katika mtandao wa clubhouse, Lissu alipata fursa ya kuongea na watanzania juu ya mambo mbalimbali ya kisiasa ya ndani ya chama chake na nje ya chama chake.

Kijana aitwaye Lumola ambaye alikuwa ni mgombea ubunge mwaka 2020 alimuuliza Lissu swali zito ambalo Lissu alilijibu kijuu juu tu huku akikacha kujibu jingine.
Lissu aliulizwa kuwa:

1. Kwa mujibu wa katiba ya chama, mamlaka ya nidhamu yako chini ya makamu mwenyekiti ambaye ndiye yeye huyohuyo Lissu kwa sasa, yeye alitumiaje fursa hiyo ya kikatiba na nguvu hizo za kikatiba kuwashughulikia wale wote ambao amewatuhumu kupokea rushwa za Abduli?

2. Pili aliulizwa kuwa kwa mujibu wa miongozo ya CHADEMA ni marufuku kwa mtu yoyote kutuhumu wenzie rushwa bila ushahidi, akaulizwa kama ushahidi anao kwa nini?

3. Akaulizwa kuwa kuna mtu ndani ya chama alifanya uharibifu wa mali za chama, na yeye kama kiongozi mwenye wajibu wa unadhimu amefanya nini kwa mujibu wa katiba ya CHADEMA kumshughulikia?

MAJIBU YA LISSU
Lissu akajibu kuwa kwa mujibu wa katiba ya chama lazima malalamiko ya maadili ya viongozi yapelekwe kwenye kamati ya maadili na katibu mkuu ndo katibu mkuu apeleke mashitaka kwa kamati ya maadli (ambayo kwa sasa Lissu ndiye mwenyekiti wa kamati hiyo).

Hata hivyo hili jibu lake lina mawenge maana yeye NDIYE ALIYETUHUMU WENZIE. Je alishitaki rasmi kwenye nggzi husika za chama ili katibu mkuu aagize uchunguzi wa tuhuma hizo?. Lissu anapaswa kuueleza umma kuwa yeye ambaye ametoa tuhuma in public kafanya jitihada gani ndani ya chama ili hao anaowatuhumu wachukuliwe hatua na kamati ya maadili?

Swali na jibu alilotoa Lissu unaweza kulisikia hapa:
Maswali mazuri yaliyoenda shule na kufanyiwa research kabla kuuliza

Muulizaji ana akili nyingi kuliko waandishi wengi wa habari kauliza vizuri na straight
Lisu kachemka kujibu
 
Katika mjadala uliofanyika katika mtandao wa clubhouse, Lissu alipata fursa ya kuongea na watanzania juu ya mambo mbalimbali ya kisiasa ya ndani ya chama chake na nje ya chama chake.

Kijana aitwaye Lumola ambaye alikuwa ni mgombea ubunge mwaka 2020 alimuuliza Lissu swali zito ambalo Lissu alilijibu kijuu juu tu huku akikacha kujibu jingine.
Lissu aliulizwa kuwa:

1. Kwa mujibu wa katiba ya chama, mamlaka ya nidhamu yako chini ya makamu mwenyekiti ambaye ndiye yeye huyohuyo Lissu kwa sasa, yeye alitumiaje fursa hiyo ya kikatiba na nguvu hizo za kikatiba kuwashughulikia wale wote ambao amewatuhumu kupokea rushwa za Abduli?

2. Pili aliulizwa kuwa kwa mujibu wa miongozo ya CHADEMA ni marufuku kwa mtu yoyote kutuhumu wenzie rushwa bila ushahidi, akaulizwa kama ushahidi anao kwa nini?

3. Akaulizwa kuwa kuna mtu ndani ya chama alifanya uharibifu wa mali za chama, na yeye kama kiongozi mwenye wajibu wa unadhimu amefanya nini kwa mujibu wa katiba ya CHADEMA kumshughulikia?

MAJIBU YA LISSU
Lissu akajibu kuwa kwa mujibu wa katiba ya chama lazima malalamiko ya maadili ya viongozi yapelekwe kwenye kamati ya maadili na katibu mkuu ndo katibu mkuu apeleke mashitaka kwa kamati ya maadli (ambayo kwa sasa Lissu ndiye mwenyekiti wa kamati hiyo).

