Lissu abanwa vikali na Mwana CHADEMA kuhusu tuhuma za rushwa ndani ya chama

Lissu abanwa vikali na Mwana CHADEMA kuhusu tuhuma za rushwa ndani ya chama

Lissu aitwe aonywe ! Hatukatai kukemea masuala ya rushwa.Anapoongea nje ya vikao katika mikutano ya hadhara sasa anamnanga nani ? Chama ambacho yupo ? Au ? Hayo anayoongea yanastahili kuongelewa katika vikao vya chama ili kupata ufumbuzi.Sasa ufumbuzi watampa watu wa Ikungi ??? Dhamira yake nini ? Au kishakamata kimya kimya anakibomoa chama kwa sasa ? Mbowe kuwa na tahadhari na huyu mtu.CHADEMA ilipoanzishwa na mpaka sasa imepitia mambo mengi na kwa gharama kubwa ! Mwenyekiti usikubali cheap popularity anayoitaka Lissu anakiharibia chama.Mwambieni ukweli.Chama kitakuwepo hata bila yeye ! Kama vipi muwekeni kitimoto then Fukuza !
Ye nani ??? Kwanza ashukuru mungu bila CHADEMA sijui saa hizi angekuwa wapi !
Anajiona anajua kuliko mtu yoyote yule ! Kumbe sio !
Lissu acha ushamba wa Kisingida na Kinyaturu
 
Lisu yuko sahihi

Katiba ya Chadema waliiga hicho kipengele kutoka CCM lakini kila kitu pale Ufipa huamuliwa na Mbowe

Pili, kama Mnyika hajapeleka malalamiko kwa Lisu unataka yeye afanyaje? 🐼
Mnyika angeyatoa wapi wakati Lisu ndiye mlalamikaji

Lisu mwenyewe apeleke kwa mnyika

Sasa katiba wa me copy CCM miundo. Inawashinda .CCM iliweza dhibiti hata makamu mwenyekiti wa CCM Taifa Aboud Jumbe alipoleta za kuleta tena akiwa maku mwenyekiti CCM taifa na raisi wa Zanzibar pia .CCM ikamdhibiti akapoteza hadi uraisi

CCM ina mifumo imara ya ku deal na maadili
Chadema zero kipengele kipo porojo nyingi hata makamu mwenyekiti Lisu hajui kukitumia

Chadema chams cha kijinga sana
 
Mnyika angeyatoa wapi wakati Lisu ndiye mlalamikaji

Lisu mwenyewe apeleke kwa mnyika

Sasa katiba wa me copy CCM miundo. Inawashinda .CCM iliweza dhibiti hata makamu mwenyekiti wa CCM Taifa Aboud Jumbe alipoleta za kuleta tena akiwa maku mwenyekiti CCM taifa na raisi wa Zanzibar pia .CCM ikamdhibiti akapoteza hadi uraisi

CCM ina mifumo imara ya ku deal na maadili
Chadema zero kipengele kipo porojo nyingi hata makamu mwenyekiti Lisu hajui kukitumia

Chadema chams cha kijinga sana
JK: Mimi ndio niliingia na Jina la Magufuli Kamati Kuu


Watakucheka sana 😂😂😂😂
 
Back
Top Bottom