Hata hivyo hili jibu lake lina mawenge maana yeye NDIYE ALIYETUHUMU WENZIE. Je alishitaki rasmi kwenye nggzi husika za chama ili katibu mkuu aagize uchunguzi wa tuhuma hizo?. Lissu anapaswa kuueleza umma kuwa yeye ambaye ametoa tuhuma in public kafanya jitihada gani ndani ya chama ili hao anaowatuhumu wachukuliwe hatua na kamati ya maadili?

Swali na jibu alilotoa Lissu unaweza kulisikia hapa:
Si ungeachilia hiyo video au voice clip Ili tusikie wenyewe Ili tuweze kufanya judgement ya nini halisi kiliulizwa na nini yalikuwa majibu yake..
 
Katika mjadala uliofanyika katika mtandao wa clubhouse, Lissu alipata fursa ya kuongea na watanzania juu ya mambo mbalimbali ya kisiasa ya ndani ya chama chake na nje ya chama chake.

Kijana aitwaye Lumola ambaye alikuwa ni mgombea ubunge mwaka 2020 alimuuliza Lissu swali zito ambalo Lissu alilijibu kijuu juu tu huku akikacha kujibu jingine.
Lissu aliulizwa kuwa:

1. Kwa mujibu wa katiba ya chama, mamlaka ya nidhamu yako chini ya makamu mwenyekiti ambaye ndiye yeye huyohuyo Lissu kwa sasa, yeye alitumiaje fursa hiyo ya kikatiba na nguvu hizo za kikatiba kuwashughulikia wale wote ambao amewatuhumu kupokea rushwa za Abduli?

2. Pili aliulizwa kuwa kwa mujibu wa miongozo ya CHADEMA ni marufuku kwa mtu yoyote kutuhumu wenzie rushwa bila ushahidi, akaulizwa kama ushahidi anao kwa nini?

3. Akaulizwa kuwa kuna mtu ndani ya chama alifanya uharibifu wa mali za chama, na yeye kama kiongozi mwenye wajibu wa unadhimu amefanya nini kwa mujibu wa katiba ya CHADEMA kumshughulikia?

MAJIBU YA LISSU
Lissu akajibu kuwa kwa mujibu wa katiba ya chama lazima malalamiko ya maadili ya viongozi yapelekwe kwenye kamati ya maadili na katibu mkuu ndo katibu mkuu apeleke mashitaka kwa kamati ya maadli (ambayo kwa sasa Lissu ndiye mwenyekiti wa kamati hiyo).

Hata hivyo hili jibu lake lina mawenge maana yeye NDIYE ALIYETUHUMU WENZIE. Je alishitaki rasmi kwenye nggzi husika za chama ili katibu mkuu aagize uchunguzi wa tuhuma hizo?. Lissu anapaswa kuueleza umma kuwa yeye ambaye ametoa tuhuma in public kafanya jitihada gani ndani ya chama ili hao anaowatuhumu wachukuliwe hatua na kamati ya maadili?

Swali na jibu alilotoa Lissu unaweza kulisikia hapa:
lisu ni mjanja nje ya taaluma yake tu, Lakini ndani ya taaluma yake ni mwepesi kama karatasi tu 🐒

kama hapo kakamatwa padogo tu Lakini anababaika na visingizio viiingi anataka kutupa mzigo wake mwenyewe 🐒
 
lisu ni mjanja nje ya taaluma yake tu, Lakini ndani ya taaluma yake ni mwepesi kama karatasi tu 🐒

kama hapo kakamatwa padogo tu Lakini anababaika na visingizio viiingi anataka kutupa mzigo wake mwenyewe 🐒
CHADEMA wanatakiwa wamwite kwenye kamati ya maadili ya CHADEMA athibitishe hizo hoja zake kwa ushahidi akikataa aburuzwe mahakamani
 
Rushwa ni adui wa haki lakini Rushwa za kibongobongo inatakiwa tafakuri kuntu mfano kumshawishi Lisu ili aende chama tawala kwa nia ya kunyosha mambo inaweza ikajadiwa tofauti kwani akienda CCM attachable kufuata milengo ya kuhakikisha janja janja,wizi,ukiukwaji wa haki za raia ina kwisha?namna bora ya kumshinda adui ni kumfuata. Tatizo siyo CCM bali baadhi ya wana CCM wanaovaa koti la chama kuficha makucha yao.
Mimi Rushwa ninayoichukia ni ile inayopoka haki za watu au inayobadili ukweli kuwa uongo na kinyume chake.
Pokea hizo pesa kama ulizopokea kwa Kutoka kwa katibu wao na ufanyie yafuatayo:- 1.wape watoto yatima na useme pesa zimetoka wapi
2. Wafungwa wanashida kubwa wape pesa
3. Hosptali hakuna dawa nunua dawa peleka Hosptali za Serikali
5. Taasisi za Serikali nyeti zina magari mabovu hayafai kwa matumizi ya binadamu wanunulie magari nk.
Unapewa Kodi za wananchi unakataa badala ya kuwapelekea walengwa!
 
CHADEMA wanatakiwa wamwite kwenye kamati ya maadili ya CHADEMA athibitishe hizo hoja zake kwa ushahidi akikataa aburuzwe mahakamani
changamoto kubwa waliyonayo viongozi waandamizi Chadema ni kuogopana na kuvuziana nani amuanze mwenzake 🐒

ndio maana unakuta kiongozi mkubwa kama LISU anakuja kulalamikia mapungufu ya uongozi wa Chadema kwa wanainchi. sasa sijui ni kutafuta huruma au kuwachonganisha wengine kwa wanainchi?🐒
 
Katika mjadala uliofanyika katika mtandao wa clubhouse, Lissu alipata fursa ya kuongea na watanzania juu ya mambo mbalimbali ya kisiasa ya ndani ya chama chake na nje ya chama chake.

Kijana aitwaye Lumola ambaye alikuwa ni mgombea ubunge mwaka 2020 alimuuliza Lissu swali zito ambalo Lissu alilijibu kijuu juu tu huku akikacha kujibu jingine.
Lissu aliulizwa kuwa:

1. Kwa mujibu wa katiba ya chama, mamlaka ya nidhamu yako chini ya makamu mwenyekiti ambaye ndiye yeye huyohuyo Lissu kwa sasa, yeye alitumiaje fursa hiyo ya kikatiba na nguvu hizo za kikatiba kuwashughulikia wale wote ambao amewatuhumu kupokea rushwa za Abduli?

2. Pili aliulizwa kuwa kwa mujibu wa miongozo ya CHADEMA ni marufuku kwa mtu yoyote kutuhumu wenzie rushwa bila ushahidi, akaulizwa kama ushahidi anao kwa nini hajaufanyia kazi kama mnadhimu kwa mujibu wa katiba?

3. Akaulizwa kuwa kuna mtu ndani ya chama alifanya uharibifu wa mali za chama, na yeye kama kiongozi mwenye wajibu wa unadhimu amefanya nini kwa mujibu wa katiba ya CHADEMA kumshughulikia?

MAJIBU YA LISSU
Lissu akajibu kuwa kwa mujibu wa katiba ya chama lazima malalamiko ya maadili ya viongozi yapelekwe kwenye kamati ya maadili na katibu mkuu ndo katibu mkuu apeleke mashitaka kwa kamati ya maadli (ambayo kwa sasa Lissu ndiye mwenyekiti wa kamati hiyo).

Hata hivyo hili jibu lake lina mawenge maana yeye NDIYE ALIYETUHUMU WENZIE. Je alishitaki rasmi kwenye nggzi husika za chama ili katibu mkuu aagize uchunguzi wa tuhuma hizo?. Lissu anapaswa kuueleza umma kuwa yeye ambaye ametoa tuhuma in public kafanya jitihada gani ndani ya chama ili hao anaowatuhumu wachukuliwe hatua na kamati ya maadili?

Swali na jibu alilotoa Lissu unaweza kulisikia hapa:


View: https://www.youtube.com/watch?v=qFRhlGlAzEw

Lisu yuko sahihi

Katiba ya Chadema waliiga hicho kipengele kutoka CCM lakini kila kitu pale Ufipa huamuliwa na Mbowe

Pili, kama Mnyika hajapeleka malalamiko kwa Lisu unataka yeye afanyaje? 🐼
 
Back
Top Bottom